TISS, PSU Jifunzeni kwa walioendelea

TISS, PSU Jifunzeni kwa walioendelea

Heshimu Taasisi na Utaratibu wa Taasisi sawa? Siyo lazima kila lifanywalo na CIA / NSA (Marekani ) basi na TISS ( Tanzania ) nao walifanye au waliige.

Binafsi ( GENTAMYCINE ) nimebahatika Kukaa ( kuwa karibu ) na Walinzi wa baadhi ya Marais wa Ukanda wetu huu ( Kale Kayihura aliyekuwa CIG: wa Uganda ila kabla alikuwa Mlmoja wa Walinzi PPU wa Rais Museveni na Marehemu Noble Mayombo aliyekuwa CMI wa Uganda na aliyewahi pia kuwa ADC wa Rais Museveni ) achilia mbali wa Rais Kagame na wa Hayati Mzee Kabila ( Laureant Kabila ) na Sifa pekee niliyoisikia kutoka Kwao kuhusu TISS na hasa hasa PSU ni kwamba wako vizuri na Wameiva mno Kimedani.

PSU ndiyo blueprint ya Vikosi vingi vya Ulinzi wa Marais katika nchi nyingi za Ukanda huu ikiwemo na Msumbiji na nyinginezo.

Acheni Kudharau vya Kwenu TZ Oky?
Na wewe ni MTU WA MFUMO (TEEH) [emoji1787]
 
Heshimu Taasisi na Utaratibu wa Taasisi sawa? Siyo lazima kila lifanywalo na CIA / NSA (Marekani ) basi na TISS ( Tanzania ) nao walifanye au waliige.

Binafsi ( GENTAMYCINE ) nimebahatika Kukaa ( kuwa karibu ) na Walinzi wa baadhi ya Marais wa Ukanda wetu huu ( Kale Kayihura aliyekuwa CIG: wa Uganda ila kabla alikuwa Mlmoja wa Walinzi PPU wa Rais Museveni na Marehemu Noble Mayombo aliyekuwa CMI wa Uganda na aliyewahi pia kuwa ADC wa Rais Museveni ) achilia mbali wa Rais Kagame na wa Hayati Mzee Kabila ( Laureant Kabila ) na Sifa pekee niliyoisikia kutoka Kwao kuhusu TISS na hasa hasa PSU ni kwamba wako vizuri na Wameiva mno Kimedani.

PSU ndiyo blueprint ya Vikosi vingi vya Ulinzi wa Marais katika nchi nyingi za Ukanda huu ikiwemo na Msumbiji na nyinginezo.

Acheni Kudharau vya Kwenu TZ Oky?
Hatujadharau
Nimeuliza kwanini leo na jana hatujaona yale mabunduki ya p
PSU kwenye kumsindikiza Kamala?
Leo Airport wale mabaunsa na bunduki zao hawajaonekana kabisa.

Jana Ikulu hawakuonekana kabisa

Sasa iweje siku zingine wamkere Rais na kumnyima uhuru hata ashindwd pumua?

Sasa tuko zama mpya tuache kurudi nyuma kwa show off
 
Wote ni mashahidi wale mabaka mabaka, wale wadada wanaokaa pande mbili za Rais hawakuwepo jana nyuma ya Rais

Tujaribu kujifunza wao wanawezaje kumlinda Rais wao bila kukera watu, sasa TV inakuwa unaangalia hata watu wasiohusika wakati anayetakiwa onekana ni Rais pekee.
 
Heshimu Taasisi na Utaratibu wa Taasisi sawa? Siyo lazima kila lifanywalo na CIA / NSA (Marekani ) basi na TISS ( Tanzania ) nao walifanye au waliige.

