Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Huyu afisa wa TMDA usikute kachapiwa mkewe na mjuba aliyejishindilia maviagra,roho inamuuma,anaamua kutishia watu sasa!!Mkurugenzi Mkuu wa TMDA, Dk. Adam Fimbo amesema dawa za kuongeza nguvu za kiume zinaongoza kwa sasa kwa kununuliwa zaidi kwenye maduka makubwa ya dawa nchini.
Watumiaji wa dawa hizi watakufa kwa sababu zinapanua mishipa ya damu. Mishipa ya kichwani ikishapanuka, itapasuka na hivyo mtumiaji wa dawa hizi atakufa tu.
Chanzo: Nipashe
Ni mwandishi kaandika/kanukuu vibaya au kweli huyo jamaa wa TMDA ndivyo alivyosema. Una maana wasiyotumia dawa za kuongeza nguvu za kiume hawatakufa.Mkurugenzi Mkuu wa TMDA, Dk. Adam Fimbo amesema dawa za kuongeza nguvu za kiume zinaongoza kwa sasa kwa kununuliwa zaidi kwenye maduka makubwa ya dawa nchini.
Watumiaji wa dawa hizi watakufa kwa sababu zinapanua mishipa ya damu. Mishipa ya kichwani ikishapanuka, itapasuka na hivyo mtumiaji wa dawa hizi atakufa tu.
Chanzo: Nipashe
Swahiba. 😀😀
Na wewe uache kushabikia yanga hovyo..Duuh! Poleni sana wanaume.
Wanakufa kwa sababu nyingine za heshima sio ku dip😁Wasiotumia hawafi?
😂😂😂Hivi ukifa kwa aibu inakucost nn marehemu?Wanakufa kwa sababu nyingine za heshima sio ku dip😁
Hahahaaa. Lol.Na wewe uache kushabikia yanga hovyo..
utakufa vibaya😂😂😅
Shadee... nakupendaga sana hujui tuHahahaaa. Lol.
Mkifika huko motoni kila mmoja anaeleza sababu iliyompeleka huko, hapo ndo utajuta😁😂😂😂Hivi ukifa kwa aibu inakucost nn marehemu?
Ha haaaaaa kudeki vyoo sio poa mkuu!....Ila umenichekesha sana.Mkifika huko motoni kila mmoja anaeleza sababu iliyompeleka huko, hapo ndo utajuta😁
Kuna matabaka, walionguka mtini ndo mawaziri, waliofumaniwa wanadeki vyoo.
Ngoja tuwaulize mkuu...maana hata nyeto siyo daily Ila ndo linapigwaKwani zinatumika kila siku mpaka uwe addicted ?
OhooooooMkurugenzi Mkuu wa TMDA, Dk. Adam Fimbo amesema dawa za kuongeza nguvu za kiume zinaongoza kwa sasa kwa kununuliwa zaidi kwenye maduka makubwa ya dawa nchini.
Watumiaji wa dawa hizi watakufa kwa sababu zinapanua mishipa ya damu. Mishipa ya kichwani ikishapanuka, itapasuka na hivyo mtumiaji wa dawa hizi atakufa tu.
Chanzo: Nipashe
Pole sana ndugu.Mbona mapema hivi, na kushtukizana huku vipi? sijaipenda hii kabisa.... nimeshtuka hadi nimemwaga AL KASUS yangu hapa