Kheri007
JF-Expert Member
- Mar 14, 2019
- 289
- 475
Acha dharau mkuuKuna watu jf wanatia kinyaa walah!!, Najiuliza huko mitaan mnaishije? Jambo halina maana yoyote kujaza minyuzi ya kikumamotooo tu fc tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha dharau mkuuKuna watu jf wanatia kinyaa walah!!, Najiuliza huko mitaan mnaishije? Jambo halina maana yoyote kujaza minyuzi ya kikumamotooo tu fc tu.
Wanataka mpate msajili DJ mwingine baada ya Miso Misondo, ili Simba iwe bendi ya mziki.Kuweka kiingilio bure mechi ya Yanga kunaongeza sana watazamaji watakaoenda kwenye mechi ya Simba. Tena kipindi hiki ambacho mashabiki wa Simba walirudi nyuma kidogo, hii ni boost kubwa sana.
Yule mshabiki aliyekuwa alipe 3000 au 5000 kuangalia mechi ya Yanga ameshajihakikishia anaingia bure, sasa ataenda kuitumia hiyo pesa yake kununua tiketi kwenye mechi ya Simba. Mechi ya Simba vs Wydad ni ya kikubwa, hakuna mwanayanga atataka kuikosa. Halafu ni kama ananunua tiketi moja kuangalia mechi mbili. Tena nasikia Al Hilal anacheza siku hiyo hiyo, kwa hiyo tiketi moja unaangalia mechi tatu halafu pesa yote inaenda kwa Simba.
Hayo masharti ya jezi hawana uwezo wa kuyatekeleza.
Kwa kuwakumbusha tu Yanga wahakikishe wanatimiza masharti ya CAF ya kutenga sehemu maalumu kwa ajili ya mashabiki wa Medeama. Msije kuwa mnatumia hii fungulia mbwa kama chaka la kuwatisha mashabiki wa Medeama wanaopanga kuja uwanjani.
MhhKuna watu jf wanatia kinyaa walah!!, Najiuliza huko mitaan mnaishije? Jambo halina maana yoyote kujaza minyuzi ya kikumamotooo tu fc tu.
😁Mara ya kwanza nachekeshwa na shabiki wa yeboMashabiki wa Medeama au nyie mbumbumbu?
Bumunda hiloMLETA MADA ww sio GREAT THINKER as jf slogan inavosema.