Today I visited Ngorongoro Crater: Ni pazuri kinoma

Hongera sana
 
Umewaona wamasai wakichungamifugo yao na pembeni wako wanyama pori.Bila hivyo tour yako ina mapungufu
 
Afadhali huko, jana nmeenda mikumi wanyama tumewatafuta kwa tochi, tumeishia kuona tembo, kiboko na pundamilia tena hawafiki hata kumi
 

Attachments

  • 20240730_135248.jpg
    1.5 MB · Views: 3
  • 20240730_113546.jpg
    3.4 MB · Views: 4
  • 20240730_113546.jpg
    3.4 MB · Views: 4
  • 20240730_135248.jpg
    1.5 MB · Views: 4
Masai illiterate (ambao hawajasoma formal education)ni wagumu Sana KUELEWA na hata kuwaelewesha jamboo (vichwa vyao ni vigumu Kama jiwe)

Masai walio enda shule na waka bahatika kupata formal education wanakuaga na AKILI Sanaa
 
Ni vile TU kukosa muda wa kutosha kwa wengi wetu na majukumu ya ki Maisha..

Bila kusahau financial constraints kwa waTZ walio wengi Ila Mara moja moja tuwe tuna jitoa OUTINGS 😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…