TID: Makonda alinachafua sana kwenye ishu ya madawa ya kulevya

Unapotaka kulipiza kisasi kwa waliokutenda maovu kaa kimya ili ukilipiza isijulikane. Onesha Kama umesamehe na umsahau kumbe unamtafutia mida tu.

Unalipa kisasi Mara dufu/kifo
 

Awamu ya 5 ni moja kati ya awamu za hovyo kuwahi kutokea TZ
 
Makonda anaweza kuwa ana makosa katk hili
Ila tid labda awe ametumwa ila tofauti na hapo michezo na wanasiasa hataiweza tz hii
Ataangukiwa na kitu kizito kichwan abak anashangaa tena
 
Mimi sio mtaalamu wa madawa, na sijui Kama TID anatumia ...ILA Kama ingekuwa Uhuru wa kuongea upo ningekubaliana na MAKONDA.
 
Aache ujinga Makonda hakumchafua,kajichafua mwenyewe kwa tabia yake ya kutumia madawa ya kulevya.

TID ni mnafiki na mjinga wa level kubwa maana aliendelea kumpa support kubwa Makonda lakini leo hii anaongea shit kwa vile Makonda sio tena RC,hypocrite!
 
Hadi hapo Dawa bado zinamsumbua.

Cha msingi Matumizi ya Dawa kitaa yamepungua. Tunashukuru yeye mwenyewe alikuwa balozi mzuri kupitia Makonda.
 
Ngoja lissu aje nae atamshitaki kwa kutumia kauli yake ya "Ni yeye"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…