TMA mbona mpo kimya kwa hizi mvua za June?

TMA mbona mpo kimya kwa hizi mvua za June?

"'Sisi kama taasisi inayohusika na hewa sisi wenyewe tunashangazwa Na hili maana sio kawaida,ila tunaskia skia ni mvua za Simba Bado tunachunguza".Asante wenu tmaa
 
Unahitaji ufafanuzi gani zaidi ya huo uliofafanua kwenye thridi yako??zitumie kuvuna maji ya akiba kwa ajili ya Matumizi yako ya nyumbani wewe endelea kusubiria ufafanuzi wa tma!!
 
Hujui lolote kaa kimya otherwise uwe umewahi kuingia TMA Hapo ubungo ukaziona hizo models.... forecasting inahusisha kubadilisha data kila baada ya dakika tano. Hub kubwa east Africa iko Nairobi kubwa UK....na mule ndani Wana apply pure physics...ni kazi kubwa saa Saba mchana Kuna kurepresent...kule hukai ukianza kazi unapigwa shule nje ya nchi fasta ukirudi unakaa kidogo unaenda Tena nje kusoma...wasio na master degree pale labda wa kitengo Cha archive na data entry...mkuu usichukulie poa fani za watu...


Models ni Nini
1.picha za satetile za mawingu
2.atmosperic pressure
3.wind direction ya dunia nzima na speed yake na perameters nyingine

Na zinachorwa kwenye karatasi kubwa sana kwa penseli
Sawa, hao wanaojua mbona hawatupi mrejesho hizi mvua zinatokea wapi, zinaenda wap? Hayo mambo ya masters sio hoja now day's wangapi wamesoma na wanashindwa kulisaidia Taifa kujikwamua kutoka kwenye umaskini......Fanya changes kwanza watu waone impact then appreciation hitakuja tu, lakini wasomi wa Tz wanataka kuheshimiwa huku hakuna chochote walichokifanya kuleta mabadiliko kwenye jamii husika ya Taifa lao.

1. Hayo mambo ya Atmospheric Pressure yanakuwa measured through Barometer Equipment (Maelekezo yamejaa kila sehemu kwanzia kwenye website mpaka youtube) easy - usitake kufanya mambo kuwa magumu mzee.
2. Wind direction - Wind Vane "Easy tu" simple tasks.
3. Satellite Image, tusidanganyane bongo hapa hatuna satellite yetu - kwenye hili tunatoa kutoka kwa Wenzetu.

Tena siku hizi hayo mambo ya Weather prediction and Forecast ni mwendo wa "Automation" tu through the use of AI inakupa data zote kwanzia kwenye thunderstorm prediction,snowfalls, rainfall, frog and mist formation, sundays, clouds formation and prediction, wind speed and direction na mengineyo.

Tuache kudanganyana mzee, hakuna ugumu wowote kwa dunia ya sasa ya science and technology................Kila kitu kipo kwenye vidole vyako, simu yako tu within a minutes inakupa utabiri wa hali ya hewa ya sehemu uliyopo.​
 
Wananzengo mmeamkaje leo?

Kuanzia wiki ya mwisho ya mwezi Mei hadi kuingia Juni 2023 hali ya hewa imekuwa ya mvua na hatujui hizi ni mvua gani.

Msimu wa Mei kuelejea Julai huwa ni aghalabu kuwa na mvua kwani mazao yanakuwa yanakaribia kuvunwa.

Lekini ukimya wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) inaleta mashaka kidogo. Je hizi mvua zinazonyesha ni za msimu gani haswa?
Walitabiri tangu awali: Swali ndiyo hizi???? Hapa ni ufafanuzi unahitajika zaidi.


TMA yahadharisha uwezekano wa El Nino​


habarileo.co.tz
https://habarileo.co.tz › tma-yahadh...

·Translate this page

5 May 2023 — MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema inafuatilia mifumo ya hali ya hewa kuhusu kunyesha kwa mvua za El Nino baada ya kuonesha kuwa ...


TMA yatoa tahadhari uwepo mvua za El Nino​


tanzaniaweb.com
https://www.tanzaniaweb.com › TM...

·Translate this page

4 May 2023 — Mvua za msimu wa masika zinatarajiwa kwisha wiki ya nne ya mwezi Mei, hata hivyo kutakuwa na mwendelezo wa mvua za nje ya msimu zinazotarajiwa ...


Kuna uwezekano wa kuwepo Mvua za EL Nino kwa 60%​


jamiiforums.com
https://www.jamiiforums.com › tma...

·Translate this page

5 May 2023 — MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema inafuatilia mifumo ya hali ya hewa kuhusu kunyesha kwa mvua za El Nino baada ya kuonesha kuwa ...
 
Sawa, hao wanaojua mbona hawatupi mrejesho hizi mvua zinatokea wapi, zinaenda wap? Hayo mambo ya masters sio hoja now day's wangapi wamesoma na wanashindwa kulisaidia Taifa kujikwamua kutoka kwenye umaskini......Fanya changes kwanza watu waone impact then appreciation hitakuja tu, lakini wasomi wa Tz wanataka kuheshimiwa huku hakuna chochote walichokifanya kuleta mabadiliko kwenye jamii husika ya Taifa lao.

1. Hayo mambo ya Atmospheric Pressure yanakuwa measured through Barometer Equipment (Maelekezo yamejaa kila sehemu kwanzia kwenye website mpaka youtube) easy - usitake kufanya mambo kuwa magumu mzee.
2. Wind direction - Wind Vane "Easy tu" simple tasks.
3. Satellite Image, tusidanganyane bongo hapa hatuna satellite yetu - kwenye hili tunatoa kutoka kwa Wenzetu.

Tena siku hizi hayo mambo ya Weather prediction and Forecast ni mwendo wa "Automation" tu through the use of AI inakupa data zote kwanzia kwenye thunderstorm prediction,snowfalls, rainfall, frog and mist formation, sundays, clouds formation and prediction, wind speed and direction na mengineyo.

Tuache kudanganyana mzee, hakuna ugumu wowote kwa dunia ya sasa ya science and technology................Kila kitu kipo kwenye vidole vyako, simu yako tu within a minutes inakupa utabiri wa hali ya hewa ya sehemu uliyopo.​
Mkuu inatosha, usisababishe mtu kujirusha ghorofani buree
 
Hujui lolote kaa kimya otherwise uwe umewahi kuingia TMA Hapo ubungo ukaziona hizo models.... forecasting inahusisha kubadilisha data kila baada ya dakika tano. Hub kubwa east Africa iko Nairobi kubwa UK....na mule ndani Wana apply pure physics...ni kazi kubwa saa Saba mchana Kuna kurepresent...kule hukai ukianza kazi unapigwa shule nje ya nchi fasta ukirudi unakaa kidogo unaenda Tena nje kusoma...wasio na master degree pale labda wa kitengo Cha archive na data entry...mkuu usichukulie poa fani za watu...


Models ni Nini
1.picha za satetile za mawingu
2.atmosperic pressure
3.wind direction ya dunia nzima na speed yake na perameters nyingine

Na zinachorwa kwenye karatasi kubwa sana kwa penseli
Tunajua umesoma maji, acha kuunga unga na kidiploma chako uchwara
 
Back
Top Bottom