Hatishwi mtu hapo ila anaambiwa ukweli. Kama unaona sawa endelea!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatishwi mtu hapo ila anaambiwa ukweli. Kama unaona sawa endelea!
Kifungu gani cha Katiba kinasema utukane ovyo!Uongozi siyo usela kama wa Manzese kwamba unaamua kufanya utakavyo ni lazima Katiba ifuatwe .
Wafuate Gerezani ukawaone walivyonyong'onyeya!Na nyinyi mnafunzwa na nani! maana hamna tofauti yoyote ile na mashetani. Mnalazimishwa kupendwa na kuheshimiwa wakati stahili yenu pekee ni kudharauliwa, kutukanwa, kukejeliwa na kupuuzwa tu.
Mnafanya mambo ya kitoto, kishamba na kilimbukeni halafu mtegemee kuheshimiwa! Daima ataogopwa Mungu pekee na siyo mwanadamu ambaye ni udongo tu.
Hamna ubavu wa kuwanyamazisha wananchi wote, upinzani/kukosolewa ni kama mvua! Huwezi kuizuia kunyesha.
Ni aibu sana !
Jifunzeni kujenga hoja kuliko kutukana viongozi eti demokrasiThe expected! Na hiyo ndiyo itakavyokuwa
Wapo wanaovunja katiba mchana kweupe lkn unafiki hauwezi ukawaacha muone, hata akina Gaddafi waiondoka, wakati ukuta.Yupo kwenye mikono salama na watanzania siku hizi wanavunja sheria za nchi kisa haki za binadamu. Tunatakiwa kutii katiba yetu na sheria za nchi pia uhuru una mipaka yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashauri waandisho wa habari wote nchini wafunguliwe mashtaka kama hayaYale yale ya Kabendera yanajirudia tena , hasa baada ya misheni ya kumteka kushtukiwa na kupigiwa kelele na wadau dunia nzima , sasa anaandaliwa mashitaka ya uzushi ili kumkomoa .
Taarifa zinadokeza kwamba hapa ndipo kigugumizi cha Mambosasa kinapoanzia , pamoja na ukweli wote wa njama hizi kuvuja lakini bado wanataka kutekeleza mpango wao , wananchi endeleeni kupiga kelele maana dunia yote iko nyuma yenu.
Shetani hajawahi kumshinda Mungu
UPDATES
..................
View attachment 1302314
Safi sana! Sasa ni kazi yake kuithibitishia mahakama kuwa hana hatia ama la!
Lazima ifike pahala tukubali kuwa kumtukana aliye madarakani hata kama humpendi ni kama kuweka roho yako rehani. Kwanini utukane acha wapate kiboko chao! Povu ruksa
Mbona na nyie mnawatukana wapinzani na hamkamatwi? Au ndio vile Mkuki mtamu kwa nguruwe ila mchungu kwa binadamu! Sawa bhanaAchana na kukariri, katiba ipi inaruhusu kutukana ovyo, ulimbukeni wa kuanza kutumia smartphones kunawazuzua akina Tito, kiboko yake unaiona na bado sijui hata marinda- naishia hapo
Be objective dogo. Mahakama ndio sehemu sahihi kwa mtu kuprove guilty or not!We nyauba utapata tabu sana siku roho yako inatolewa, endelea kujifanya una roho mbaya kuliko Shetani tu, dunia njia hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatujawahi kubahatisha mkuu .Yametimia!!!!!!
Mahakama za wapi?Be objective dogo. Mahakama ndio sehemu sahihi kwa mtu kuprove guilty or not!
Watanzania hatuvunji sheria za nchi, jiwe ameamua kwamba yeye mwenyewe ndiye mwenye sheria na kichwa chake ndiyo katiba ya nchi
Sent using Jamii Forums mobile app