Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatumia je na uchanganyaji wake chumvi na majiNikueleze nini tena?
Hii mimi nilipewa tu na wamasai nilipata hiyo hali nikiwa huko kwao kwa kazi fulani tu, wakachukua chumvi ya mawe kama kijiko cha chakula , wakakoroga kwenye maji kama lita moja na nusu ya moto nikanywa kikombe kimoja nyingine wakatumia kunikanda nayo na kitambaa , hiyo hali ikaachia kabisa mpka leo.Unatumia je na uchanganyaji wake chumvi na maji
Mkojo una madini gani hasa mpaka iweze kutibu vidonda vya tumbo mkuu ??Mkojo ni tiba ipo worldwide hata wamarekani wanatumia sana. Inatibu magonjwa mengi ikiwamo vidonda vya tumbo
Nimepona vidonda vya tumbo huu ni mwaka wa 22 nakula kila kitu kikali kichungu hata kichachuMkojo ni tiba ipo worldwide hata wamarekani wanatumia sana. Inatibu magonjwa mengi ikiwamo vidonda vya tumbo
Aliyetoa idhini ya kutumia mkojo wa Ngamia kama tiba.ni nani? Wanakunywa hata wagonjwa wa ukimwi, naomba usijibu hapa, jibu baki nalo mwenyeweKwa hakika hiki kizazi kina laana.
Leo vitu NAJISI Ndio TIBA ya afya zetu.
Hivi mimea na matunda aliyotupatia Mwenyezi Mungu yamisha kabisa Mashambani?