Timu kataa Ndoa kuweni Makini sana tunaishi na kiumbe kinaona zaidi yetu

Timu kataa Ndoa kuweni Makini sana tunaishi na kiumbe kinaona zaidi yetu

Mzee wangu anaingiaje hapa boss, hausiki. Kama wewe una umri mkubwa na upo humu ukipiga kampeni ya vijana wasioe we sema tu miaka yako na hujaoa ili watakao taka uwe role model wao wakufollow.
Basi hakuna tabu mkuu
Rudi darasani
 
Mzee wangu anaingiaje hapa boss, hausiki. Kama wewe una umri mkubwa na upo humu ukipiga kampeni ya vijana wasioe we sema tu miaka yako na hujaoa ili watakao taka uwe role model wao wakufollow.
Basi hakuna tabu mkuu
Rudi darasani
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Basi hakuna tabu mkuu
Rudi darasani
Darasani naingia kila siku, mafundisho ni mazuri mno kwa afya ya akili ya mwanaume ila sikariri, kila mafundisho nachanganya na za kwangu sababu binadamu tunatofautiana.
 
tunashukuru kwa maoni yako lakini kikao cha mwisho tulivokaa na kujadili juu ya hili swala tulikubaliana kwamba
"HAKUNA MTU ANAETAKA USHAURI WAKO"
KATAA NDOA NDOA NI:
utapeli
wizi
na ulaghai.
🤣🤣🤣✌️
 
Mimi huwa nawashangaa hata mabroo huku mtaani. Mtu anakwambia oa bhana.

Wewe unaweza ukaona ndoa ni nzuri kwa sababu umeoa mke mzuri,haku cheat,sio mchawi,hakuchuni,hakupigii makelele ukirudi kazini nk.

Unaenda kumshawishi kijana wa kiume aoe mke ambaye hujui hata tabia zake.

Mimi naona mtu hata asipo oa aachwe tu, asipigiwe kelele za oa oa oa ( hapa nazungumzia huko mtaani ).

Alafu kuna watu wachache ambao wameona ndoa kwao ni sababu ya kuyumba kiuchumi, hivyo wanapo muona kijana mdogo anapambana huku akiwa hana familia Wana anza kumuonea wivu. Wanataka aoe, azidiwe na majukumu ili afanane nao kiuchumi. Hii ipo sana ila usipokuwa muelewa utaona kila anayekushauri kuoa ana nia nzuri na wewe.
 
Ndoa zimepoteza mvuto na mvuto huo wamepoteza hao hao wanawake na kwakuwa umuhim wa ndoa upo zaidi kwa wanawake ndiyo hao saizi wanaanza kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu hata pasip lazima na kuanza kutishana sas
Reference: Mtoa mada.
 
tunashukuru kwa maoni yako lakini kikao cha mwisho tulivokaa na kujadili juu ya hili swala tulikubaliana kwamba
"HAKUNA MTU ANAETAKA USHAURI WAKO"
KATAA NDOA NDOA NI:
utapeli
wizi
na ulaghai.
Huyu mleta uzi sijui katuchukuliaje amekuja na hoja rahisi sana.

Mimi napenda kumwambia ndugu Surya kuwa unaweza uka oa na ukawa na familua na woote wakafa wakakuacha ukiwa pekee yako huku duniani.

Mwanaume unatakiwa ujue hakuna wakukusaidia maisha usioe ili uje kusaidiwa maisha. Utakuwa disappointed sana.
 
Huyu mleta uzi sijui katuchukuliaje amekuja na hoja rahisi sana.

Mimi napenda kumwambia ndugu Surya kuwa unaweza uka oa na ukawa na familua na woote wakafa wakakuacha ukiwa pekee yako huku duniani.

Mwanaume unatakiwa ujue hakuna wakukusaidia maisha usioe ili uje kusaidiwa maisha. Utakuwa disappointed sana.
Hoja nyepesi za mtoa mada ndio sababu hata wanawake wenyewe wanapata nguvu za kuvimba mitaani
Ndomana tunawaambia warudi kusoma upya
 
Kataa ndoa ni ujanani tu, wakishafika 50 hawatashaurika, ni watageuka jeuri hao na lazima watake mama ndani tena ndogo ndogo na hata muwakumbushe vipi kuwa mlisema ndoa no hawataelewa.
Hakika
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mimi huwa nawashangaa hata mabroo huku mtaani. Mtu anakwambia oa bhana.

