Tetesi: Tito Magoti kutengenezewa kesi ya Utakatishaji pesa au Uhujumu uchumi

Tetesi: Tito Magoti kutengenezewa kesi ya Utakatishaji pesa au Uhujumu uchumi

Yaani serikali inayojiita imara inahaha na kuyumbishwa na mtu anayejiita kigogo?
Jee ingekuwa kama ni Osama?
Sidhani kama kigogo ni mtu muhimu kutafutwa kiasi hicho na itakuwa ni aibu kama kweli tuna serikali ambayo haiwezi hata kudukua twitter
 
Halafu jamaa ana jinadi hadharani kwamba hataki kiongoza nchi ambayo watu wanatoa machozi. Na magereza kujaa mahabusu kukiko wafungwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Madikiteita wote wako hivyo! Soma feature inayohusiana na madikiteita uliyoisema ie nationalism
8. Aggressive Nationalism:

The ideology of nationalism is used as a means for securing credibility for the interests of the ruler. In the name of the unity and

development of the people, the ruler exercises his power for his self interest.
 
Itapendeza sana,dawa ya jeuri ni kiburi
Yale yale ya Kabendera yanajirudia tena , hasa baada ya misheni ya kumteka kushtukiwa na kupigiwa kelele na wadau dunia nzima , sasa anaandaliwa mashitaka ya uzushi ili kumkomoa .

Taarifa zinadokeza kwamba hapa ndipo kigugumizi cha Mambosasa kinapoanzia , pamoja na ukweli wote wa njama hizi kuvuja lakini bado wanataka kutekeleza mpango wao , wananchi endeleeni kupiga kelele maana dunia yote iko nyuma yenu.

Shetani hajawahi kumshinda Mungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yale yale ya Kabendera yanajirudia tena , hasa baada ya misheni ya kumteka kushtukiwa na kupigiwa kelele na wadau dunia nzima , sasa anaandaliwa mashitaka ya uzushi ili kumkomoa .

Taarifa zinadokeza kwamba hapa ndipo kigugumizi cha Mambosasa kinapoanzia , pamoja na ukweli wote wa njama hizi kuvuja lakini bado wanataka kutekeleza mpango wao , wananchi endeleeni kupiga kelele maana dunia yote iko nyuma yenu.

Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Piga kelele mwenyewe.
 
Matendo ya aibu sana, kama kweli wabunge wa ccm ni wazalendo wa taifa hili hebu kwa wingi wao bungeni wapiganie hii sheria ya kosa la utakatishaji fedha iwe na dhamana, hapo wataeleweka na wengi, vinginevyo nao wapo kwa ajili ya matumbo yao na kulinda maslahi ya chama chao tu, hawamjali mtz wa chini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wabunge wa ccm !
 
Jela.kuzuri.eeh!? Sawa sawa. Wewe umeandika comment yako kutokea jela eeh!. Au sio!? Safi sana.

Sasa Je? Hujaona watu wanaambiwe warudi mtaani wanakataa na kung'ang'ania huko? Lazima kutakuwa kuzuri tu.
 
Sasa Je? Hujaona watu wanaambiwe warudi mtaani wanakataa na kung'ang'ania huko? Lazima kutakuwa kuzuri tu.
Ni kweli. Kuna wengine wamepewa msamaha nawamefanya makosa ili warudishwe tena huko. Kweli jela kuzuri.
 
Back
Top Bottom