Tofauti na mfanano wa kikazi na kimamlaka kati ya CIA na FBI

FBI inaanza na herufi ya F na CIA inaanza na herufi ya C. Kwenye CIA herufi inayofuata ni I wakati FBI inafuata B. Halafu FBI inamaliza na I wakati CIA inamaliza na A.

Hiyo ndiyo tofauti MKuu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Usalama wa taifa wanaitwa wapo *Secret service*
Wote hao ni usalama mkuu (kwa tafsiri ya Usalama wa Tanzania, kwasababu structure yetu haipo kama Wamarekani)

Secret Service wame base kulinda viongozi wa taifa la Marekani na wapo chini ya homeland security

FBI wapo chini ya Department of Justice/Mwanasheria Mkuu na Mkuu wa Usalama wa Taifa la Marekani (Director of National Intelligence)

CIA nao ni usalama na wanawajibika kwa Mkuu wa Usalama wa Taifa wa Marekani na Rais + Baraza la Mawaziri

Wote ni Usalama wa Taifa ila wanatofautiana kwenye wapi wanawajibika, majukumu wanayofanya, maeneo wanayo operate na namna wanavyo operate shughuli zao
 
Watu wanazungumza tu bila hata reference.
Ishara ya watu wasiojua hii.
Basi tu kwa sababu tuko bongo kuna poyoyos zitaamini huu upupu unaotolewa humu.
 
Mnakimbilia kujua security structure ya USA wakati hata security structure ya nchi yenu hamijui.
Hii nchi yawafaa watu wote watolewe kafara tu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mnakimbilia kujua security structure ya USA wakati hata security structure ya nchi yenu hamijui.
Hii nchi yawafaa watu wote watolewe kafara tu.
Haijawekwa wazi kama za wenzetu, kama unaijua tuambie basi
 
Hujui NSA, Hujui CIA na hujui KGB, hivyo tutachoshana bure asee
 
Zote ziko Chini ya Office of director of national intelligence ODNI zikiongozwa na Dan coats, FBI ni Federal Bureau of investigation wakati CIA ni Central intelligence Agency, FBI ina deal zaidi na Mambo ya Ndani ya usalama wa shirikisho la Zile state 51, Wakati CIA ina deal na Overseas intelligence Huku dhana yao kubwa ikiwa ni HUMINT Yani human intelligence,

FBi iko chini ya Wizara ya Sheria wakati CIA yenyewe ni independent haiko chini ya wizara yoyote ile, Vile vile FBI wana meno ya kukamata waharifu, Boss Wa FBI ana report kwa ODNI Wakati boss wa CIA ana report moja kwa moja kwa Rais, Kuna Joint operations wanafanya kwa pamoja na kuhusu swala intelligence marekani ana Community 17 zinazo deal na Intelligence CIA na FBI ni miongoni mwao
 
FBI inaanza na herufi ya F na CIA inaanza na herufi ya C. Kwenye CIA herufi inayofuata ni I wakati FBI inafuata B. Halafu FBI inamaliza na I wakati CIA inamaliza na A.

Hiyo ndiyo tofauti MKuu.
Wasiyoingia jf kweli kuna vitu wanavikosa.
 
1. FBI stands for Federal Bureau of Investigation & CIA stands Central Investigation Agency
2. FBI deal with domestic issue & CIA have direct jurisdiction over us
3. FBI extends support/to CIA as and when required &CIA don't have jurisdiction over crime occuring in us
4. FBI has wider range of responsibilities &CIA has limited range of responsibilities
5. FBI agency don't interact with agency of other countries & CIA may interact with agency of other countries

Kwakuwa tunajifunza nipo tayari kukosolewa na kama kuna mtu ana lolote ongezea
 
Upo sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…