Timu kataa Ndoa kuweni Makini sana tunaishi na kiumbe kinaona zaidi yetu

Timu kataa Ndoa kuweni Makini sana tunaishi na kiumbe kinaona zaidi yetu

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
8,774
Reaction score
13,566
Sijui nieleze vip nieleweke vizuri, lakini kwa utafiti wangu ninachokiona Mwanaume anamuhitaji sana Mwanamke kuliko Mwanamke anvyomuhitaji Mume.

Mwanamke kaumbwa kuwa kijakazi, au utumishi chini ya Mwanaume, Mwanamke anaweza kuwa Kijakazi hata kwa Mwanamke mwenzie.

Mwanaume ukikataa uwepo wa Mwanamke kwenye maisha yako, unakuwa umekataa Familia, (Maisha bila familia Unayaweza?)

Mwanamke anaweza kumuhudumia mwanamke mwenzie huduma zote kama hajiwezi,
Lakini Mwanaume hawezi muhudumia mwanaume mwenzie, mfano, Mafalme akizeeka hupewa mjakazi wa kike sio kidume cha mbegu 😃

Wanawake wengi wanaweza kushika kazi za wanaume,
mkumbuke dunia imebadirika haitegemei tena Nguvu, ni akili zaidi watumia nguvu ni wale maskini (Slave)

Unaweza kusema Mwanaume ni jasiri kuliko Mwanamke ??? Sidhani

Kwanza hii kataa ndoa Nafikiri wanaojeruhika zaidi ni wanaume ndio maana wameona kujitoa kwenye mapambano cha kufia nini

Sasa iko hivi Wanaume Turudi kwenye nafasi zetu kama vichwa, lakini turudi tukiwa na akili, nguvu na maamuzi sahihi wanawake wa kuowa bado wapo wengi tu,,

Tengeneza Malengo, alafu tafuta Mwanamke anayeweza kufit kwenye hayo Malengo...

Unahitaji Mambo matatu kushinda.
1. Kumjua sana Mungu
2. Akili (Mawazo ya Ndani) na bidii.
3. Upendo usio na sababu na uvumilivu.
1732568683552.jpg
 
Kataa ndoa ni ujanani tu, wakishafika 50 hawatashaurika, ni watageuka jeuri hao na lazima watake mama ndani tena ndogo ndogo na hata muwakumbushe vipi kuwa mlisema ndoa no hawataelewa.
 
Sijui nieleze vip nieleweke vizuri, lakini kwa utafiti wangu ninachokiona Mwanaume anamuhitaji sana Mwanamke kuliko Mwanamke anvyomuhitaji Mume.

Mwanamke kaumbwa kuwa kijakazi, au utumishi chini ya Mwanaume, Mwanamke anaweza kuwa Kijakazi hata kwa Mwanamke mwenzie.

Mwanaume ukikataa uwepo wa Mwanamke kwenye maisha yako, unakuwa umekataa Familia, (Maisha bila familia Unayaweza?)

Mwanamke anaweza kumuhudumia mwanamke mwenzie huduma zote kama hajiwezi,
Lakini Mwanaume hawezi muhudumia mwanaume mwenzie, mfano, Mafalme akizeeka hupewa mjakazi wa kike sio kidume cha mbegu 😃

Wanawake wengi wanaweza kushika kazi za wanaume,
mkumbuke dunia imebadirika haitegemei tena Nguvu, ni akili zaidi watumia nguvu ni wale maskini (Slave)

Unaweza kusema Mwanaume ni jasiri kuliko Mwanamke ??? Sidhani

Kwanza hii kataa ndoa Nafikiri wanaojeruhika zaidi ni wanaume ndio maana wameona kujitoa kwenye mapambano cha kufia nini

Sasa iko hivi Wanaume Turudi kwenye nafasi zetu kama vichwa, lakini turudi tukiwa na akili, nguvu na maamuzi sahihi wanawake wa kuowa bado wapo wengi tu,,

Tengeneza Malengo, alafu tafuta Mwanamke anayeweza kufit kwenye hayo Malengo...

Unahitaji Mambo matatu kushinda.
1. Kumjua sana Mungu
2. Akili (Mawazo ya Ndani) na bidii.
3. Upendo usio na sababu na uvumilivu.
View attachment 3162030
tunashukuru kwa maoni yako lakini kikao cha mwisho tulivokaa na kujadili juu ya hili swala tulikubaliana kwamba
"HAKUNA MTU ANAETAKA USHAURI WAKO"
KATAA NDOA NDOA NI:
utapeli
wizi
na ulaghai.
 
tunashukuru kwa maoni yako lakini kikao cha mwisho tulivokaa na kujadili juu ya hili swala tulikubaliana kwamba
"HAKUNA MTU ANAETAKA USHAURI WAKO"
KATAA NDOA NDOA NI:
utapeli
wizi
na ulaghai.
Kikao cha mwisho tuliamua pia huko uzeeni wakati mnaitaka ndoa msibemende vitoto vidogo, bebeni mishangazi.
 
Ninachojaribu kukishirikisha wewe huwezi kuelewa
Embu mkuu mshamba_hachekwi
Mkumbushe kidogo ao autumn wetu hapo juu😂
Mkuu mm nasisitiza tu maana najua lazima vigeu geu wa kutaka kuoa watakuwepo wengi katika huo umri, ule umri wa kisukari ukishafika watoto NO, mishangazi YES. Tatizo ule umri unakuja na ubishi na ujuaji mno. Mishangazi ndo inafaa kwa umri ule.
 
Mkuu mm nasisitiza tu maana najua lazima vigeu geu wa kutaka kuoa watakuwepo wengi katika huo umri, ule umri wa kisukari ukishafika watoto NO, miahangazi YES. Tatizo ule umri unakuja na ubishi na ujuaji mno. Mishangazi ndo inafaa kwa umri ule.
Ingieni kwanza darasani mjifunze
Ila mkitoka darasani tunataka mianze kulia lia au kusikia mmejiua /kuua bila kuacha wosia wowote
ONHOOO....
 
Ingieni kwanza darasani mjifunze
Ila mkitoka darasani tunataka mianze kulia lia au kusikia mmejiua /kuua bila kuacha wosia wowote
ONHOOO....
Mkuu tupo pamoja, nakuelewa ila uzeeni ukighairi ukataka mama usiwe mbishi tu, mshangazi ndo utakufaa.
 
Back
Top Bottom