Tishio la Wakenya kuitaka ardhi yetu ni zaidi ya Wachina na wazungu

Tishio la Wakenya kuitaka ardhi yetu ni zaidi ya Wachina na wazungu

Awamu hii hawaioni kenya kama tatizo ni rafiki na mpaka gesi wameamua kuwauzia,
Yaani badala ya kuhakikisha Raia wanapata nishati hii Kwa Bei rahisi,

Wanakwenda kuwauzia wakenya.

Ajabu sana hii.
Ili wazalishe nishati yenye nafuu zaidi viwandani kwao; ambavyo vitatengeneza vya viwandani kutokana na mali ghafi zetu kama pamba tunazowauzia kwa bei cheee, watengeneze nguo ili watuuzie sisi hapa.

Hiyo ndiyo akili yetu pana safari hii; na bado.
 
Ili wazalishe nishati yenye nafuu zaidi viwandani kwao; ambavyo vitatengeneza vya viwandani kutokana na mali ghafi zetu kama pamba tunazowauzia kwa bei cheee, watengeneze nguo ili watuuzie sisi hapa.

Hiyo ndiyo akili yetu pana safari hii; na bado.
Rais anaapishwa safari ya Kwanza kabisa anakimbilia kuuza gesi kwa washindani wetu,

Kuna kazi hapa ya kufanya.
 
Wakenya ni majirani zetu na ndio nchi pekee duniani ambayo naweza kusema tunachangia vitu vingi sana. Kwa mfano, tunaongea lugha moja, chakula chetu kinafanana na kuna makabila mengi ambayo yapo Kenya na Tanzania.

Pamoja na ujirani wetu na mila na tamaduni kufanana lakini pia kuna tofauti kubwa sana baina yetu. Tofauti hizo ni kama Wakenya kuendekeza ukabila na uchu wa mali kupita kiasi.

Hoja kubwa ninayotaka kuijadili hapa ni kuhusu ardhi yetu.

Kenya kuna uhaba wa ardhi kutokana na ardhi kubwa kumilikiwa na matajiri wachache. Hali hiyo imepelekea Wakenya kuja kwa wingi Tanzania ili kutafuta fursa za kupata ardhi. Wakenya wanafanya hivyo kupitia mahusiano ya kimapenzi na dada na kaka zetu wa Kitanzania. Wakenya wanawarubuni ndugu zetu kimapenzi ili wapate urahisi wa kutumia ardhi yetu. Kitu cha kuogopa zaidi hawa watu wana rangi za ngozi na kuongea kama sisi kwahiyo ni vigumu kujua wameenea kwa kiasi gani (bila kutumia takwimu za uhamiaji) tofauti na wazungu.

Hivi ninavyoandika ndugu yangu ambaye ni wakili anamuwakilisha dada mmoja wa Kitanzania ambaye alirubuniwa kimapenzi na jamaa wa Kikenya na kuacha ardhi yake itumiwe lakini yule dada hapati chochote ilhali wameingia ubia kwenye mkataba wa uwekezaji. Kitu kinachonipa faraja ni kwamba ndugu yangu ananiambia licha ya kuwa anamuwakilisha mteja wake lakini hii kesi ni "personal " na atapigana kufa na kupona ili ashinde kesi! Ndugu yangu anafanya hivyo kwasababu anajua Wakenya hawana utu.
Ardhi yeti hawekezeki tun serambovu yaardhi ndiyo maana ardhi kubwa haindelezwi,Tennessee south na baadhi ya maeneo Zambia namibia utajua uwekezaji kwenye kilimo ukoja,mtu awesome weka gharama zote kisha waambie rais anaweza futa khati muda wowote
 
Ardhi yeti hawekezeki tun serambovu yaardhi ndiyo maana ardhi kubwa haindelezwi,Tennessee south na baadhi ya maeneo Zambia namibia utajua uwekezaji kwenye kilimo ukoja,mtu awesome weka gharama zote kisha waambie rais anaweza futa khati muda wowote
LOoo!

Una kipaji mkuu. Hivi ulishatambua hilo?
 
