TikTok inagaragaza YouTube iliyokuwa ikisumbua kwa miaka mingi

Hio tigo yako naona haipo sawa
 
Hizi spana alizopigwa mleta madaπŸ˜€πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Weww unauza Bei gani

Watumiaji tiktok Ni choka mbaya nawajua vizuri
 
Tiktok amelenga kundi la wajinga, na ogopa sana kundi hili maana ndio huwa linatumika kuwachagua hata viongozi.
Nakusahihisha kuwa unaposema TikTok ni ya wajinga labda kwenu bongo, kwa nchi nyingine zilizoendelea kama Marekani, Japan, China haitumiwi na wajinga kama wenuπŸ˜€
 
Tiktok amelenga kundi la wajinga, na ogopa sana kundi hili maana ndio huwa linatumika kuwachagua hata viongozi.
Nakusahihisha kuwa unaposema TikTok ni ya wajinga labda kwenu bongo, kwa nchi nyingine zilizoendelea kama Marekani, Japan, China haitumiwi na wajinga kama wenuπŸ˜€
 
Nakusahihisha kuwa unaposema TikTok ni ya wajinga labda kwenu bongo, kwa nchi nyingine zilizoendelea kama Marekani, Japan, China haitumiwi na wajinga kama wenu
Hivi mfano tiktok nikitaka kujua "function of Extra Tank (ET) in space shuttle" inaweza kunipa majibu hadi nikaridhika nijihisi nilihudhuria lecturer?
Youtube ni likitabu fulani likubwa lenye kila kitu, unafungua ukurasa unaotaka.
 
We jamaa mjinga sana, yani unaifananisha youtube na ushoga tok pumbavu sana, nimesoma mpaka page 3 wachangiaji wote wanakupinga. Kana wewe ni mwanaume qmmae unaelekea qutombwa au ushatombw** tik tok ?! Mwanaume anaisifia tik tok ?! Nigga fu*ck you bit*ch ass
 
Malipo yapoje huko tiktok.
Vijana wana angalia pesa ilipo sio umaarufu wa mtandao.
 
Nikataka kufahamu kuhusu jambo lolote naingia you tube nimejua kutengeneza mabomu kupitia you tube huko tiktok naonaga tu sehemu ya watu ya kuonyesha mapaja na makalio yao na maisha yao.kwa sisi tunaopenda vitu kama documentaries na maarifa na mengineyo ya maana You Tube inatufaa sana
 
TikTok na YouTube hazipo category moja ya social media/social network. Ni sawa na kufananisha ndege na gari, zote ni namna za usafiri ila tofauti kabisa.
 
Ila boss papuchi si unaitaka lakini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…