Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Wanatengeneza kansa katika jamii zao kwa ajili tu ya kuwafurahisha wahamiaji holela, LGBTQ, Feminists, Anti-Christs, #freepalestine (utapeli) , etc
Kama ilivyo sera yao ya uhuru na Hatua za bila mipaka itapelekea msingi wa familia kuharibika, jeshi kuwa dhaifu kutokana na influence ya upinde, itikadi za uovu kutengeneza systems nchini mwao, kupotea kwa kujivunia kwa mataifa yao, kushuka kwa kizazi cha kizungu kutokana na abortion holela na wanawake kuamua kutozaa , etc
Hadi sasa kumetokea trend ya kuwabadirisha watoto wa kiume kuwa jinsia ya kike. Kitu hiki Mrengwa wa Kulia wanakipiga vita sana ila liberals wanasingizia kuwa wanachofanya ni ubaguzi.
Baadhi ya mambo negative yatokanayo na sera za liberals yameanza kuonekana katika nchi tofauti.