Madai gani?Baada ya kulipwa madai yako umerudi tena !
Jela.kuzuri.eeh!? Sawa sawa. Wewe umeandika comment yako kutokea jela eeh!. Au sio!? Safi sana.
elfu saba saba za kushinda mitandaoni ulizodhulumiwa na PolepoleMadai gani?
Usikariri bwashee!
huko kwa mambosasa kuna ndugu zetu, lazima mambo ya leak! just wait for today or tommorrow!
Usikariri bwashee!
Hahahaaa...... Nakutakia pasaka njema bwashee!Umeamini ewe kidosho wa buku7fc
Na atafikishwa mahakamani akiwa anachechemea. Sijui hizi kesi za uhujumu uchumi ukihojiwa tu miguu inakufa ganzi...
Na ndivyo ilivyotokea...bila hata ya kukaririUsikariri bwashee!
nae ametakatisha?Kama ametakatisha acha yamkute na soon mbowe yanamkuta
.state agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukome kukubali kuongozwa na tyrantsYale yale ya Kabendera yanajirudia tena , hasa baada ya misheni ya kumteka kushtukiwa na kupigiwa kelele na wadau dunia nzima , sasa anaandaliwa mashitaka ya uzushi ili kumkomoa .
Taarifa zinadokeza kwamba hapa ndipo kigugumizi cha Mambosasa kinapoanzia , pamoja na ukweli wote wa njama hizi kuvuja lakini bado wanataka kutekeleza mpango wao , wananchi endeleeni kupiga kelele maana dunia yote iko nyuma yenu.
Shetani hajawahi kumshinda Mungu
UPDATES
..................
View attachment 1302314
Msaliti mwenzio amefikishwa leo Kisutu unafuata wewe jiandae kisaikorojia!elfu saba saba za kushinda mitandaoni ulizodhulumiwa na Polepole
We nyauba utapata tabu sana siku roho yako inatolewa, endelea kujifanya una roho mbaya kuliko Shetani tu, dunia njia hiiSafi sana! Sasa ni kazi yake kuithibitishia mahakama kuwa hana hatia ama la!
Lazima ifike pahala tukubali kuwa kumtukana aliye madarakani hata kama humpendi ni kama kuweka roho yako rehani. Kwanini utukane acha wapate kiboko chao! Povu ruksaYale yale ya Kabendera yanajirudia tena , hasa baada ya misheni ya kumteka kushtukiwa na kupigiwa kelele na wadau dunia nzima , sasa anaandaliwa mashitaka ya uzushi ili kumkomoa .
Taarifa zinadokeza kwamba hapa ndipo kigugumizi cha Mambosasa kinapoanzia , pamoja na ukweli wote wa njama hizi kuvuja lakini bado wanataka kutekeleza mpango wao , wananchi endeleeni kupiga kelele maana dunia yote iko nyuma yenu.
Shetani hajawahi kumshinda Mungu
UPDATES
..................
View attachment 1302314