Today I Learned (TIL): Adam alikuwa na Wake Wawili

Today I Learned (TIL): Adam alikuwa na Wake Wawili

Kwanini? Kwani kuna ubaya tukizichambua hizo simulizi hata kama hawakuwepo kweli? Si wapo kwenye hizo simulizi ndo maana kunapatikana hoja za kujibizana?
Mnabishania kujua rangi ya upepo
 
Lilith ametajwa sana katika bibilia. Agano la kale akiitwa nyoka na sasa a.k.a anaitwa mwanamke kahaba. Wakati hawa anatembea tembea na kujua yuko peke yake dunia wa jamii yake mara ghafla anatokewa na mtu wa jinsia yake tena yupo na watoto wa 4 wawili wakike na wawili wa kiume. Hawa alishangaa kwa nini wapo wengi ndipo lilith akamwambia wamezaliana. Neno kuzaliana bibili wametumia jina la mti wa ufahamu na utambuzi. Hawa akataka kujua wanazaliana vp?, ndipo alipopata elimu ya kuzaliana i.e kujamiana. Alitoka na kwenda kwa adam na alpofika pale akaanza kumshka shka hadi nae akashndwa kujizuia na ndipo nae akala tunda lile. Baada ya kula adam na hawa ikawa wanataka kurudia tena na walijficha ili wasikutwe na ndipo mungu akaamua kumwita adam. Adam uko wapi mbona sikuoni bustanini?.,.. Stori ndefu had mungu anawafukuza, adam anapata hasira anataka kumuua hawa, wanafunga ndoa na kwakweli waliteseka sana. Wakati adam ametoka bustanini lilith alikuwa anamchezea sana akili kwan mara nying alikuwa anamwita akijfanya mungu na adam anaitika na kutii. Napumzka una swal niulze
Weka reference bosi. Yaani kitabu ktk Biblia inaelezea Haya. Stori nzuri anyway
 
Katika pita pita nimesoma hivo leo. Sio kwenye biblia.

Kwamba Adam alikua na mke wa kwanza anaitwa Lilith ambae nae aliumbwa na Mungu kwa udongo. Sio kutolewa mbavuni kwa Adam.

Ila Adam alivotaka kumdominate Lilith, uyu sista akawa kiburi akakataa kutawaliwa. Wakagombana.

Pia pengine walisema chanzo cha ugomvi ni Lilith kutaka kua on top wakati wa sex, na anasema kabisa ni haki yake. Mambo ya 50/50 hayajaanza leo na mwisho wake wakashindwana.

Hapo ndio Eve akatokea.

Mwenye nyama ataongezea. Elimu haina mwisho.
Weka chanzo cha habari
 
Huyo lilith hatumjui na hatumtambui, tunamtambua eva/hawa tu. Nje na biblia ni story za abrakadabra tu na upotoshaji wa biblia
mwanzo moja, mwanaume na mwanamke wakaumbwa kwa udongo.
mwanzo mbili, mwenza wa adam kutoka ubavuni mwake, adam anasema huyu sasa ndo......kama hakuwepo mwingine kwa nn adam aseme huyu sasa?
 
Katika pita pita nimesoma hivo leo. Sio kwenye biblia.

Kwamba Adam alikua na mke wa kwanza anaitwa Lilith ambae nae aliumbwa na Mungu kwa udongo. Sio kutolewa mbavuni kwa Adam.

Ila Adam alivotaka kumdominate Lilith, uyu sista akawa kiburi akakataa kutawaliwa. Wakagombana.

Pia pengine walisema chanzo cha ugomvi ni Lilith kutaka kua on top wakati wa sex, na anasema kabisa ni haki yake. Mambo ya 50/50 hayajaanza leo na mwisho wake wakashindwana.

Hapo ndio Eve akatokea.

Mwenye nyama ataongezea. Elimu haina mwisho.
Lilith anahusishwa na giza na ushetani....vile vile majini pamoja na uharibifu.
 
Hujamaliza kumalizia hii hadithi vijana wa kiume/kike wanapofikia balehe lilth huwatokea katika ndoto

Vijana wa kiume huwaonyesha wakifanya tendo la jimai na Mwanamke mzuri sana (Succubuss) na kufyonza manii zao

Vijana wa kike huona wakifanya tendo la jimai na Mwanaume mzuri sana (Incubus) mpaka wanaingiziwa manii na huyo Mwanaume Shababi mwenye bonge la ndonga linalojua kusugua tupu yake vilivyo wakiwa usingizini

Na hivyo ndivyo lilth anavyojipatia watoto katika upande wake,
View attachment 2936875
Pia wale wa CHAPUTA ......kimsingi wanashirikiana nae.
 
Katika pita pita nimesoma hivo leo. Sio kwenye biblia.

Kwamba Adam alikua na mke wa kwanza anaitwa Lilith ambae nae aliumbwa na Mungu kwa udongo. Sio kutolewa mbavuni kwa Adam.

Ila Adam alivotaka kumdominate Lilith, uyu sista akawa kiburi akakataa kutawaliwa. Wakagombana.

Pia pengine walisema chanzo cha ugomvi ni Lilith kutaka kua on top wakati wa sex, na anasema kabisa ni haki yake. Mambo ya 50/50 hayajaanza leo na mwisho wake wakashindwana.

Hapo ndio Eve akatokea.

Mwenye nyama ataongezea. Elimu haina mwisho.
Adam hakuwahi kuwepo, hizo ni hadithi za watu tu.
 
Back
Top Bottom