Rais anaapishwa safari ya Kwanza kabisa anakimbilia kuuza gesi kwa washindani wetu,

Kuna kazi hapa ya kufanya.
Mimi ningependa kujuwa orodha ya wale wafanya biashara wetu waliokuwa kwenye ule mkutano uliomnyofoa akili zote na kutangaza anakwenda kufungua nchi.

Haya mambo tunayaandika kijumla jumla tu bila kujuwa ni akina nani hasa wanaotuuza utumwani.

Ni vizuri kuwafahamu hawa, ambao sasa ndio wanaotutawala..., watu kama Rostam Aziz! Wengine siwajui. Mo alikuwepo; Bakhresa, ana akina nani wengine?
 
Mimi ningependa kujuwa orodha ya wale wafanya biashara wetu waliokuwa kwenye ule mkutano uliomnyofoa akili zote na kutangaza anakwenda kufungua nchi.

Haya mambo tunayaandika kijumla jumla tu bila kujuwa ni akina nani hasa wanaotuuza utumwani.

Ni vizuri kuwafahamu hawa, ambao sasa ndio wanaotutawala..., watu kama Rostam Aziz! Wengine siwajui. Mo alikuwepo; Bakhresa, ana akina nani wengine?

Rostam alikuwepo na Taifa Gas yake,..

Connect the dots.
 
Huo ujamaa ndio umesababisha hiyo ardhi mpaka leo bado unaiona.

Kenya watu wanaishi kwa vipande.

Kumbuka ardhi haiongezeki ila watu wanaongezeka kila siku.
Hizi ulizoandika ndo hangover zenyewe sasa, Kenya population kwa sasa ni m 55, tz ni m 6O Kwa pamoja inafika 115 kwa sasa unahofia kui-intergrate na Kenya kwa kisingizio kuwa ardhi haingozeki, je umewahi kuwaza miaka 1OO ijayo tz pekee itakuwa na raia zaidi ya m 300? Je population ikifikia huko tz itamega arch kutoka wapi ili iakomodate population hiyo? Haya tuachane na ukubwa ardhi, kama tz tunaihofia Kenya je tunasubiri nini kujitoa ktk jumuiya ya EAC na kuunda jumuiya special tu na nchi zenye mapori makubwa kama Kongo?
 
Ila watanzania tuwe makini sana. Kuna kaugonjwa fulani kanaingia kwa kasi mno. Tunahisi umasikini wetu uneletwa na watu wengine, tunaacha kupambana na maadui wa kweli wa maisha yetu tunalazimishwa kuamini kuwa mara tunaonewa, mara watu wa nje wanatamani vitu vyetu, mara mabeberu tupo nao kwenye vita nk. Hawa si maadui zetu, adui zetu ni ujinga, uzembe, siasa za hovyo na IQ pungufu.

Mleta mada una mifano mingapi ya wakenya waliowahulumu wadada wa kitanzania? Una mifano mingapi ya wakaka wa kitanzania waliowadhulumu ndugu zao wa damu ardhi?

Ishu ni kujitambua tu mkuu. Watanzania tufike mahali tujitambue, hii ya kuwaza wakenya wanataka ardhi yetu mara mabeberu wanataka utajiri wetu haitatufikisha popote. Tusimame tupambane
Well said
 
Kwahiyo dada zetu ni rahisi kurubunika kwa wanaume wa kikenya?
 
"Ujamaa" hauna lolote na jambo hili, sema tu inakupendeza kutaja "ujamaa" hata kama hujui maana yake ni nini.
Hii inshu ina uhusiano mkubwa sana na ujamaa, ujamaa maana yake ni closed economy, na closed economy/ujamaa haiamini ktk free trade ndomana nasisitiza watz wengi mna hangover ya ujamaa.
 
Ili wazalishe nishati yenye nafuu zaidi viwandani kwao; ambavyo vitatengeneza vya viwandani kutokana na mali ghafi zetu kama pamba tunazowauzia kwa bei cheee, watengeneze nguo ili watuuzie sisi hapa.

Hiyo ndiyo akili yetu pana safari hii; na bado.
Mkuu kuna ugumu gani wa tz kufungua viwanda vya nguo hapa tz?
 
