TLS kumsaidia aliyefungwa Miaka 22 kisa nyama ya Swala

TLS kumsaidia aliyefungwa Miaka 22 kisa nyama ya Swala

Jitahidi sana uwe unakula na vitamins zote uzipate kwa sababu ile gas inayotengenezwa tumboni ukiwa na njaa ikiingia kwenye ubongo inasababisha ubongo kujikaanga na hatimaye fikra kuungua na kunuka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aisee
 
My God! Kumbe ni mjane tena mwenye watoto wa nne?!!

Nilisema toka mwanzo, huyo hakimu ni shetani aliyevaa ngozi ya binadamu.

Wana umri gani hao watoto?!!
 
Nilidhani huyo hakimu wa michongo Ni mwanamke, kumbe Ni mwanaume?
Hebu mtizameni vizuri Kama Ni mwanaume kweli na ndegu anazo.
Angekua Ni mwanamke labda tingesema wanagombea bwana. Sasa .....
 
Walikuwa wapi wakati kesi inaendelea?Ila tunawashukuru kwa kukumbuka wajibu wao kwa jamii.
Walikua hapo hapo walipo. Hivi kwa akili yako Kama matembele yaliyo chacha unategemea TLS wako kila mahakama nchini? Unadhani wanakula na kulala kwa danga la dada Kama wewe?
 
28aeada3704aff46b4aab83218d33adc
CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Kanda ya Iringa wameanzisha kampeni ya kumsaidia kisheria mjane Maria Emirio Ngoda aliyehukumiwa na Mahakama ya Mkoa wa Iringa kifungo cha miaka 22 kwa kosa la kukutwa na ndoo yenye vipande 12 vya nyama ya swala kinyume na sheria.

Hukumu hiyo ilitolewa Novemba 3, mwaka huu na Hakimu Mkazi Mkuu Mkoa wa Iringa, Said Mkasiwa baada ya kujiridhisha pasipo na shaka kuwa ni kweli mjane huyo mwenye watoto wanne alikutwa na ndoo iliyokuwa na nyama hiyo yenye thamani ya Sh 900,000.

17ab033562d668ed4cafa45cc0e59e27

Kwa kupitia taarifa yao waliyoitoa mapema leo, Mwenyekiti wa TLS Kanda ya Iringa, Wakili Moses Ambindwile pamoja na Wakili Cosmas Kishamawe wamesema kwa kushirikiana na mawakili wengine wa mkoani Iringa tayari wameanzisha mchakato wa kumsaidia kisheria mjane huyo.

Mawakili hao wamesema tayari mchakato wa kukata rufaa dhidi ya hukumu ya Mahakama ya Mkoa wa Iringa umeanza rasmi leo asubuhi ikiwa ni muendelezo wa mpango wao wa kutoa msaada wa ushauri na utetezi wa kisheria kwa makundi mbalimbali ya kijamii yasio na uwezo.

Ambindwile alisema tangu waanzishe mpango wa kutoa msaada wa ushauri wa kisheria mkoani Iringa, wameendelea kupokea maombi kutoka kwa makundi ya watu wasio na uwezo kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya mkoa wa Iringa.

“Tuishukuru sana kampuni ya Asas kwa ahadi yake iliyotolewa na mmoja wa wakurugenzi wake, Ahmed Asas kwa kujitokeza kushirikiana nasi ili tuweze kuwafikia watu wengi zaidi wasio na uwezo hususani wale waishio vijijini,” alisema.
Mpaka sasa taasisi bora ya Taalum Tanzania ni Hii ya wanasheria na mawakili
 
Hivi uyo mama anaweza kuwinda swala kweli! Uyo hakimu sijui alisoma wapi? Alipita school of law kweli! Maswali ni mengi majibu hakuna
Kwa hio school of law ndio wanafundisha kuwa kina mama hawawezi kuwinda Swala?

Mama kakosea kiukweli ila kifungo hakiendani na kosa
 
Watanzania bhana.....tupo so emotional.....ujangili ni mtandao mkubwa sana.......na huwezi kuwatambua Kwa macho majangili.........

Inawezekana ikawa kaonewa au na yeye ni jangili.....ngoja tuone mtifuano wa kisheria baada ya rufaa kukamilika......lakini kuleta emotions kwenye masuala haya ya kihalifu kwani wakati mwingine unaweza kumtetea jambazi Kwa kuwa tu anatia huruma......
 
28aeada3704aff46b4aab83218d33adc
CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Kanda ya Iringa wameanzisha kampeni ya kumsaidia kisheria mjane Maria Emirio Ngoda aliyehukumiwa na Mahakama ya Mkoa wa Iringa kifungo cha miaka 22 kwa kosa la kukutwa na ndoo yenye vipande 12 vya nyama ya swala kinyume na sheria.

Hukumu hiyo ilitolewa Novemba 3, mwaka huu na Hakimu Mkazi Mkuu Mkoa wa Iringa, Said Mkasiwa baada ya kujiridhisha pasipo na shaka kuwa ni kweli mjane huyo mwenye watoto wanne alikutwa na ndoo iliyokuwa na nyama hiyo yenye thamani ya Sh 900,000.

