LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
ukiwa lilith tutakuogopaNachange ID, ntakua Lilith
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ukiwa lilith tutakuogopaNachange ID, ntakua Lilith
Mnabishania kujua rangi ya upepoKwanini? Kwani kuna ubaya tukizichambua hizo simulizi hata kama hawakuwepo kweli? Si wapo kwenye hizo simulizi ndo maana kunapatikana hoja za kujibizana?
Weka reference bosi. Yaani kitabu ktk Biblia inaelezea Haya. Stori nzuri anywayLilith ametajwa sana katika bibilia. Agano la kale akiitwa nyoka na sasa a.k.a anaitwa mwanamke kahaba. Wakati hawa anatembea tembea na kujua yuko peke yake dunia wa jamii yake mara ghafla anatokewa na mtu wa jinsia yake tena yupo na watoto wa 4 wawili wakike na wawili wa kiume. Hawa alishangaa kwa nini wapo wengi ndipo lilith akamwambia wamezaliana. Neno kuzaliana bibili wametumia jina la mti wa ufahamu na utambuzi. Hawa akataka kujua wanazaliana vp?, ndipo alipopata elimu ya kuzaliana i.e kujamiana. Alitoka na kwenda kwa adam na alpofika pale akaanza kumshka shka hadi nae akashndwa kujizuia na ndipo nae akala tunda lile. Baada ya kula adam na hawa ikawa wanataka kurudia tena na walijficha ili wasikutwe na ndipo mungu akaamua kumwita adam. Adam uko wapi mbona sikuoni bustanini?.,.. Stori ndefu had mungu anawafukuza, adam anapata hasira anataka kumuua hawa, wanafunga ndoa na kwakweli waliteseka sana. Wakati adam ametoka bustanini lilith alikuwa anamchezea sana akili kwan mara nying alikuwa anamwita akijfanya mungu na adam anaitika na kutii. Napumzka una swal niulze
Source: GoogleDocuments zozote ku support hii wazo lako..au ni stories za kwenye gahawa
Weka chanzo cha habariKatika pita pita nimesoma hivo leo. Sio kwenye biblia.
Kwamba Adam alikua na mke wa kwanza anaitwa Lilith ambae nae aliumbwa na Mungu kwa udongo. Sio kutolewa mbavuni kwa Adam.
Ila Adam alivotaka kumdominate Lilith, uyu sista akawa kiburi akakataa kutawaliwa. Wakagombana.
Pia pengine walisema chanzo cha ugomvi ni Lilith kutaka kua on top wakati wa sex, na anasema kabisa ni haki yake. Mambo ya 50/50 hayajaanza leo na mwisho wake wakashindwana.
Hapo ndio Eve akatokea.
Mwenye nyama ataongezea. Elimu haina mwisho.
mwanzo moja, mwanaume na mwanamke wakaumbwa kwa udongo.Huyo lilith hatumjui na hatumtambui, tunamtambua eva/hawa tu. Nje na biblia ni story za abrakadabra tu na upotoshaji wa biblia
Ni mada nzuri, pia. Rangi ya upepo ni ipi?Mnabishania kujua rangi ya upepo
Weka reference bosi. Yaani kitabu ktk Biblia inaelezea Haya. Stori nzuri anyway bible ni rejeo ila nitatafuta mda nieleze
Kama huijui unakaa kimyaNi mada nzuri, pia. Rangi ya upepo ni ipi?
Sio unauliza?Kama huijui unakaa kimya
Kuconcieve inataka kifo ya mende??Not Always, otherwise it will be difficult for you to conceive. 🤣
Haswaaaaa. Now you talk EvelynKuconcieve inataka kifo ya mende??
Kuconcieve ni mara moja tu bro, hizi siku nyingine zote ni kuchangamshanaHaswaaaaa. Now you talk Evelyn
Hiyo Sasa mara moja......Kuconcieve ni mara moja tu bro, hizi siku nyingine zote ni kuchangamshana
Lilith anahusishwa na giza na ushetani....vile vile majini pamoja na uharibifu.Katika pita pita nimesoma hivo leo. Sio kwenye biblia.
Kwamba Adam alikua na mke wa kwanza anaitwa Lilith ambae nae aliumbwa na Mungu kwa udongo. Sio kutolewa mbavuni kwa Adam.
Ila Adam alivotaka kumdominate Lilith, uyu sista akawa kiburi akakataa kutawaliwa. Wakagombana.
Pia pengine walisema chanzo cha ugomvi ni Lilith kutaka kua on top wakati wa sex, na anasema kabisa ni haki yake. Mambo ya 50/50 hayajaanza leo na mwisho wake wakashindwana.
Hapo ndio Eve akatokea.
Mwenye nyama ataongezea. Elimu haina mwisho.
Pia wale wa CHAPUTA ......kimsingi wanashirikiana nae.Hujamaliza kumalizia hii hadithi vijana wa kiume/kike wanapofikia balehe lilth huwatokea katika ndoto
Vijana wa kiume huwaonyesha wakifanya tendo la jimai na Mwanamke mzuri sana (Succubuss) na kufyonza manii zao
Vijana wa kike huona wakifanya tendo la jimai na Mwanaume mzuri sana (Incubus) mpaka wanaingiziwa manii na huyo Mwanaume Shababi mwenye bonge la ndonga linalojua kusugua tupu yake vilivyo wakiwa usingizini
Na hivyo ndivyo lilth anavyojipatia watoto katika upande wake,
View attachment 2936875
Adam hakuwahi kuwepo, hizo ni hadithi za watu tu.Katika pita pita nimesoma hivo leo. Sio kwenye biblia.
Kwamba Adam alikua na mke wa kwanza anaitwa Lilith ambae nae aliumbwa na Mungu kwa udongo. Sio kutolewa mbavuni kwa Adam.
Ila Adam alivotaka kumdominate Lilith, uyu sista akawa kiburi akakataa kutawaliwa. Wakagombana.
Pia pengine walisema chanzo cha ugomvi ni Lilith kutaka kua on top wakati wa sex, na anasema kabisa ni haki yake. Mambo ya 50/50 hayajaanza leo na mwisho wake wakashindwana.
Hapo ndio Eve akatokea.
Mwenye nyama ataongezea. Elimu haina mwisho.
www.jamiiforum s.comWe want our Lilith back.....[emoji81] Eva amepoa mno.
Lilith ni atlantis
Wenda Sio species moja na adamUkimaanisha?