Tofauti na tafsiri ya kula na kulishwa nyama ndotoni

Tofauti na tafsiri ya kula na kulishwa nyama ndotoni

Vipi kuhusu kuota unakunywa pombe/ kilevi.
Nimeota karibu mara NNE nakunywa pombe Na sijawahi kuonja au kunywa pombe.
Ndoto ya hivyo itakuwa inamaanisha nini? Msaada hapo
Je kwenu kuna mtu ambae anakunywa? Yaani baba ,babu nk....
Mazingira ya hiyo ndoto Yakoje?
 
Mkuu Mshana Mm Niliwahi ota watu kama wanne hv wamebebe jeneza lakini wanalia hawataki niangalia Yaan ni kuwa lile jeneza ni kama limewazidi hawawezi kutembea wanalia tu m nawashangaa nawauliza watu wngne wapo wapi wawasaidie hawanijibu hamadi jeneza likawashinda likaanguka ndani maiti kumbe ni Mume wangu nkashtuka Sana halafu wamemfunga sanda Ila Mzma kabisa half nkamtambua mzee mmoja ambae mpk Leo kama hanipendi kabisa Hyo ndoto ilikuwa mwaka jana January miezi minne baada ya kuanza kuishi na mume wangu naogopa kamsimulia kabisa ina maana gani hii ndoto?
Kuna wakati Mumgu anakupa taarfa ya knachofanyika ktk ulimwengu wa roho ili uchukue hatua sio kukaa tu,likija kutokea utasema niliota kumbe Mungu anakupa taarifa!
So unatakiwa uombe tena maanisha kukataa roho ya mauti kwa mumeo!ht juu ya ndoa yako.

Pangua pia kila mipango ya adui juu ya mumeo,ndoa yenu!

Unajua kwnn umeonyeshwa wewe?
Sbb biblia inasema mwanamke ni mlinzi wa mumewe/familia yake!
Tena achilia moto mpk waje waombe msamaha!

Haya mambo watu wengi hawana elimu yake hivyo huchukulia poa sn!

Km mkristo,tumia damu ya Yesu!
 
Kuitoa vipi nafsi, sijakuelewa kidogo mkuu fafanua kidogo nikupate
Sio mara zote maana ni hiyo ya nafsi kukamatwa!

Mara nyingine ukiota upo shule level yyt,manaake kuna mahali umekwama ktk maisha inatakiwa uvuke hivyo Mungu hutumia lugha nyepesi kutokana na mazongira yako!

Na hii ht ww unaweza kuangalia mwmywe maisha yako,kuna majali u ashindwa kuvuka iwe ni kiuchumi,wengine ndoa,wengine landa kuna jambo anataka/anapanga kufanya lkn halifanikiwi na huelewi!
 
Sawa mkuu, mshana jr niliotaga, japo sidhani kama ni ndoto kweli.. ilikua hivi

Wakati najiandaa nipande kulala kitandani, huku sikuchukua muda nikaanza kusinzia ghafla nikawa nahisia fulani kama ya kuota ivi, lkn uhalisia wote wa kitanda changu naupata, nilihisi kama mnyama aina ya jaguar mweusi tii amekamatia kichwa kwa taya zake upande wa kichogoni huku, sasa katika harakati yakutaka kama kumtoa kwa mkono nikahisi kumwona tena mnyama nyoka nae kapanua mdomo akinikwarua mkono kwa meno yake vile vile na mnyama wa tatu simkumbuki vizuri ila ni kama ndege ivi naye alikua mweusi ivyo ivyo...

Nikastuka nikajisemea hii itakua labda ile hali kama ya kuhisi kunigwa na jinamizi, basi kwa hofu kidogo nikabadili upande kutoka kusho nilipokua nimeangalia kuelekea kulia...

Usingizi ukanibeba tena nikapata tena situation ile ile nikashtuka nikatikisa kichwa kujiweka sawa nikalala..


Sasa nashindwa kuelewa hii ni hali tuu ya mwili au ni ndoto na kuna maana flani nyuma yake...

