TISS, PSU Jifunzeni kwa walioendelea

Jana kaja Kamala wote tumeshuhudia Ulinzi imara usio na maonesho. Maonesho yenu ya kubeba mibunduki hadharani hayajaonekana jana. Siku zingine mnazingira Rais kama ni gaidi...
Daima ukosoaji ni kazi rahisi sana ambayo hata mtu dhaifu anaweza kuifanya.pia ww kutokuona kazi/umuhimu wa wale unaowaita "Vidada" haimaanishi huo umuhimu haupo ni vile tu either hujui ila unataka kuonekana mjuaji au ni vile tu hujui alafu hujui kama hujui. ACHENI UJUVI MWINGI MNAHISI MNA AKILI NYINGI KULIKO TAASISI AMBAZO ZIMEWEZA KUSIMAMA KUANZIA WW HAUJAJUA KUANDIKA MPAKA LEO UMEKUA KEYBOARD WORRIOR.

Sent from my SM-G960N using JamiiForums mobile app
 
Kumbe maneno ya kuambiwa. Hakuna lolote. Wapo busy kwenye inbox za wadada wanatuma picha zao wakiwa safarini na suti. Ndio maana hawaaminiki. Nchi unazotaja ni utopolo tupu.
 
Hawawezi jifunza baba, hawataki, kisa Ulaji, kuna mtu anapiga hela kutokana na hayo, misafara mikubwa, kuzingirwa na upuuzi gani sijuwi...wanajifanya wana BLANK CHQ kumbe UFUSADI TU
 
Ivi kumbe kamala alilala hyatt nilikuwa najiuliz leo baada ya kupita pale hyatt kwamba mwanama MMA Kamala atakuwa amelala wapi jana ikulu mmmh nikasema hapana maaana hata mama mwenyewe halalagi kule
Unapoona hotel ina vyumba Presidential suite ndio kazi yake hiyo.
 
Kuwepo kwa ulinzi imara sehemu hakuhitaji bango getini la " Hatari mbwa mkali" .... Wajifunze ndio!!. 👍
 
Kiufupi hawa Tiss wana ukwasi wa kutisha
Una uhakika ndugu yangu ?
TISS wengi walitajirika kipindi cha Jiwe, mtindo ulikuwa ni extortion kwa wafanyabiashara na wahindi. Kila mja aliogopa alipokuwa akitishiwa kupachikwa kesi za uhujumu uchumi au utakatishaji fedha. Kwa sasa hawana nguvu hizo.
 
Mswahili fahari yake ni kumtisha mwezake. Mswahili anafarijika sana akiona mswahili mwenzake anapata hofu na kukosa amani kwa ajili yake
 
Msafara mrefu inamaanisha watu wengi zaidi wanapata ulaji wa posho humo, marafiki na washikaji zao.
Kingine PSU iweje wakubali Rais kutembea na msafara mrefu?
Rais wa Marekani msafara wake sio mrefu kama wa Rais wa nchi omba omba
 
Sijawahi kuelewa sababu za Marais au viongozi wakuuu wa Africa kuwa na mwanajeshi/mlinzi anayesimama nyuma yao kila mahali. Hata ndani ya Ikulu mahali ambapo pangetegemewa kuwa mahali salama zaidi unakuta huyo mwanajeshi anasimama nyuma ya Rais wakati anahutubia au kusalimiana na watu!
White House huwa namuona Biden amejiachia tu ana mingle na raia bila watu wa usalama kumfuatafuata!
 
Kumbe maneno ya kuambiwa. Hakuna lolote. Wapo busy kwenye inbox za wadada wanatuma picha zao wakiwa safarini na suti. Ndio maana hawaaminiki. Nchi unazotaja ni utopolo tupu.
Yaani wale PSU wakishaonekana kwenye TV, wakipewa off wanasumbua sana watu, wanatapeli watu kuwa tuko karibu na Rais tunaweza fikisha shida yako
 
Hicho ndo nakishangaa kama wanachagua marais wagonjwa waseme.

Napenda sana nchi yetu iende mbele zaidi, ila ili iende mbele inabidi kwanza hawa TISS washughulikiwe, walioingia bila merits wapelekwe kwingine kulingana na elimu zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…