Tofauti kati ya mwanaume na mwanamke

Tofauti kati ya mwanaume na mwanamke

Mtoa mada umepuyanga hata mwanamke naye aliumbwa kwa udongo, maana hata huo ubavu wa mwanaume ulitokana na udongo na hakuumbwa kwa ubavu pekee bali naye aliongezewa udongo wake, halafu pia siku hizi kuna wanawake wanawaza vitu vya maana na wanajua kufanya maamuzi kuliko wanaume baadhi

Hayo ya kusema wanawake ni inferior na hawawezi hiki wanaweza kile, ilitokana na kuwakandamiza na kuwafanya wasiwe na sauti, hivyo wanaume wakawa ndio wasemaji wao kwenye kila kitu

Lakini baada ya wanawake nao kupewa nafasi na kuwa na sauti sasa ndio tunaona hali halisi, kwamba tabia hazina jinsia na hakuna tabia ambayo ni common kwa watu wote wa jinsia fulani, lazima kuna exceptions

Na kuna tabia ambazo zimeonekana ni za wanawake kwa sababu tu ya aina ya lifestyle au mazingira ambayo walikuwa exposed nayo hapo zamani, ni kama wanaume walikuwa wanalazimisha kuwahold down wanawake halafu hapo hapo wanasema hawawezi, wakati hawakuwapa nafasi

Na hata katika kipindi hiki ambacho wamewapa nafasi bado wanawasakama, yani wakiteleza kidogo tu utasikia "tulisema sisi wanawake hawawezi" wakati hata wanaume wapo wanaovuruga vile vile ila hakuna anayesema wanaume wote hawawezi, yani kwa kifupi kuna kasumba ya kuwasakama wanawake wote kwa makosa wanayofanya baadhi ila hakuna anayewasakama wanaume wote kwa makosa wanayofanya baadhi
 
Mbona hujasema mwanaume anaweza kuwa bar huku anakunywa bia wakati huo huo anapiga stori za mademu/anaangalia mademu hiyo si ni multitask pia,anagonga bia,huku anachati afu anaangalia pisi kali
 
Tofauti ni moja tu mwanamke Hana Cha kuoffer kwenye ndoa zaidi ya k basi
Yani hapo ni sawa na kusema mawingu hayana kingine cha kuoffer zaidi ya mvua wakati unajua kabisa mvua ni kila kitu kwa binadamu, ninyi wenyewe wanaume husema sex ndio kila kitu kwenu na hamuwezi kuishi kwa raha bila sex halafu hapo hapo unaona kama mwanamke kuoffer k ni kitu kidogo wakati hamna mbadala wa k, halafu kama mwanaume mzima unaona mwanamke hana kingine cha kuoffer kwenye ndoa zaidi ya sex basi wewe utolewe kwenye kundi la wanaume hufai kabisa kuitwa mwanaume
 
Yani hapo ni sawa na kusema mawingu hayana kingine cha kuoffer zaidi ya mvua wakati unajua kabisa mvua ni kila kitu kwa binadamu, ninyi wenyewe wanaume husema sex ndio kila kitu kwenu na hamuwezi kuishi kwa raha bila sex halafu hapo hapo unaona kama mwanamke kuoffer k ni kitu kidogo wakati hamna mbadala wa k, halafu kama mwanaume mzima unaona mwanamke hana kingine cha kuoffer kwenye ndoa zaidi ya sex basi wewe utolewe kwenye kundi la wanaume hufai kabisa kuitwa mwanaume
We ni me au ke?? na kama ni me umeoa?? kama hujaoa hicho nachokisema uwezi kuelewa ata uvue nguo zote ubaki uchi wa mnyama.
 