Embu fanya mambo mtaalam nijue
Baadhi ya maana za nyoka tu ina maana zifuatazo~hila~uadui~uongo~mungu/pepo lenye cheo cha miungu nk.

Inategemea unamuotaje!
Mfano umeota anakukwaruza mkono, mkono upi? Kila mkono una maana yake kiroho
 
Sio mara zote maana ni hiyo ya nafsi kukamatwa!

Mara nyingine ukiota upo shule level yyt,manaake kuna mahali umekwama ktk maisha inatakiwa uvuke hivyo Mungu hutumia lugha nyepesi kutokana na mazongira yako!

Na hii ht ww unaweza kuangalia mwmywe maisha yako,kuna majali u ashindwa kuvuka iwe ni kiuchumi,wengine ndoa,wengine landa kuna jambo anataka/anapanga kufanya lkn halifanikiwi na huelewi!
Okay
 
Baadhi ya maana za nyoka tu ina maana zifuatazo~hila~uadui~uongo~mungu/pepo lenye cheo cha miungu nk.

Inategemea unamuotaje!
Mfano umeota anakukwaruza mkono, mkono upi? Kila mkono una maana yake kiroho
Kama wa kushoto hivi, lkn Sikumbuki fresh mkuu, em define kwa kila mkono
 
Mkuu mshana pole na majukumu...naomba nitoke Kidogo nje ya mada...niliwahi kuota ndege mwenye Rangi tofauti tofauti na mdomo mrefuu amening'ata mkono wa kulia...ukaoza...nikashtuka...juzi juz tena niliota paka mweusi then amechokaa meno makali sana...napigana nae..kila akija nampiga teke..kama Mara Mbili hivi...Mara ya tatu akaning'ata mkono wa kulia...nisaidie mkuu nijue...tatizo li wapi?au inamaanisha nini?ahsante mkuu
Kwanza huna ulinzi wa kiroho kabisa ndo maana huyo ndege alifanikiwa kukuuma!

Inawezwkana huwa unjiuliza kuwa umekwama kwenye baadhi ya mambo yako na huelewi kwann!

Mungu anaamua kukuonyesha kwann umekwama,hufanikiwi!

Mikono ni kila kitu,ndo maana biblia imesema "atabariki kazi ya mikono yako"...

Ss basi unajua kwann uliota hilo ndege limekuuma na mkono umeoza hiyo ni ktk ulimwengu wa roho,na ktk ulimwengu wa mwili umeona mambo hayaendi Sbb kuna kitu kiliachiliwa ktk ndoto ulipoumwa na huyo ndege na ndo maana unaona mkono ulioza!

Ktk hali ya kawaida unaweza fanya kazi km mikono imeoza? Si huwezi? Basi ndo maana mambo hayaendi hii ni kukuonyesha kuna sumu iliachiliwa kwny mkono kupitia ndoto na inafanya kazi!

MITHALI 3:16
Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kuume,utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.

Usipochukua hatua ya kuomba nakuhakikishia itafika wakati utaanza kuumwa huo mkono ulioota kuwa ulioza!

Nyway sijui maisha unayopitia!

Cha mhim lzm uchukue hatua ili kutoka hapo serious kabisa!

Ss ili kuondokana na hii
Kwanza lzm uingie kwny toba,toba sbb kuna mlango uliosababisha huyo ndege akakuuma,halafu achilia damu ya Yesu kwny huo mkono ili kipndoa hiyo sumu iliyokwisha ingia!
Then kemea mapepo yaliyopata uhalali kuingia hapo yatoke!