Binafsi ( GENTAMYCINE ) nimebahatika Kukaa ( kuwa karibu ) na Walinzi wa baadhi ya Marais wa Ukanda wetu huu ( Kale Kayihura aliyekuwa CIG: wa Uganda ila kabla alikuwa Mlmoja wa Walinzi PPU wa Rais Museveni na Marehemu Noble Mayombo aliyekuwa CMI wa Uganda na aliyewahi pia kuwa ADC wa Rais Museveni ) achilia mbali wa Rais Kagame na wa Hayati Mzee Kabila ( Laureant Kabila ) na Sifa pekee niliyoisikia kutoka Kwao kuhusu TISS na hasa hasa PSU ni kwamba wako vizuri na Wameiva mno Kimedani.

PSU ndiyo blueprint ya Vikosi vingi vya Ulinzi wa Marais katika nchi nyingi za Ukanda huu ikiwemo na Msumbiji na nyinginezo.

Acheni Kudharau vya Kwenu TZ Oky?
Mbongo kazi yake kujidharau tu..
 
Hatujadharau
Nimeuliza kwanini leo na jana hatujaona yale mabunduki ya p
PSU kwenye kumsindikiza Kamala?
Leo Airport wale mabaunsa na bunduki zao hawajaonekana kabisa.

Jana Ikulu hawakuonekana kabisa

Sasa iweje siku zingine wamkere Rais na kumnyima uhuru hata ashindwd pumua?

Sasa tuko zama mpya tuache kurudi nyuma kwa show off
Ikulu hao wajeda wenye mitutu sijawahi kuwaona wakiongozana na Rais.
 
Heshimu Taasisi na Utaratibu wa Taasisi sawa? Siyo lazima kila lifanywalo na CIA / NSA (Marekani ) basi na TISS ( Tanzania ) nao walifanye au waliige.

Binafsi ( GENTAMYCINE ) nimebahatika Kukaa ( kuwa karibu ) na Walinzi wa baadhi ya Marais wa Ukanda wetu huu ( Kale Kayihura aliyekuwa CIG: wa Uganda ila kabla alikuwa Mlmoja wa Walinzi PPU wa Rais Museveni na Marehemu Noble Mayombo aliyekuwa CMI wa Uganda na aliyewahi pia kuwa ADC wa Rais Museveni ) achilia mbali wa Rais Kagame na wa Hayati Mzee Kabila ( Laureant Kabila ) na Sifa pekee niliyoisikia kutoka Kwao kuhusu TISS na hasa hasa PSU ni kwamba wako vizuri na Wameiva mno Kimedani.

PSU ndiyo blueprint ya Vikosi vingi vya Ulinzi wa Marais katika nchi nyingi za Ukanda huu ikiwemo na Msumbiji na nyinginezo.

Acheni Kudharau vya Kwenu TZ Oky?
ningeshangaa popoma usichangie mada hii. mkeka wangu umekubali.
 
Where does the pride come from?
TISS has completely failed to lead our country into prosperity.
TISS's main objective is gathering of information, assessing and reporting, they should have found out about the miscellenious and report to the sponsor, if the law is the problem they should address the issue and the law be changed to meet the current needs

We can not be controlled by the 1996s law in 2023, in the age of AI, 5G


Their recruitment is worse
We unamchango gani kwa taifa hili zaidi ya kulalamika?.
 
Hawa hadi wanaita watu na kuahidi wanalipa pesa nzuri

Sisi tumekaa kiloco sana
20230331_182807.jpg
 
Hahahhhaaahahhh TISS hawa watoto wa vigogo!! TISS hawa wanaolinda na kushiriki kuiba kura ili CCM ibaki madarakani ama TISS hawa walioshiriki kuiba hela za EPA! Kifupi TISS hii inabidi ifumuliwe yote. Na vijana wengi wa TISS wana UKWASI wa kutisha tofauti na zamani ambapo vichaa wengi walionekana USALAMA. Mtafute Dkt. Slaa anamajibu ya TISS.
Hapo umenena kweli.
Majukumu yao ndo hayo.

Kuna mgomo uliwaahi tokea pale UDOM na wa7bishaji ni Management,ajabu hilo halikugundulika.
Tokea hapo nikaelewa kuwa majukumu ya hao jamaa ni hayo uliyo taja.
 
Back
Top Bottom