Mungu niguse
JF-Expert Member
- Dec 19, 2024
- 272
- 729
Hii itakuwa kweli kabla ya kuanza kutumia nilianza na kusoma Makala mbali mbali.Wanasema inatibu magonjwa mengi,na inaondoa mikosi.
Ila usiombe mkojo wako uwe na UTI sugu.ata azuma haitafanya kazi .itabidi udungwe sindano mbili mbili
Kichwa kimekuwa kikinisumbua Sana Ila nimeponea katika urine therapy.Ngoja niendelee kusoma comments hapa naweza kupata kitu...
Mkojo ni tiba ipo worldwide hata wamarekani wanatumia sana. Inatibu magonjwa mengi ikiwamo vidonda vya tumboVipi kuhusu madhara yake kiafya
Hakika mkuuMkojo ni tiba ipo worldwide hata wamarekani wanatumia sana. Inatibu magonjwa mengi ikiwamo vidonda vya tumbo
Katika kitawile unatumiaje ?hasa maradh ya kitawile inatoa iwe kurogw au kutambuka vitu njian
Sijakataa , umesoma nilichouliza lakini?Mkojo ni tiba ipo worldwide hata wamarekani wanatumia sana. Inatibu magonjwa mengi ikiwamo vidonda vya tumbo
Wa mtoto ndio BoraHivi na maulevi yangu haya mkojo wa asubuhi naunywaje jamani. Acheni masihala basi dah
Ni lazima uwe mkojo wako mwenyewe ndio upone? Labda niwe nakunywa mkojo wa wife au wa mwanetu ambae yuko la pili
Sijakataa , umesoma nilichouliza lak
Side effects zipoSijakataa , umesoma nilichouliza lakini?
Nimewaza tu , inaweza leta shida kubwa kwa figo π€Wa mtoto ndio Bora
Side effects zipo
ππππnilidhan ni mie peke yangu nakunywaga hii kitu maana nikiwaambia ofisini wanaishia kunicheka na kuniona et mchawiπ
Hata maji ya chumvi yanaweza tibu kipanda uso , kumbuka pia mkojo una chumvi chumvi hivyo ungejua tiba ya maji ya chumvi hasa ya mawe wala usingekua na sababu ya kunywa mkojoπππππ
Vipi lakini kuhusu ufanisi wake
Mimi imenitibu kipanda USO