Marwa_J_Merengo
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 4,512
- 6,882
Aibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama kigogo ni mtu muhimu kutafutwa kiasi hicho na itakuwa ni aibu kama kweli tuna serikali ambayo haiwezi hata kudukua twitterYaani serikali inayojiita imara inahaha na kuyumbishwa na mtu anayejiita kigogo?
Jee ingekuwa kama ni Osama?
The expected! Na hiyo ndiyo itakavyokuwa
Madikiteita wote wako hivyo! Soma feature inayohusiana na madikiteita uliyoisema ie nationalismHalafu jamaa ana jinadi hadharani kwamba hataki kiongoza nchi ambayo watu wanatoa machozi. Na magereza kujaa mahabusu kukiko wafungwa
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani wote walotekwa wametekwa siku moja? subiri siku yako. hakuna aliye salama. hata mabwege hawasalimiki!Mbona wewe hujatekwa wala kukamatwa? Au pia Mimi haijanitojea hiyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua hataa devil himself ana roho nzuri sana, hawa wengine ni mapepo wachafuHawa watu ni watekaji wakubwa Kabendera wa watu mpk Leo anasota Ben saa nane hajulikani alipo .. Tundu Lissu ndiyo Huyo anaogopa kurudi.. Harafu viongozi kutwa wapo makanisani wanataka kuombewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Yale yale ya Kabendera yanajirudia tena , hasa baada ya misheni ya kumteka kushtukiwa na kupigiwa kelele na wadau dunia nzima , sasa anaandaliwa mashitaka ya uzushi ili kumkomoa .
Taarifa zinadokeza kwamba hapa ndipo kigugumizi cha Mambosasa kinapoanzia , pamoja na ukweli wote wa njama hizi kuvuja lakini bado wanataka kutekeleza mpango wao , wananchi endeleeni kupiga kelele maana dunia yote iko nyuma yenu.
Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Haitashangaza ndio aina ya mashitaka wanaopenda kuwabambika ili wakateseke magerezani kwa kesi uchwara. Malaika wa giza kashashika hatamu.
Jela.kuzuri.eeh!? Sawa sawa. Wewe umeandika comment yako kutokea jela eeh!. Au sio!? Safi sana.
Hao mikono salama kwanini hawakufuata taratibu zilizoko kwenye katiba na sheria za nchi wakati wanamkamata huyo aliyevunja sheria?Yupo kwenye mikono salama na watanzania siku hizi wanavunja sheria za nchi kisa haki za binadamu. Tunatakiwa kutii katiba yetu na sheria za nchi pia uhuru una mipaka yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Piga kelele mwenyewe.Yale yale ya Kabendera yanajirudia tena , hasa baada ya misheni ya kumteka kushtukiwa na kupigiwa kelele na wadau dunia nzima , sasa anaandaliwa mashitaka ya uzushi ili kumkomoa .
Taarifa zinadokeza kwamba hapa ndipo kigugumizi cha Mambosasa kinapoanzia , pamoja na ukweli wote wa njama hizi kuvuja lakini bado wanataka kutekeleza mpango wao , wananchi endeleeni kupiga kelele maana dunia yote iko nyuma yenu.
Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Baada ya kulipwa madai yako umerudi tena !Piga kelele mwenyewe.
Wabunge wa ccm !Matendo ya aibu sana, kama kweli wabunge wa ccm ni wazalendo wa taifa hili hebu kwa wingi wao bungeni wapiganie hii sheria ya kosa la utakatishaji fedha iwe na dhamana, hapo wataeleweka na wengi, vinginevyo nao wapo kwa ajili ya matumbo yao na kulinda maslahi ya chama chao tu, hawamjali mtz wa chini.
Sent using Jamii Forums mobile app
HakikaHawana baraka za Mungu hawa!!!
Jela.kuzuri.eeh!? Sawa sawa. Wewe umeandika comment yako kutokea jela eeh!. Au sio!? Safi sana.
Ni kweli. Kuna wengine wamepewa msamaha nawamefanya makosa ili warudishwe tena huko. Kweli jela kuzuri.Sasa Je? Hujaona watu wanaambiwe warudi mtaani wanakataa na kung'ang'ania huko? Lazima kutakuwa kuzuri tu.