Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amiinsafi sana...ah mi nipo wacha niende jukwa la siasa binti yangu
Jambo linaiva sasa kumbe , kama ndio Ivo ashindwe yeye kama hayupo serious na Mungu amkimbize😅Atanipa atakachobakiwa nacho mkuu
Unaweza kuwa kweli huna mtu ila nakuombea usidie aloneSina mtu mkuu kiukweli....I will die alone
Wahi mapemaMwee muanze kumnyonyoa kabla hajafika kwa To yeye sasa akifika anatembea na magoti atampa nini
Ukinipa 2ml atakubali unajua anaogopa kuongeza matatizo tutagawana pasu kwa pasu sasa unakuja home kwetu hutoo hata jero ya kunywa mbege aii ni ngumuDaaah, moyo wangu umepasuka vipande vipande, bora ungefanya siri
Hii 2M halafu mwamba bado hana uhakika wa kupata bidhaa yake , hii sawa na betting uweke ila matokeo liwalo na liwe ,Unique Flower ndugu yangu unatafta kulogwa😅Ukinipa 2ml atakubali unajua anaogopa kuongeza matatizo tutagawana pasu kwa pasu sasa unakuja home kwetu hutoo hata jero ya kunywa mbege aii ni ngumu
Huwa anapenda kukaa UNIVERSAL, pale Uyole.Au usikute ni To yeye kakaa Mbeya pazuri anapiga supu huku anajitongoza..!! nyie JF ni hatareeee..!!
Unampenda asiyefahamika? Kibaya zaidi hata profile yake kailimit,mbona kama unatupa jiwe katika kiza kinene?Utanisamehe tu mkuu, tatizo sio mm, moyo
Huo ndo unaitwa ulozi.
Nikijibu utaanza kunipiga gubu lako hapa.
We niache niishi kwa raha zangu. Maisha yenyewe ya kipimo
Na wasiwasi na wewe.Sijawahi kuwa nabii, mchungaji wala mpiga ramli.
Wasiwasi ndo akili.Na wasiwasi na wewe.
Amna ni siri yangu.Wasiwasi ndo akili.
Haya eleza hofu yako hapa
Sana halafu alone...mie na unywajiHuwa anapenda kukaa UNIVERSAL, pale Uyole.
We waache 🤣🤣🤣🤭Nawatazama tu mnavyojishaua shaua hapa huyo manzi mwacheni kama alivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣mbavu zanguu🥵Embe bichi sijui km utakubaliwa, ungejiita parachichi, matoke au hata ngunyani kidogo dada to yeye angekusikiliza..!!
Hizo embe mbichi wapelekee wazaramo watangeneze chachandu 😂😂😂😂
Nitakuvizia tu mitaa ya Uyole, one day yes!Sana halafu alone...mie na unywaji
🤣🤣🤣tupate mtoto mmoja au siyo?Nitakuvizia tu mitaa ya Uyole, one day yes!