Tofauti na SADC iliyoleta Marais 8, Jumuiya ya Afrika Mashariki amekuja Rais Kenyatta pekee kumuaga Hayati Magufuli

Tofauti na SADC iliyoleta Marais 8, Jumuiya ya Afrika Mashariki amekuja Rais Kenyatta pekee kumuaga Hayati Magufuli

Hatutasahau; tutakutana huko mbele ya safari. Wengine wao watajialumu wakati it is too late!!! Ndiyo maana wakati mwingine nadhani kuwa Uhuru yuko smart sana kwa kiasi chake.
Magu yeye alikua anahudhuria misiba na functions nyinginezo kwny nchi za watu?
 
Anayeshikamana na wewe wakati wa shida ndiye rafiki wa kweli.

Kiukweli Jumuiya ya SADC imetushika mkono kiuhakika katika msiba huu mkubwa wa taifa.

Tumeshuhudia Marais kutoka Msumbiji, Afrika Kusini, Zimbabwe, Zambia, Malawi, Congo nk wakija kumuaga Hayati Magufuli ambaye alikuwa kiongozi mwenzao.

Kwa upande wa Jumuiya ya Afrika Mashariki tumemshuhudia Rais Uhuru Kenyatta pekee kati ya Marais 5 wanaounda Jumuiya.

Itoshe tu kusema SADC ndio marafiki wa kweli.
Yeye alikuwa anaenda kwenye misiba yao?
 
Huwezi kumleta Kagame kirahisi hivi, ziara zake ni kupangwa muda mrefu kabla. Museveni amekuwa akija mara kibao hapa nchini. Salva Kiir naye nchi yake vurugu ziara zake ni za kupangwa kimkakati.

Labda Burundi ndio angeweza kuja. Hata hivo Magufuli mwenyewe alikuwa hasafiri sana. Corona nayo imechangia pakubwa
Nkurunziza alipofaliki mwaka jana Tanzania tulituma wawakirishi Mh Kikwete na Samia Suluhu ,hivyo tusijiangalie sana sisi pia bendera zinapepe ½ mlingoti mpaka JPM apumzishwe by the way labda Ndayishimiye na m7 watakuja siku ya mazishi.
 
Kagame na Museveni hawawezi kuja tu kizembe Tanzania kwa sasa, Nchi haieleweki bado inamisimamo gani baada ya uongozi mpya, huwezi pima urefu wa maji kwa miguu yako yote.

Kumbuka hao viongozi tajwa wana maadui wa kudumu hapa nchini, vipi kama kijiti cha uongozi kikawa kimerejea kwao?
 
Anayeshikamana na wewe wakati wa shida ndiye rafiki wa kweli.

Kiukweli Jumuiya ya SADC imetushika mkono kiuhakika katika msiba huu mkubwa wa taifa.

Tumeshuhudia Marais kutoka Msumbiji, Afrika Kusini, Zimbabwe, Zambia, Malawi, Congo nk wakija kumuaga Hayati Magufuli ambaye alikuwa kiongozi mwenzao.

Kwa upande wa Jumuiya ya Afrika Mashariki tumemshuhudia Rais Uhuru Kenyatta pekee kati ya Marais 5 wanaounda Jumuiya.

Itoshe tu kusema SADC ndio marafiki wa kweli.
Unataka kuniambiaa hapakuwa na muwakilishi wa Rwanda, Burundi Wala uganda [emoji848]
 
Anayeshikamana na wewe wakati wa shida ndiye rafiki wa kweli.

Kiukweli Jumuiya ya SADC imetushika mkono kiuhakika katika msiba huu mkubwa wa taifa.

Tumeshuhudia Marais kutoka Msumbiji, Afrika Kusini, Zimbabwe, Zambia, Malawi, Congo nk wakija kumuaga Hayati Magufuli ambaye alikuwa kiongozi mwenzao.

Kwa upande wa Jumuiya ya Afrika Mashariki tumemshuhudia Rais Uhuru Kenyatta pekee kati ya Marais 5 wanaounda Jumuiya.

Itoshe tu kusema SADC ndio marafiki wa kweli.
chimbuko la SADC ni jumuiya ya nchi zilizokua mstari wa mbelele kuondoa ukoloni na ubaguzi wa rangi kusini mwa Africa.
Hao ni ndugu zetu wa dhati kabisa
 
Wengi nimeona mnalalamika bila hoja za msingi, mmesahau kwamba Ijumaa mwendazake atazikwa na ndiyo siku muhimu sana.

Wasipokuja siku hiyo, tunaweza kuwapa lawama lakini si kwa siku ya jana.

Nina hakika Kenyatta asipokuja siku ya mazishi na hawa marais wengine wakaja basi wabongo lazima mtamsema Kenyatta

Punguzeni upuuzi wa maisha.
Uliona kilichotokea?
 
Kagame na Mseveni watakuja Chato
Je hao watu walikuja Chato? Sikuwaona Mimi.

Huwezi kujuwa ubaya wa Magufuli mpaka u- deal naye moja kwa moja. Museveni na Kagame watakuwa wamekwazwa sana na Magufuli.

Kuna wanaodai kuwa Kagame alikuwa dalali kwenye ununuzi wa ndege na kamzima Magufuli "cha juu" . Na ndiyo chanzo cha kuharibika mawasiliano
 
Back
Top Bottom