Timu gani ya mpira unaichukia sana? Na kwa nini?

Asernal sijawahi ichukia...wala kuipenda..sema huwa nawaonea huruma...nawaona kama vitoto vinavyo tapatapa...vinaonewa
 
Man u, simba siyapend aya matimu ni heri yashuke daraja kabisa
 
Yanga FC
Manchester United
Arsenal FC
Chelsea FC
Real Madrid

Sababu kubwa ya kuwachukia Kunakotukuka ni kwamba Wachezaji wao wengi wana ' vimelea ' vya Umagomeni Mapipa kwa Macheni.
Mkuu nikushauri hata mboga za majani kaa mbali nazo maana ni magogoni kiongozi!
 
Naichukia sana Simba sababu rangi yao inafanana na pazia la sangoma uwa ikifungwa kwangu burudani wengine MAN U
 
Barca na Simba,
Ktk maisha yangu ya ushabibiki zaidi 20 years sijawahi kuombea washinde mechi yoyote ile
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yaani kweli tupuuu,
Timu kubwa zikifungwa na timu flani mashabiki wa iliyofungwa wanaombea timu zingine zifungwe na yuleyule aliewafunga wao, huu ushabiki upo EPL zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…