TMA mbona mpo kimya kwa hizi mvua za June?

TMA mbona mpo kimya kwa hizi mvua za June?

Wananzengo mmeamkaje leo?

Kuanzia wiki ya mwisho ya mwezi Mei hadi kuingia Juni 2023 hali ya hewa imekuwa ya mvua na hatujui hizi ni mvua gani.

Msimu wa Mei kuelejea Julai huwa ni aghalabu kuwa na mvua kwani mazao yanakuwa yanakaribia kuvunwa.

Lekini ukimya wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) inaleta mashaka kidogo. Je hizi mvua zinazonyesha ni za msimu gani haswa?
Miti imekatwa hovyo hovyo.. mnategemea nini zaidi ya mabadiliko ya tabia nchi.. na bado[emoji848]
 
Lakini seems hawaitendei haki taaluma yao.
Wapo soo primitive
Mkuu niamini mimi wanajitahidi sana kwa zaidi ya 80% ya tabiri ni za kweli




Changamoto ni umaskini wa nchi hata kushindwa ku meet WMO Standards

Kwa mfano kila kilometer 10 kuwe na weather station sisi bado hatuwezi hio ndo maana missing data zinakuwepo kazi inakuwa ngumu
 
Nilikuwa nchi moja majuu jamaa wanatoa utabiri almost kila saa na wana uwezo wa kutabiri hadi siku ambayo mvua itanyesha hata wiki mbili mbele huko, kwa hiyo mna uwezo wa kupanga shughuli yenu kwa kuzingatia utabiri wao maana hauna kubahatisha.

Ila wanavyodai utabiri kwenye hizi nchi za kitropiki ni mgumu kutokana na hali ya hewa kutokuwa na mpangilio mzuri, muda wowote mambo yanakorogeka.​
Licha ya hivo mkuu kwa standard za WMO tulipaswa tuwe na angalau weather Station walau kwa range ya km 10 je tuna uwezo huo gharama za uendeshaji malipo ya wasomaji na hata vikiwa vya automatic tuna pesa??maana tukiwa na everage nzuri ya parameter ndo tabiri nzuri. Sisi sio [emoji636]
 
Licha ya hivo mkuu kwa standard za WMO tulipaswa tuwe na angalau weather Station walau kwa range ya km 10 je tuna uwezo huo gharama za uendeshaji malipo ya wasomaji na hata vikiwa vya automatic tuna pesa??maana tukiwa na everage nzuri ya parameter ndo tabiri nzuri. Sisi sio [emoji636]
Acha tuendelee na ramli chonganishi, maana hata dola zimeadimika.
 
Sasa kosa Lao n n lipi wao n watabir tu kwa mkulima mzoefu ataelewa tu mvua ilichelewa kuanza kwahiyo itachelewa kuisha
 
Walitabiri mvua zitakua hafifu hadi wastani.

Zenyewe zimepitiliza, sasa wanakosa pa kuanzia.
 
Wananzengo mmeamkaje leo?

Kuanzia wiki ya mwisho ya mwezi Mei hadi kuingia Juni 2023 hali ya hewa imekuwa ya mvua na hatujui hizi ni mvua gani.

Msimu wa Mei kuelejea Julai huwa ni aghalabu kuwa na mvua kwani mazao yanakuwa yanakaribia kuvunwa.

Lekini ukimya wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) inaleta mashaka kidogo. Je hizi mvua zinazonyesha ni za msimu gani haswa?
Upo busy na kubet na kusikiliza singeli...
TMA walishatoa angalizo ya mvua za Elnino..punguza kusikiliza vipindi vya udaku ama vya michezo.
 
Upo busy na kubet na kusikiliza singeli...
TMA walishatoa angalizo ya mvua za Elnino..punguza kusikiliza vipindi vya udaku ama vya michezo.
Mzee wa kupiga ramli nakuona unajaribu kutabiri routines zangu
 
Wananzengo mmeamkaje leo?

Kuanzia wiki ya mwisho ya mwezi Mei hadi kuingia Juni 2023 hali ya hewa imekuwa ya mvua na hatujui hizi ni mvua gani.

Msimu wa Mei kuelejea Julai huwa ni aghalabu kuwa na mvua kwani mazao yanakuwa yanakaribia kuvunwa.

Lekini ukimya wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) inaleta mashaka kidogo. Je hizi mvua zinazonyesha ni za msimu gani haswa?
walishatoa utabiri mapema April kua Mwishoni mwa mwezi May kutakua na mvua za Elminyo
 
Wananzengo mmeamkaje leo?

Kuanzia wiki ya mwisho ya mwezi Mei hadi kuingia Juni 2023 hali ya hewa imekuwa ya mvua na hatujui hizi ni mvua gani.

Msimu wa Mei kuelejea Julai huwa ni aghalabu kuwa na mvua kwani mazao yanakuwa yanakaribia kuvunwa.

Lekini ukimya wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) inaleta mashaka kidogo. Je hizi mvua zinazonyesha ni za msimu gani haswa?
Hao nao huwa wana Bashiri xo wakati mwingine mkeka huchanika maana kuna wakati pia husema mvua zitanyesha na zisi nyeshe .... tuvumilie tu
 
Wananzengo mmeamkaje leo?

Kuanzia wiki ya mwisho ya mwezi Mei hadi kuingia Juni 2023 hali ya hewa imekuwa ya mvua na hatujui hizi ni mvua gani.

Msimu wa Mei kuelejea Julai huwa ni aghalabu kuwa na mvua kwani mazao yanakuwa yanakaribia kuvunwa.

Lekini ukimya wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) inaleta mashaka kidogo. Je hizi mvua zinazonyesha ni za msimu gani haswa?
Walishasema zitakwenda mpaka June kutokana na mabadiliko ya tabia nchi, ila nilidhani wasiisingizie nchi wangesema mabadiliko ya tabia watu
 
Mzee wa kupiga ramli nakuona unajaribu kutabiri routines zangu
Kuna mambo mengine haupaswi kuuliza ni kiasi cha kukaa chini na kujiuliza haya mabadiliko yanaletwa na nini, kisha unaenda kwenye tovuti ya TMA wanakujulisha. Vijana wengi hasa wewe ni wazembe sana.
 
Uchawi wa Yanga huu kuwakomoa Simba baada ya wao kuwaletea mvua Kwenye finally sasa na wao wameamua kuiendeleza km mbwaimbwai
 
Back
Top Bottom