Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
Amesaliti nini ?Msaliti mwenzio amefikishwa leo Kisutu unafuata wewe jiandae kisaikorojia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesaliti nini ?Msaliti mwenzio amefikishwa leo Kisutu unafuata wewe jiandae kisaikorojia!
Hivyo ndivyo Katiba ya nchi inavyosema ?Lazima ifike pahala tukubali kuwa kumtukana aliye madarakani hata kama humpendi ni kama kuweka roho yako rehani. Kwanini utukane acha wapate kiboko chao! Povu ruksa
Kamuulize hata wewe unajua!Amesaliti nini ?
Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na walimwengu! Mtoto mdogo kila kukicha mitusi, segerea inawafaaHivyo ndivyo Katiba ya nchi inavyosema ?
Acha kutisha watu bwana mdogo weweMsaliti mwenzio amefikishwa leo Kisutu unafuata wewe jiandae kisaikorojia!
Hawa watu ni watekaji wakubwa Kabendera wa watu mpk Leo anasota Ben saa nane hajulikani alipo .. Tundu Lissu ndiyo Huyo anaogopa kurudi.. Harafu viongozi kutwa wapo makanisani wanataka kuombewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kamtukana tusi lipi leta ushahidi hapaLazima ifike pahala tukubali kuwa kumtukana aliye madarakani hata kama humpendi ni kama kuweka roho yako rehani. Kwanini utukane acha wapate kiboko chao! Povu ruksa
Una kazi kweli ila yote yana mwisho mkuuKama ametakatisha acha yamkute na soon mbowe yanamkuta
.state agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na walimwengu! Mtoto mdogo kila kukicha mitusi, segerea inawafaa
Uongozi siyo usela kama wa Manzese kwamba unaamua kufanya utakavyo ni lazima Katiba ifuatwe .Asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na walimwengu! Mtoto mdogo kila kukicha mitusi, segerea inawafaa
Boss jipe nafasi ya kulielewa hilo kosa, hata jero linaweza kutakatishwa! Ni hilo tu hato mengine no comment!🤗🤗🤗🤗🤗Milioni 17 kwa nchi hii inaitwa utakatishaji pesa !
Acha kujitoa ufahamu na wewe anza uone kaziKamtukana tusi lipi leta ushahidi hapa
Achana na kukariri, katiba ipi inaruhusu kutukana ovyo, ulimbukeni wa kuanza kutumia smartphones kunawazuzua akina Tito, kiboko yake unaiona na bado sijui hata marinda- naishia hapoUongozi siyo usela kama wa Manzese kwamba unaamua kufanya utakavyo ni lazima Katiba ifuatwe .
Hakuna mtu anakatazwa kukosoa ila si kwa matusi! Poleni kiboko yenu hiyoooNa nyinyi mnafunzwa na nani! maana hamna tofauti yoyote ile na mashetani. Mnalazimishwa kupendwa na kuheshimiwa wakati stahili yenu pekee ni kudharauliwa, kutukanwa, kukejeliwa na kupuuzwa tu.
Mnafanya mambo ya kitoto, kishamba na kilimbukeni halafu mtegemee kuheshimiwa! Daima ataogopwa Mungu pekee na siyo mwanadamu ambaye ni udongo tu.
Hamna ubavu wa kuwanyamazisha wananchi wote, upinzani/kukosolewa ni kama mvua! Huwezi kuizuia kunyesha.