Mungu niguse
JF-Expert Member
- Dec 19, 2024
- 272
- 729
- Thread starter
- #21
Tuelekeze na siye hicho robo kikombe tunakunywa mkojo wa asubuh au usiku na je kuna kunuwia au unakula tu kama smart gin?
Robo kikombe katika kile kikombe cha robo Lita. 1/4.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuelekeze na siye hicho robo kikombe tunakunywa mkojo wa asubuh au usiku na je kuna kunuwia au unakula tu kama smart gin?
Hata maji ya chumvi yanaweza tibu kipanda uso , kumbuka pia mkojo una chumvi chumvi hivyo ungejua tiba ya maji ya chumvi hasa ya mawe wala usingekua na sababu ya kunywa mkojo😆
Ujuaji upo wapi hapo ?Tatizo ujuaji unakusumbua Mimi nimetumia tiba nyingi Sana so unapojifanya mjuaji fahamu tu unakosea .
Ujuaji upo wapi hapo ?
Yeah nimewahi nikanywa maji ya moto yaliyochanganywa na chumvi ya mawe na mengine nikatumia kukandia uso ndio maana nikaunganisha dot na mkoja ila wewe unasema ujuaji 🤣🤣🤣Wewe umewahi kuumwa kipanda uso ?
SawaYeah nimewahi nikanywa maji ya moto yaliyochanganywa na chumvi ya mawe na mengine nikatumia kukandia uso ndio maana nikaunganisha dot na mkoja ila wewe unasema ujuaji 🤣🤣🤣
Ndio maana nikauliza vip ulipokunywa mkojo haukupata shida yoyote ?kwa sababu hata mimi nasikia ni tiba ya ngozi na vidonda vya tumbo.Sawa
Asante kwa kushare mkuu. Tusubiri wenye tatizo waje kufuata ushauri wako.Habari wakuu .
Mimi nimekuwa nikusumbuliwa na matatizo ya kuumwa na kichwa aina ya kipanda uso.
Nimetumia Dawa za kutuliza maumivu Kwa muda mrefu Sana , Ila nimekuja kupona Kwa kutumia tiba moja inaitwa "Urine therapy).
Tiba hii nimetumia siku tano Kwa kufanya hivi.
Kunywa mkojo robo kikombe kila Ahsubui kabla ya kula kitu chochote .
Sasa Ngozi yangu imekuwa na Nuru Sana, maumivu ya kichwa yamepotea.
Urine therapy
Tiba ya mkojo ni tiba nzuri sana.
Huu ndo ushuhuda.
Mkojo hauna shida yoyote hauathiri Figo, kikubwa uwe unakunywa maji ya kutosha, kula matunda ili kumaintain quality ya mkojoNdio maana nikauliza vip ulipokunywa mkojo haukupata shida yoyote ?kwa sababu hata mimi nasikia ni tiba ya ngozi na vidonda vya tumbo.
Kwani hii tiba ni ya kunywa mkojo wa mtu mwingine mkuu? Si atakuambukiza yutiai?Hii tiba imetumika sana tu ila haipewi tija. Inatibu mpaka vidonda kichwani, upele, unaogeshwa mkojo. Pia hutumika kama onyo kwa watoto watundu na watukutu wasiotii wazazi wao, ukimuambia mtoto ukifanya kosa hili nitakunywesha mkojo lazima mtoto atatii amri, maana mkojo ni mchungu na hauna ladha nzuri, ukute mkojo wenyewe umevundikwa siku nyingi. Ila siku hizi ni kama hautumiki sana kutokana na maendeleo ya tiba na maradhi ya maambukizi yamekuwa mengi haifai tena kuogeshwa au kunyweshwa mkojo wa mtu mwingine
kunywa wa waifu, si upo kwenye sururu, au anakojoa choo cha ndani kwa ndani?Hivi na maulevi yangu haya mkojo wa asubuhi naunywaje jamani. Acheni masihala basi dah
Ni lazima uwe mkojo wako mwenyewe ndio upone? Labda niwe nakunywa mkojo wa wife au wa mwanetu ambae yuko la pili
mkojo kiboko ni wa watu wazima, wa watoto si mzitoWa mtoto ndio Bora
Side effects zipo
mkojo wa mnyama yupi au hata mkojo wa punda niombe ufafanuzi kidogo niutafute.Habari wakuu .
Mimi nimekuwa nikusumbuliwa na matatizo ya kuumwa na kichwa aina ya kipanda uso.
Nimetumia Dawa za kutuliza maumivu Kwa muda mrefu Sana , Ila nimekuja kupona Kwa kutumia tiba moja inaitwa "Urine therapy).
Tiba hii nimetumia siku tano Kwa kufanya hivi.
Kunywa mkojo robo kikombe kila Ahsubui kabla ya kula kitu chochote .
Sasa Ngozi yangu imekuwa na Nuru Sana, maumivu ya kichwa yamepotea.
Urine therapy
Tiba ya mkojo ni tiba nzuri sana.
Huu ndo ushuhuda.
mkujo wa kuvundikwa ndio kiboko, unakuwa mzito na kuwa mchungu zaidiTuelekeze na siye hicho robo kikombe tunakunywa mkojo wa asubuh au usiku na je kuna kunuwia au unakula tu kama smart gin?
sasa povu la nini wakati unatoa elimu tiba, naye kasema chumvimawe inatibuTatizo ujuaji unakusumbua Mimi nimetumia tiba nyingi Sana so unapojifanya mjuaji fahamu tu unakosea .
kwa zamani hakukuwa na UTI siku hizi uti ipo unaweza kuambukizwaKwani hii tiba ni ya kunywa mkojo wa mtu mwingine mkuu? Si atakuambukiza yutiai?