Wewe unaweza ukaona ndoa ni nzuri kwa sababu umeoa mke mzuri,haku cheat,sio mchawi,hakuchuni,hakupigii makelele ukirudi kazini nk.

Unaenda kumshawishi kijana wa kiume aoe mke ambaye hujui hata tabia zake.

Mimi naona mtu hata asipo oa aachwe tu, asipigiwe kelele za oa oa oa ( hapa nazungumzia huko mtaani ).

Alafu kuna watu wachache ambao wameona ndoa kwao ni sababu ya kuyumba kiuchumi, hivyo wanapo muona kijana mdogo anapambana huku akiwa hana familia Wana anza kumuonea wivu. Wanataka aoe, azidiwe na majukumu ili afanane nao kiuchumi. Hii ipo sana ila usipokuwa muelewa utaona kila anayekushauri kuoa ana nia nzuri na wewe.
Kila jambo na wakati wake, sijasema lifanyike kwa haraka.
Kosa ni kulipiga mateke jambo la muhimu.
 
Kila jambo na wakati wake, sijasema lifanyike kwa haraka.
Kosa ni kulipiga mateke jambo la muhimu.
Hoja yangu kubwa ni kwamba wanaume wanatakiwa wawe huru kwenye jamii kuhusu suala la kuoa na hii haijalishi ana mpango wa kuoa au hana kabisa.

Mimi sioni sababu ya watu kama wewe kuandika uzi wa kukumbushia wanaume waoe.Hakuna mwanaume ambaye yupo above 18 alafu akawa hajui Kama kuna kuoa. Kama yupo basi atakuwa ni kichaa.

Kwanini nasema hivi.

Kuoa ni jambo zuri lakini lina ambatana na hatari nyingi.Baadhi ya mambo nilisha yataja kwenye post ya mwanzoni. Kwahiyo kila mtu huwa anapima kiwango chake cha kuweza ku face hizo challenges zilizoko kwenye ndoa na ndiyo maana kuna watu wana amua kutokuoa kabisa. Na hawa wako sahihi kabisa kwa sababu kuna baadhi ya mambo yakikutokea kwenye ndoa itabidi muhusika ndiye awajibike. Wala hakuna mtu yeyote atakaye kupa msaada.

Mfano wewe au Mimi hatuwezi kumsaidia Mwanandoa yeyote ambaye amepata UKIMWI kwa sababu ya umalaya wa mwenzake.

Mwanaume ndiye anapaswa kuhudumia familia yake kwa kuipatia mahitaji ya msingi ya maisha.

Mimi au wewe hatuwezi kumsaidia mwanaume yeyote aliyeoa Kama ikitokea aka face financial difficulties kwenye ndoa yake.

Hio ni mifano michache tu ambayo nimekupa.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mimi huwa nawashangaa hata mabroo huku mtaani. Mtu anakwambia oa bhana.

Wewe unaweza ukaona ndoa ni nzuri kwa sababu umeoa mke mzuri,haku cheat,sio mchawi,hakuchuni,hakupigii makelele ukirudi kazini nk.

Unaenda kumshawishi kijana wa kiume aoe mke ambaye hujui hata tabia zake.

Mimi naona mtu hata asipo oa aachwe tu, asipigiwe kelele za oa oa oa ( hapa nazungumzia huko mtaani ).

Alafu kuna watu wachache ambao wameona ndoa kwao ni sababu ya kuyumba kiuchumi, hivyo wanapo muona kijana mdogo anapambana huku akiwa hana familia Wana anza kumuonea wivu. Wanataka aoe, azidiwe na majukumu ili afanane nao kiuchumi. Hii ipo sana ila usipokuwa muelewa utaona kila anayekushauri kuoa ana nia nzuri na wewe.
Unachezea majukumu kijana kama pesa ipo oa ila kama bado unajitafuta ukajichanganya lazima uchakae
 
Unachezea majukumu kijana kama pesa ipo oa ila kama bado unajitafuta ukajichanganya lazima uchakae
Bado najitafuta.

Hata hivyo twenties are the best time to grow, learn and discover yourself.

Ni muda wa kujifunza mambo mengi kwenye maisha.
Sio muda wa kuoa hata kama kijana wa kiume ana mahela.

Ni vile tu tunaishi na wazazi ambao wanataka mabinti zao waolewe kisa wameshakua.
 
Ninyi ndiyo mnachochea kuwepo kwa familia za kijinga jinga barani Afrika.

Mnachochea ufukara na kuongeza mitaa ya uswahilini.
 
Back
Top Bottom