Mnondwe
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 4,013
- 3,679
Umetoa kirefu na kazi zao moja ni upelelezi wa kijinai moja ni UJASUSI(ECONOMY)CIA Central Intelligence Agency
FBI Federal Bureau of Investigation
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetoa kirefu na kazi zao moja ni upelelezi wa kijinai moja ni UJASUSI(ECONOMY)CIA Central Intelligence Agency
FBI Federal Bureau of Investigation
Usalama wa taifa ni NSA,FBI ni polisi aliyespecialize kwenye upelelezi , CIA ni usalama wa taifa
Kama unaweza kupitia comment yangu utaona nimesema fbi wanakuja njee kwa order maarumu , alafu pia kwenye ubalozi wao nikama nchi yao , sio tu kwenye issue hizo kuna scenario mbalimbali ambapo fbi waliweza kuitwa kufanya hivyo , ikumbukwe CIA iko very secret pia haina police kama walivyo fbi wakwenda kufanya kazi kama hizo , kuna kitu wanaita jurisdiction area.Kaka haukosawa,kumbuka tukio la la US EMBASSY BOMBING IN E.AFRICA, waliokuja ni FBI.
FBI wanadeal na UCHUNGUZI wa masuala ya KIHALIFU,ndani na nje ya US.
CIA wao ni MAJASUSI wanadeal na masuala ya kiuchumi,wanachunguza mipango yote katika nchi zote za nje ya marekani kuona waibe nini US iendelee,nani ni kikwazo wamuue au wamuangushe,muna mpango gani na silaha gani kiulinzi NK.
Kazi zao hizo zipo ndani ya damu za zao.. wanao jutia ujue waliingia huko kwa mgongo wa nduguVijana mnapenda sana kazi ngumu( kazi za usalama).
Wenzenu wanajuta kwanini waliingia nyie mnanyoosha vidole kutaka kuingia.
Sheria ipi?weka hapa!CIA Hawaruhusiwi kisheria kufanya kazi ndani ya USA , FBI wanafanya kazi ndani ya USA tu au katika special occasion pale wanapoitwa ku provide utaalamu
Kila siku hizi thread zinaletwa hapa kwann msizitafute makajisomea mnajaza tu serve hapa
Na nani?CIA akikutwa anafanya upelelezi ndani ya marekani anakamatwa
Siku nyingine ukitaka kuniquote uniombe ruhusa pm kwanza.. Tofauti na hapo nitakutandika VitasaHii server ni baba yako mbona unaumia?
Hukasiriki kanisani na msikitini mnajifunza vitu hvyo hvyo miaka nenda rudi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] we jamaa akili yako unaujua mwenyeweFBI inaanza na herufi ya F na CIA inaanza na herufi ya C. Kwenye CIA herufi inayofuata ni I wakati FBI inafuata B. Halafu FBI inamaliza na I wakati CIA inamaliza na A.
Hiyo ndiyo tofauti MKuu.
Huna uwezo huo dogoWacha ufala tutakurudisha mkoani kwenu.