Koala
Member
- Aug 28, 2011
- 97
- 107
Naunga mkono hoja.Mkuu ulichowaza na kukisema na mimi nimewaza hivyo hivyo ila nimeshindwa kusema.
Naunga dots; mkuu pascal babake alikuwa RSO(watu waliingizwa sana kwenda huko kwa undugunization)- (fact ya kwanza), Mkuu pascal ni mwandishi wa habari (wanaofanya kazi hii wengi ni watu wa huko)-(Fact ya pili),mkuu pascal alishavaaga gwanda za bakabaka akaondoka(hawa ni interdisciplinary-wajeda huwa wanavulishwa gwanda na kuingizwa huko ref🙁interdisciplinary))-(fact ya tatu)