Mtoa mada umepuyanga hata mwanamke naye aliumbwa kwa udongo, maana hata huo ubavu wa mwanaume ulitokana na udongo na hakuumbwa kwa ubavu pekee bali naye aliongezewa udongo wake, halafu pia siku hizi kuna wanawake wanawaza vitu vya maana na wanajua kufanya maamuzi kuliko wanaume baadhi

Hayo ya kusema wanawake ni inferior na hawawezi hiki wanaweza kile, ilitokana na kuwakandamiza na kuwafanya wasiwe na sauti, hivyo wanaume wakawa ndio wasemaji wao kwenye kila kitu

Lakini baada ya wanawake nao kupewa nafasi na kuwa na sauti sasa ndio tunaona hali halisi, kwamba tabia hazina jinsia na hakuna tabia ambayo ni common kwa watu wote wa jinsia fulani, lazima kuna exceptions

Na kuna tabia ambazo zimeonekana ni za wanawake kwa sababu tu ya aina ya lifestyle au mazingira ambayo walikuwa exposed nayo hapo zamani, ni kama wanaume walikuwa wanalazimisha kuwahold down wanawake halafu hapo hapo wanasema hawawezi, wakati hawakuwapa nafasi

Na hata katika kipindi hiki ambacho wamewapa nafasi bado wanawasakama, yani wakiteleza kidogo tu utasikia "tulisema sisi wanawake hawawezi" wakati hata wanaume wapo wanaovuruga vile vile ila hakuna anayesema wanaume wote hawawezi, yani kwa kifupi kuna kasumba ya kuwasakama wanawake wote kwa makosa wanayofanya baadhi ila hakuna anayewasakama wanaume wote kwa makosa wanayofanya baadhi
Tumkubushe pia kwamba watoto wenye umri wa miaka 6-8 wanauwezo wa kutumia asilimia 80% ya ubongo wao ndiyo maana wachina kwakulitambua hilo wanawaweka pamoja watoto wenye uwezo kiakil kuwalisha ujuzi wa aina mbalimbali wenye umri huo
 
Tofauti kubwa ni:-

1. Via aka Jinsi
2. Hormones - Hii ndiyo italeta tofauti Morphology/Phornology/Character
 
Mbona sasa mnataka kubadili asili ya ndoa , kwani ni nini kingine tunapaswa kutoa ambacho hatukijui?
Nilitaka kujibu NDOGO kwa utani lakini, nilivyokuja kuona muulizaji ni Demi nikaona wacha nisiongee chochote nisije nikayabananga
 
Mtoa mada umepuyanga hata mwanamke naye aliumbwa kwa udongo, maana hata huo ubavu wa mwanaume ulitokana na udongo na hakuumbwa kwa ubavu pekee bali naye aliongezewa udongo wake, halafu pia siku hizi kuna wanawake wanawaza vitu vya maana na wanajua kufanya maamuzi kuliko wanaume baadhi

Hayo ya kusema wanawake ni inferior na hawawezi hiki wanaweza kile, ilitokana na kuwakandamiza na kuwafanya wasiwe na sauti, hivyo wanaume wakawa ndio wasemaji wao kwenye kila kitu

Lakini baada ya wanawake nao kupewa nafasi na kuwa na sauti sasa ndio tunaona hali halisi, kwamba tabia hazina jinsia na hakuna tabia ambayo ni common kwa watu wote wa jinsia fulani, lazima kuna exceptions

Na kuna tabia ambazo zimeonekana ni za wanawake kwa sababu tu ya aina ya lifestyle au mazingira ambayo walikuwa exposed nayo hapo zamani, ni kama wanaume walikuwa wanalazimisha kuwahold down wanawake halafu hapo hapo wanasema hawawezi, wakati hawakuwapa nafasi

Na hata katika kipindi hiki ambacho wamewapa nafasi bado wanawasakama, yani wakiteleza kidogo tu utasikia "tulisema sisi wanawake hawawezi" wakati hata wanaume wapo wanaovuruga vile vile ila hakuna anayesema wanaume wote hawawezi, yani kwa kifupi kuna kasumba ya kuwasakama wanawake wote kwa makosa wanayofanya baadhi ila hakuna anayewasakama wanaume wote kwa makosa wanayofanya baadhi
Asante kwa maoni yako karibu tena.
 
Huwa mnajidanganya sana kuwa mwanamke hahitaji sex , mwanamke anahitaji sex zaidi ya mwanaume


Mjue hilo

Usije ukaoa ukadhani mke hahitaji kukunjwa heheheh
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Back
Top Bottom