Sorry sijui km ni mkristo
 
Kama wa kushoto hivi, lkn Sikumbuki fresh mkuu, em define kwa kila mkono
Mithali 3:16 na wewe soma ujiridhishe utaona,iko direct kabisa.....post ya juu nimeandika kwa urefu mkuu na mstari wote wa hiyo mithali soma!
 
kazi ya kufasiri ndoto ni ya ROHO MTAKATIFU na ROHO MTAKATIFU ASEMI NJE YA NENO LA MUNGU BIBLIA SOMA ZABURI 119;105
Shida ni kuwa wengi hawajui wala hawajawahi kusikia kabisa,hivyo hujikuta wanaangukia tafsiri za upande wa pili ambazo mwisho wa siku solution yake inawapeleka kubaya !
Hawaju kuwa soln ni damy ya Yesu/jina la Yesu tu!
 
Shida ni kuwa wengi hawajui wala hawajawahi kusikia kabisa,hivyo hujikuta wanaangukia tafsiri za upande wa pili ambazo mwisho wa siku solution yake inawapeleka kubaya !
Hawaju kuwa soln ni damy ya Yesu/jina la Yesu tu!
nimesoma nimejitidhisha nimeelwa pia.. sasa kuhusisha na huyo nyoka ndio bado sijaelewa ...relationship iliyopo!

Kwamba uyo nyoka ni hila~uadui~uongo~mungu/pepo linalotaka kunipora utajiri na heshima yangu auu??
 
nimesoma nimejitidhisha nimeelwa pia.. sasa kuhusisha na huyo nyoka ndio bado sijaelewa ...relationship iliyopo!

Kwamba uyo nyoka ni hila~uadui~uongo~mungu/pepo linalotaka kunipora utajiri na heshima yangu auu??
Ok
Ujue ulimwengu wa roho unaathiriwa na ishara,ninamaanisha unafanya kazi kwa (symbols) ishara!..

Ss unapoona picha ya kitu lzm ujue kibiblia ktk ulimwengu wa roho hiyo picha inamaanisha nn kutokana na ndoto uliyoota! Ndo maana nimetoa mfano wa nyoka na maana zake....
Mfano.. mwingine anaweza akaota nyoka labda kaingia dukani kwake,lzm huyu mtu bness yake ya duka ife km asipochukua hatua ya kuomba!


Ss kw case yako,angalia maisha yako mwenywe..umekwama wapi ni uchumi au nn!?
 
Ok
Ujue ulimwengu wa roho unaathiriwa na ishara,ninamaanisha unafanya kazi kwa (symbols) ishara!..

Ss unapoona picha ya kitu lzm ujue kibiblia ktk ulimwengu wa roho hiyo picha inamaanisha nn kutokana na ndoto uliyoota! Ndo maana nimetoa mfano wa nyoka na maana zake....
Mfano.. mwingine anaweza akaota nyoka labda kaingia dukani kwake,lzm huyu mtu bness yake ya duka ife km asipochukua hatua ya kuomba!


Ss kw case yako,angalia maisha yako mwenywe..umekwama wapi ni uchumi au nn!?
Hii kuomba inakuaje naomba unijuze, hii kuomba ni personally au ad uende kwa waombeaji
 
Unaweza omba mwenyewe au ukaenda kwa wanaoelewa wakuombee!

Lkn ni vzr ukajifunza kuomba mwenyewe!
Ewaaa... naomba unifunze kuomba mwenyewe nimalizane na matatizo yangu mwenyewe tafadhari
 
Ewaaa... naomba unifunze kuomba mwenyewe nimalizane na matatizo yangu mwenyewe tafadhari
Kwanza huwa upo huru kufuatilia mafundisho ya watumishi wa Mungu? Ili nikupe link ambayo utube utapata somo la mambo ya ndoto na maana zake na namna ya kuomba!

Na hii itakusaidia kufuatilia kwa undani na kujifunza kuombea ht mambo mengine kwa undani
 
Kwanza huwa upo huru kufuatilia mafundisho ya watumishi wa Mungu? Ili nikupe link ambayo utube utapata somo la mambo ya ndoto na maana zake na namna ya kuomba!
Na hii itakusaidia kufuatilia kwa undani na kujifunza kuombea ht mambo mengine kwa undani
Nipo huru mkuu sina hiyana na mambo ya imani mimi
 
Back
Top Bottom