Kuna kitu kimoja kinakuchanganya Nimekiona..
na pia nimegundua Unataka pia kwenye mwanzo mbili wakwambia siku ya 1 ilikuwa hivi siku ya pili ilikuwa hivi..
Na hiyo ndiyo shida ilipo..
Sasa ngoja tuangazia Vitu hapa chini ili unielewale
Haya Twende na Mimi sasa!
Beresh'it 2:4...
(Mwanzo 2:4)..
Hebrew (Kiebrania)..
וְאֵ֗לֶּה תּוֹלְדֹ֧ת הַשָּׁמַ֛יִם וְהָאָ֖רֶץ בְּהִבָּֽרְאָ֑ם בְּי֗וֹם עֲשׂ֛וֹת יְהוָ֥ה אֱלֹהִ֖ים אֶ֥רֶץ וְשָׁמָֽיִם׃..
Inatamkwa Hivi..
"Ve’eleh toldot hashamayim veha’ardhi behibare’am beyom asot Adonai Elohim erdhi veshamayim."
sasa Neno
Ve linamaanisha
"Na" na neno "
Eleh" linamaanisha Hiki....
Kwa hyo tafsiri sahihi itakuwa kama ifuatavyo..
- ! (Ve) - And
- אֵ֗לֶּה (eleh) - these
- תּוֹלְדֹ֧ת (toldot) - generations
- הַ (ha) - of
- שָּׁמַ֛יִם (shamayim) - heavens
- וְ (ve) - and
- הָ (ha) - the
- אָ֖רֶץ (ardhi) - earth
- בְּ (be) - in
- הִבָּֽרְאָ֑ם (hibare’am) - their being created
- בְּ (be) - in
- י֗וֹם (yom) - day
- עֲשׂ֛וֹת (asot) - to make
- יְהוָ֥ה (Adonai) - the Lord
- אֱלֹהִ֖ים (Elohim) - God
- אֶ֥רֶץ (erdhi) - earth
- וְ (ve) - and
- שָׁמָֽיִם (shamayim) - heavens
Sasa neno
eleh likiwa na maana ya These "Hivi" ndo lililobadilisha maana halisi ikaonekana Habari hiyo haizungumzii habari iliyopita sijui kama unajua Tamathali za Semi?
Kuna tofauti sana kama ingetumiwa neno.."And those Was the Generation of...." na "ilivotumiwa neno And these was the generation"
Sentensi ikianza na those humaanisha ni rejea ya yaliyo Nyuma..
Ila sentensi ikianza na These sio rejea bali ni Mada mpya..
Ni sawa na kusema "hicho kilikuwa" na kusema "hiki ni"
Nafikiri sasa umeelewa kuwa Those are the Different account..
Ila ukitaka niendelee kuchambua its ok