Timu ya Yanga hawajiamini

Kwa hiyo Onyango anaenda Yanga?
 
Timu nzima hadi viongozi wao wafungiwe hata tu-miaka tu-tano tu wasijihusishe na masuala yote ya soka.Hata u-mc!
 
Usinchekeshe bana kumbe mwili unataka ila moyo ni dhaifu?.hahahh usijali kabisa yani mwaka wenu huu
Ukweli unaufahamu kuwa simba nao sio wadhaifu mpendwa lolote laweza kutokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…