Tetesi: Tito Magoti kutengenezewa kesi ya Utakatishaji pesa au Uhujumu uchumi

Tetesi: Tito Magoti kutengenezewa kesi ya Utakatishaji pesa au Uhujumu uchumi

Masuala ya utekaji na mauaji kisha kuwekwa kwenye viroba na hili la uhujumu uchumi na utakatishaji fedha hautokoma hadi pale SHETANI MKUU atakapopigwa chini. Na watakaoweza kumpiga chini ni sisi raia wapenda haki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huko kwa mambosasa kuna ndugu zetu, lazima mambo ya leak! just wait for today or tommorrow!
FB_IMG_1577187332591.jpg
 
Yale yale ya Kabendera yanajirudia tena , hasa baada ya misheni ya kumteka kushtukiwa na kupigiwa kelele na wadau dunia nzima , sasa anaandaliwa mashitaka ya uzushi ili kumkomoa .

Taarifa zinadokeza kwamba hapa ndipo kigugumizi cha Mambosasa kinapoanzia , pamoja na ukweli wote wa njama hizi kuvuja lakini bado wanataka kutekeleza mpango wao , wananchi endeleeni kupiga kelele maana dunia yote iko nyuma yenu.

Shetani hajawahi kumshinda Mungu

UPDATES
..................


View attachment 1302314
Tukome kukubali kuongozwa na tyrants
 
Yale yale ya Kabendera yanajirudia tena , hasa baada ya misheni ya kumteka kushtukiwa na kupigiwa kelele na wadau dunia nzima , sasa anaandaliwa mashitaka ya uzushi ili kumkomoa .

Taarifa zinadokeza kwamba hapa ndipo kigugumizi cha Mambosasa kinapoanzia , pamoja na ukweli wote wa njama hizi kuvuja lakini bado wanataka kutekeleza mpango wao , wananchi endeleeni kupiga kelele maana dunia yote iko nyuma yenu.

Shetani hajawahi kumshinda Mungu

UPDATES
..................


View attachment 1302314
Lazima ifike pahala tukubali kuwa kumtukana aliye madarakani hata kama humpendi ni kama kuweka roho yako rehani. Kwanini utukane acha wapate kiboko chao! Povu ruksa
 
Back
Top Bottom