Tofauti na tafsiri ya kula na kulishwa nyama ndotoni

Niliishi hayo maisha na nia kubwa ilikuwa ni kuufahamu kwa vitendo ulimwengu wa kiroho ulimwengu wa giza.

Ni sawa na kwenda ccm kudukua... Siko huko tena
 
Mmh hapana hakuna shida hapo hiyo ni muscle twitching ya kawaida wala hakuna baya linalokunyemelea
 
Asante kwa mada mkuu ingawa hii ishu niliwah kukuuliza na ukanijib, ubarikiwe
 
Good; NTAKUJIBU MKUU. wasomi wa dini zote mbili wapo wachache sana waliobakia wanasaka hela tu, na ndio maana kila kukicha watu wanagombaniana kibla ili apate tonge iende mdomoni, sio kwa kumpenda Mungu.

SUALA LA NYOTA: Mashekhe wengi wamefanya kwamba ndo sheria ila hapana huu ni ushirikina, unaambia ukitaka kuowa uowe Ijumaa kwamba siku zingine nyota ya mwanamke huyo haiko sawa, huu ni ushirikina. Hakuna siku mbaya, matendo yako ndo mabaya.

JIBU LAKO; Ndoto zote zinatokana na shetani alielaaniwa, kwa hiyo hakuna ukweli wa hilo bali huja na kukupotezea mda wako wa kumkimbuka Mungu tu.

Kwa waislam ambao ni swala tano, mara nyingi inapofika swala ya asubuhi ndoto nzuri haziishi. Lengo sala iwapite tu.
Watu wengine wanaota wanakua matajiri ila akiamka hamna kitu mfukoni, huyo ni shetani anakuchezea akili yako.

Vile vile unaweza kujikuta unafanya mapenzi na mtu hatimae kujipiga bao, pia ni shetani kakutawala kitandani.
Kuota umeowa haina maana ya kwamba utaowa karibuni bali ni mawazo yako mwenyewe uliyonayo kwenye akili yako.

Na shetani mara nyingi anacheza na akili zetu, ukiwazacho ndicho anachokufanyia unapolala.
 
Hakuna tafsir yamoja kwamoja yandoto watu wanazoota, ndoto hua nimajibu yasasa yamaswali yasiku zijazo, inabid mtu awe mtaalam sana kuweza kurelate matukuio yanayotokea nayanayotarajiwa kutokea kwenye maisha yako ndo angalau aweze kuelewa maana yahio ndoto.

Pia itategemea namtu anaeota tafsir ya ndoto za mfungwa, mgonjwa, mtu maarufu, mtu mfupi sana au mrefu sana wanaweza kuota ndoto moja naikawa namaana tofaut kwakila mmoja.

Mshana mtu mwepesi sana kuweza kutafsir ndoto zawatu
 
Samahani mkuu,nipo nje ya mada. Hiv kuna uhusiano gani kati ya majivu na kinyesi?.Maana nasikia sikia tu kwamba majivu yakinyunyiziwa juu ya kinyesi lazima uwashwe lango kuu la kupitishia kinyesi.
 
Samahani mkuu,nipo nje ya mada. Hiv kuna uhusiano gani kati ya majivu na kinyesi?.Maana nasikia sikia tu kwamba majivu yakinyunyiziwa juu ya kinyesi lazima uwashwe lango kuu la kupitishia kinyesi.
Mmh hii sijawahi kusikia japo jivu linatumika sana na washirikina
 
Hahaha hapo mganga wa kienyeji angetoa sababu zake anazojua yeye na dawa ya kupaka au chanjo, sasa mshiko wake na masharti yake unaweza ukahamia jupiter
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] waganga wa kienyeji siku hizi kama wanasiasa tuu... Wanaangalia wanapata nini kwenye nini
 
Glass ya ndimu iliyochanganywa na kitunguu saumu, kumbuka kuongeza maji kidogo kushushia au dawa inaitwa MAKATA
Hahaha hivi ungekuwa mganga wa kienyeji bango lako la matangazo ungeandika unatibu nini, maana unamajibu ya kila mgonjwa humu jamii forum hahaha
 
Hahaha hivi ungekuwa mganga wa kienyeji bango lako la matangazo ungeandika unatibu nini, maana unamajibu ya kila mgonjwa humu jamii forum hahaha
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] nia ni kusaidia sio personal gainings... Hasa kifedha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…