GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Sasa ni rasmi kuwa kuanzia sasa Dunia (hasa hasa huu Ukanda wa Afrika Mashariki Tanzania ikiwemo) inaenda kuwa na ukame mfululizo wa miaka minne (4).
Ninachojua tu GENTAMYCINE ni kwamba Mzungu huwa hakosei hasa pale akipima kitu chake kwa kutumia mitambo yake na kufanya utafiti wa kina.
Tayari athari za ukame mkubwa umeshaanza kujitokeza nchini Kenya, ambako taarifa ambazo GENTAMYCINE nimezipata muda huu naandika huu uzi ni kwamba, wanyama wao wengi sehemu mbalimbali wanaanza kufa kwa kukosa maji.
Hivyo basi kama mtu nisiyetaka unafiki, upuuzi na usiri GENTAMYCINE nawaomba watu (mamlaka) ya TMA muda wowote kuanzia sasa waje na hii taarifa kwa (kwetu) Watanzania ili kwa haraka sana tuweze kutafakari nini cha kufanya.
Kwani kama taifa langu pendwa la Tanzania halitapata mvua kubwa ndani ya miezi hii miwili ijayo hadi mitatu, upo uwezekano biashara na majeneza na uchimbaji wa makaburi ya marehemu ikawa ni nzuri kwa wenye mitaji.
Nimesikitika mno.
Ninachojua tu GENTAMYCINE ni kwamba Mzungu huwa hakosei hasa pale akipima kitu chake kwa kutumia mitambo yake na kufanya utafiti wa kina.
Tayari athari za ukame mkubwa umeshaanza kujitokeza nchini Kenya, ambako taarifa ambazo GENTAMYCINE nimezipata muda huu naandika huu uzi ni kwamba, wanyama wao wengi sehemu mbalimbali wanaanza kufa kwa kukosa maji.
Hivyo basi kama mtu nisiyetaka unafiki, upuuzi na usiri GENTAMYCINE nawaomba watu (mamlaka) ya TMA muda wowote kuanzia sasa waje na hii taarifa kwa (kwetu) Watanzania ili kwa haraka sana tuweze kutafakari nini cha kufanya.
Kwani kama taifa langu pendwa la Tanzania halitapata mvua kubwa ndani ya miezi hii miwili ijayo hadi mitatu, upo uwezekano biashara na majeneza na uchimbaji wa makaburi ya marehemu ikawa ni nzuri kwa wenye mitaji.
Nimesikitika mno.