Hizi ulizoandika ndo hangover zenyewe sasa, Kenya population kwa sasa ni m 55, tz ni m 6O Kwa pamoja inafika 115 kwa sasa unahofia kui-intergrate na Kenya kwa kisingizio kuwa ardhi haingozeki, je umewahi kuwaza miaka 1OO ijayo tz pekee itakuwa na raia zaidi ya m 300? Je population ikifikia huko tz itamega arch kutoka wapi ili iakomodate population hiyo? Haya tuachane na ukubwa ardhi, kama tz tunaihofia Kenya je tunasubiri nini kujitoa ktk jumuiya ya EAC na kuunda jumuiya special tu na nchi zenye mapori makubwa kama Kongo?
Wewe nimegundua ni taahira kabisa, takataka.
 
Hii inshu ina uhusiano mkubwa sana na ujamaa, ujamaa maana yake ni closed economy, na closed economy/ujamaa haiamini ktk free trade ndomana nasisitiza watz wengi mna hangover ya ujamaa.
Huo unaoueleza siyo "ujamaa". Ndiyo maana nikaeleza kwamba hujui lolote juu ya ujamaa.
 
Mkuu kuna ugumu gani wa tz kufungua viwanda vya nguo hapa tz?
Nikuulize wewe.
Umeviona wapi hivyo viwanda vya nguo hapa Tanzania. Hujui kwamba pamba yote inayolimwa Tanzania sasa hivi inauzwa nje, moja wapo ya sehemu inakouzwa ni hapo Kenya?

Bila shaka wewe huelewi lolote tunapoandika juu ya haya mambo.

Mukhisa Kitui, wakati huo akiwa waziri wa Biashara huko Kenya aliwahi kutamka kwamba Tanzania tutakuwa tukilima pamba, ambayo itakuwa inasindikwa Uganda na baada ya hapo kupelekwa Kenya ikatengeneze nguo ambazo zitauzwa kwenye soko la ukanda huu.

Huo haukuwa utabiri, ilikuwa ni mipango ambayo sasa hivi inafanya kazi.

Na bado watu kama wewe mtazidi kushangilia sana ujinga huu.
 
Huo unaoueleza siyo "ujamaa". Ndiyo maana nikaeleza kwamba hujui lolote juu ya ujamaa.
Sasa kama huo sio ujamaa Kenya unawahofia wa nini kama sie wenyewe tulikubali kuunda nao jumuiya ya EAC?
 
Sasa kama huo sio ujamaa Kenya unawahofia wa nini kama sie wenyewe tulikubali kuunda nao jumuiya ya EAC?
Naona huwa hunisomi.

Mimi niwahofie Kenya. Kwa lipi hasa?

Mimi nawahofia watu kama wewe, waTanzania wenzangu wasiojuwa hili wala lile; ikiwa ni pamoja na hawa viongozi wanaoyumba kama bendera wasiojuwa kuwaongoza wananchi wao wanufaike na utajiri mkubwa sana wa nchi yao; badala yake wanajiuza...
 
Nikuulize wewe.
Umeviona wapi hivyo viwanda vya nguo hapa Tanzania. Hujui kwamba pamba yote inayolimwa Tanzania sasa hivi inauzwa nje, moja wapo ya sehemu inakouzwa ni hapo Kenya?

Bila shaka wewe huelewi lolote tunapoandika juu ya haya mambo.

Mukhisa Kitui, wakati huo akiwa waziri wa Biashara huko Kenya aliwahi kutamka kwamba Tanzania tutakuwa tukilima pamba, ambayo itakuwa inasindikwa Uganda na baada ya hapo kupelekwa Kenya ikatengeneze nguo ambazo zitauzwa kwenye soko la ukanda huu.

Huo haukuwa utabiri, ilikuwa ni mipango ambayo sasa hivi inafanya kazi.

Na bado watu kama wewe mtazidi kushangilia sana ujinga huu.
Unaniuliza tena Mimi? Mie nakiri kweli kama taifa kwa miaka 60 tumeshindwa kuwa na kiwanda cha nguo ili hali malighafi tunazo je kipi ni bora tuendelee kutokuwa na viwanda na pia tusiuze malighafi Kenya au tuendelee kutokuwa na viwanda na angalau tuuze malighafi Kenya? Swali la nyongeza je unajua dhumuni la kuunda jumuiya ya EAC?
 
Back
Top Bottom