TMA mbona mpo kimya kwa hizi mvua za June?

TMA mbona mpo kimya kwa hizi mvua za June?

Wao ndio wahusika wa mvua au wahusika wa hako Ka taasisi kao cha kubet 😀😀😀
Kwa style hii itabidi na wao wapeleke muswada Bungeni kuomba kinga ya kutoshtakiwa....
 
Hao Jamaa Mpaka waone Wingu Jeusi ndiyo wanaleta utabiri wa kuwa na mvua lakini kukiwa kweupe kama jana wasingeweza kujua kwamba leo kutakuwa na mvua.
Walimuomba JeiKei awapatie mtambo wa kisasa na wakapewa.

Sijui wanaautumiaje huo mtambo
 
Mitambo yenyewe wanayo sasa, kazi ku-copy na ku-paste. Bongo hakuna utabiri bali ni matangazo ya hali ya hewa.
Hujui lolote kaa kimya otherwise uwe umewahi kuingia TMA Hapo ubungo ukaziona hizo models.... forecasting inahusisha kubadilisha data kila baada ya dakika tano. Hub kubwa east Africa iko Nairobi kubwa UK....na mule ndani Wana apply pure physics...ni kazi kubwa saa Saba mchana Kuna kurepresent...kule hukai ukianza kazi unapigwa shule nje ya nchi fasta ukirudi unakaa kidogo unaenda Tena nje kusoma...wasio na master degree pale labda wa kitengo Cha archive na data entry...mkuu usichukulie poa fani za watu...


Models ni Nini
1.picha za satetile za mawingu
2.atmosperic pressure
3.wind direction ya dunia nzima na speed yake na perameters nyingine

Na zinachorwa kwenye karatasi kubwa sana kwa penseli
 
Hao Jamaa Mpaka waone Wingu Jeusi ndiyo wanaleta utabiri wa kuwa na mvua lakini kukiwa kweupe kama jana wasingeweza kujua kwamba leo kutakuwa na mvua.
Nilikuwa nchi moja majuu jamaa wanatoa utabiri almost kila saa na wana uwezo wa kutabiri hadi siku ambayo mvua itanyesha hata wiki mbili mbele huko, kwa hiyo mna uwezo wa kupanga shughuli yenu kwa kuzingatia utabiri wao maana hauna kubahatisha.

Ila wanavyodai utabiri kwenye hizi nchi za kitropiki ni mgumu kutokana na hali ya hewa kutokuwa na mpangilio mzuri, muda wowote mambo yanakorogeka.​
 
Msimu wa Mei kuelejea Julai huwa ni aghalabu kuwa na mvua kwani mazao yanakuwa yanakaribia kuvunwa.
hapo nilipoweka bold na italics ilitakiwa isome 'si aghalabu' = nadra kutokea au haitokei mara kwa mara

baada ya mvua za masika kuna mvua zile zinazopiga kwa kupita huwa zinaitwa 'mchoo' au 'mchororo' kwa watu wa kusini Zanzibar. Mvua hizi huleta baridi sana kwani zinaambatana na upepo wa Kusi (south east winds).

Mimi siyo mtaalamu wa hali ya hewa lakini hiyo ni 'indigenous knowledge' tu.
 
Uwe unafuatilia habari, soma hapo chini
Screenshot_20230605-114926_1.jpg
 
Hujui lolote kaa kimya otherwise uwe umewahi kuingia TMA Hapo ubungo ukaziona hizo models.... forecasting inahusisha kubadilisha data kila baada ya dakika tano. Hub kubwa east Africa iko Nairobi....na mule ndani Wana apply pure physics...ni kazi kubwa saa Saba mchana Kuna kurepresent...kule hukai ukianza kazi unapigwa shule nje ya nchi fasta ukirudi unakaa kidogo unaenda Tena nje kusoma...wasio na master degree pale labda wa kitengo Cha archive...mkuu usichukulie poa fani za watu...


Models ni Nini
1.picha za satetile za mawingu
2.atmosperic pressure
3.wind direction ya dunia nzima

Na zinachorwa kwenye karatasi kubwa sana
Lakini seems hawaitendei haki taaluma yao.
Wapo soo primitive
 
Back
Top Bottom