17ab033562d668ed4cafa45cc0e59e27

Kwa kupitia taarifa yao waliyoitoa mapema leo, Mwenyekiti wa TLS Kanda ya Iringa, Wakili Moses Ambindwile pamoja na Wakili Cosmas Kishamawe wamesema kwa kushirikiana na mawakili wengine wa mkoani Iringa tayari wameanzisha mchakato wa kumsaidia kisheria mjane huyo.

Mawakili hao wamesema tayari mchakato wa kukata rufaa dhidi ya hukumu ya Mahakama ya Mkoa wa Iringa umeanza rasmi leo asubuhi ikiwa ni muendelezo wa mpango wao wa kutoa msaada wa ushauri na utetezi wa kisheria kwa makundi mbalimbali ya kijamii yasio na uwezo.

Ambindwile alisema tangu waanzishe mpango wa kutoa msaada wa ushauri wa kisheria mkoani Iringa, wameendelea kupokea maombi kutoka kwa makundi ya watu wasio na uwezo kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya mkoa wa Iringa.

“Tuishukuru sana kampuni ya Asas kwa ahadi yake iliyotolewa na mmoja wa wakurugenzi wake, Ahmed Asas kwa kujitokeza kushirikiana nasi ili tuweze kuwafikia watu wengi zaidi wasio na uwezo hususani wale waishio vijijini,” alisema.
Tunaomba kupata namna ya kutuma fedha Kwa ajili ya kusaidia Huyu mama Watoto wake na kwenye hiyo kesi.
 
Huyo hakimu aliyetoa hiyo hukumu kasababisha mahakama ziendelee kuonekana hazitumii weledi na ziko kwa ajili ya maskini tu.Au alimaanisha siku 22 akakosea.maana adhabu gani ambayo haiendani na uhalisia.ata kama nikukomoa uko kumezidi.Afadhali kama kapata msaada.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wa hovyosana lakitisa tu nyundo zote hizo wakati tilion 1.5 ,mtu mmoja anapiga na hagusw
 
Watanzania bhana.....tupo so emotional.....ujangili ni mtandao mkubwa sana.......na huwezi kuwatambua Kwa macho majangili.........

Inawezekana ikawa kaonewa au na yeye ni jangili.....ngoja tuone mtifuano wa kisheria baada ya rufaa kukamilika......lakini kuleta emotions kwenye masuala haya ya kihalifu kwani wakati mwingine unaweza kumtetea jambazi Kwa kuwa tu anatia huruma......
Miaka 22 kwa nyama hata wewe unapaswa kumuonea huruma huyo mama.
 
28aeada3704aff46b4aab83218d33adc
CHAMA cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Kanda ya Iringa wameanzisha kampeni ya kumsaidia kisheria mjane Maria Emirio Ngoda aliyehukumiwa na Mahakama ya Mkoa wa Iringa kifungo cha miaka 22 kwa kosa la kukutwa na ndoo yenye vipande 12 vya nyama ya swala kinyume na sheria.

Hukumu hiyo ilitolewa Novemba 3, mwaka huu na Hakimu Mkazi Mkuu Mkoa wa Iringa, Said Mkasiwa baada ya kujiridhisha pasipo na shaka kuwa ni kweli mjane huyo mwenye watoto wanne alikutwa na ndoo iliyokuwa na nyama hiyo yenye thamani ya Sh 900,000.

17ab033562d668ed4cafa45cc0e59e27

Kwa kupitia taarifa yao waliyoitoa mapema leo, Mwenyekiti wa TLS Kanda ya Iringa, Wakili Moses Ambindwile pamoja na Wakili Cosmas Kishamawe wamesema kwa kushirikiana na mawakili wengine wa mkoani Iringa tayari wameanzisha mchakato wa kumsaidia kisheria mjane huyo.

Mawakili hao wamesema tayari mchakato wa kukata rufaa dhidi ya hukumu ya Mahakama ya Mkoa wa Iringa umeanza rasmi leo asubuhi ikiwa ni muendelezo wa mpango wao wa kutoa msaada wa ushauri na utetezi wa kisheria kwa makundi mbalimbali ya kijamii yasio na uwezo.

Ambindwile alisema tangu waanzishe mpango wa kutoa msaada wa ushauri wa kisheria mkoani Iringa, wameendelea kupokea maombi kutoka kwa makundi ya watu wasio na uwezo kutoka maeneo mbalimbali ndani na nje ya mkoa wa Iringa.

“Tuishukuru sana kampuni ya Asas kwa ahadi yake iliyotolewa na mmoja wa wakurugenzi wake, Ahmed Asas kwa kujitokeza kushirikiana nasi ili tuweze kuwafikia watu wengi zaidi wasio na uwezo hususani wale waishio vijijini,” alisema.
 

Attachments

  • C4B417E9-BFBF-4FC0-8C56-CDE737D80BA1.jpeg
    C4B417E9-BFBF-4FC0-8C56-CDE737D80BA1.jpeg
    110.3 KB · Views: 3
Back
Top Bottom