Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 5,828
- 7,532
Kwani uongo watu linawabamika mishikaki vijana tumekua ni chanzo cha jua kuzidi😂Aisee
Ila TMA kwa namna fulani nawaaminiTMA pia imetahadharisha mvua hizo kuweza kuambatana na upepo mkali unaofikia kasi ya Kilometa 40
😂😂😂😂🙌Kwani uongo watu linawabamika mishikaki vijana tumekua ni chanzo cha jua kuzidi😂
Yaani kama daladala,ukishindwa kusoma rangi ikuelewesheSasa hivi, wamewaletea hadi michoro.
Mshindwe wenyewe kuelewa.
Endelea kujificha😂😂😂😂🙌
Poleni mizabibu inejaa Kaa chini ujjificheDodoma ni zaidi ya jangwa asee,yani huku ni mwendo wa vumbi hakuna hata tone la mvua.
Kwani hayupo? Huyu Jamaa yupo Ngulyati village kule Bariadi kwenye jimbo la Chenge aishie na kila bata kwa jiji la gavana ChalamilaWewe Nyani acha basi huo utani. Unasema kulikuwa na joto utafikiri ulikuwepo!
Tangu Bashite aanze kutumiwa na wale wazee wa dili kukiimarisha chama huko usukumani.Tangu lini?
Noma sana .
Amerudi lini toka maboxini?Tangu Bashite aanze kutumiwa na wale wazee wa dili kukiimarisha chama huko usukumani.
Hujui kituChadema mna Cha kusema? Kibanda maiti chenu kule ufipa kitasombwa na maji