Miti imekatwa hovyo hovyo.. mnategemea nini zaidi ya mabadiliko ya tabia nchi.. na bado[emoji848]Wananzengo mmeamkaje leo?
Kuanzia wiki ya mwisho ya mwezi Mei hadi kuingia Juni 2023 hali ya hewa imekuwa ya mvua na hatujui hizi ni mvua gani.
Msimu wa Mei kuelejea Julai huwa ni aghalabu kuwa na mvua kwani mazao yanakuwa yanakaribia kuvunwa.
Lekini ukimya wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) inaleta mashaka kidogo. Je hizi mvua zinazonyesha ni za msimu gani haswa?
Mkuu niamini mimi wanajitahidi sana kwa zaidi ya 80% ya tabiri ni za kweliLakini seems hawaitendei haki taaluma yao.
Wapo soo primitive
Licha ya hivo mkuu kwa standard za WMO tulipaswa tuwe na angalau weather Station walau kwa range ya km 10 je tuna uwezo huo gharama za uendeshaji malipo ya wasomaji na hata vikiwa vya automatic tuna pesa??maana tukiwa na everage nzuri ya parameter ndo tabiri nzuri. Sisi sio [emoji636]Nilikuwa nchi moja majuu jamaa wanatoa utabiri almost kila saa na wana uwezo wa kutabiri hadi siku ambayo mvua itanyesha hata wiki mbili mbele huko, kwa hiyo mna uwezo wa kupanga shughuli yenu kwa kuzingatia utabiri wao maana hauna kubahatisha.
Ila wanavyodai utabiri kwenye hizi nchi za kitropiki ni mgumu kutokana na hali ya hewa kutokuwa na mpangilio mzuri, muda wowote mambo yanakorogeka.
Acha tuendelee na ramli chonganishi, maana hata dola zimeadimika.Licha ya hivo mkuu kwa standard za WMO tulipaswa tuwe na angalau weather Station walau kwa range ya km 10 je tuna uwezo huo gharama za uendeshaji malipo ya wasomaji na hata vikiwa vya automatic tuna pesa??maana tukiwa na everage nzuri ya parameter ndo tabiri nzuri. Sisi sio [emoji636]
Athari za mabadiliko ya tabia nchi yanahusu Binadamu na viumbe vyote dunia hiiWewe unaishi wapi?
Sema tutakoma usijitoe
kumbatia chochote hapo 😉😉Ila hali ya hewa ya leo hapana jamani🥲🥲🥲
Upo busy na kubet na kusikiliza singeli...Wananzengo mmeamkaje leo?
Kuanzia wiki ya mwisho ya mwezi Mei hadi kuingia Juni 2023 hali ya hewa imekuwa ya mvua na hatujui hizi ni mvua gani.
Msimu wa Mei kuelejea Julai huwa ni aghalabu kuwa na mvua kwani mazao yanakuwa yanakaribia kuvunwa.
Lekini ukimya wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) inaleta mashaka kidogo. Je hizi mvua zinazonyesha ni za msimu gani haswa?
Wapi huko,hapa kanda ta kati jua linawaka kama limesogeleana na dunia zaidi leo.Ila hali ya hewa ya leo hapana jamani🥲🥲🥲
walishatoa utabiri mapema April kua Mwishoni mwa mwezi May kutakua na mvua za ElminyoWananzengo mmeamkaje leo?
Kuanzia wiki ya mwisho ya mwezi Mei hadi kuingia Juni 2023 hali ya hewa imekuwa ya mvua na hatujui hizi ni mvua gani.
Msimu wa Mei kuelejea Julai huwa ni aghalabu kuwa na mvua kwani mazao yanakuwa yanakaribia kuvunwa.
Lekini ukimya wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) inaleta mashaka kidogo. Je hizi mvua zinazonyesha ni za msimu gani haswa?
Hao nao huwa wana Bashiri xo wakati mwingine mkeka huchanika maana kuna wakati pia husema mvua zitanyesha na zisi nyeshe .... tuvumilie tuWananzengo mmeamkaje leo?
Kuanzia wiki ya mwisho ya mwezi Mei hadi kuingia Juni 2023 hali ya hewa imekuwa ya mvua na hatujui hizi ni mvua gani.
Msimu wa Mei kuelejea Julai huwa ni aghalabu kuwa na mvua kwani mazao yanakuwa yanakaribia kuvunwa.
Lekini ukimya wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) inaleta mashaka kidogo. Je hizi mvua zinazonyesha ni za msimu gani haswa?
Walishasema zitakwenda mpaka June kutokana na mabadiliko ya tabia nchi, ila nilidhani wasiisingizie nchi wangesema mabadiliko ya tabia watuWananzengo mmeamkaje leo?
Kuanzia wiki ya mwisho ya mwezi Mei hadi kuingia Juni 2023 hali ya hewa imekuwa ya mvua na hatujui hizi ni mvua gani.
Msimu wa Mei kuelejea Julai huwa ni aghalabu kuwa na mvua kwani mazao yanakuwa yanakaribia kuvunwa.
Lekini ukimya wa Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) inaleta mashaka kidogo. Je hizi mvua zinazonyesha ni za msimu gani haswa?
Kuna mambo mengine haupaswi kuuliza ni kiasi cha kukaa chini na kujiuliza haya mabadiliko yanaletwa na nini, kisha unaenda kwenye tovuti ya TMA wanakujulisha. Vijana wengi hasa wewe ni wazembe sana.Mzee wa kupiga ramli nakuona unajaribu kutabiri routines zangu