Sasa hebu ona mark Zuckerberg ni billionea mkubwa sana ila baby shower yake hajatumia hata elfu 50, wakati diamond ni kama maskini tu kwa Zuckerberg lakini katumia kama millioni 100 hv kwenye baby shower huoni ni ulimbukeni wewe jamaa?
Tajiri anavyotumia pesa yake maskini anaona Kama anaharibu hela.....Sasa hebu ona mark Zuckerberg ni billionea mkubwa sana ila baby shower yake hajatumia hata elfu 50, wakati diamond ni kama maskini tu kwa Zuckerberg lakini katumia kama millioni 100 hv kwenye baby shower huoni ni ulimbukeni wewe jamaa?
mark Zuckerberg si ni shogaWaafrika mbumbumbu sana inapofika swala la kuiga mambo ya kizungu hadi kufikia kuwa kichekesho, sasa baby shower ya mtoto mtu kafanya ya makungwi. Ndo utajua tofauti ya mtu mwenye pesa na mtu anayefilisika View attachment 1218396View attachment 1218397View attachment 1218398View attachment 1218399View attachment 1218400View attachment 1218401View attachment 1218402View attachment 1218403View attachment 1218404View attachment 1218405View attachment 1218406
Ulimsaidia kuzisaka,!!Sasa hebu ona mark Zuckerberg ni billionea mkubwa sana ila baby shower yake hajatumia hata elfu 50, wakati diamond ni kama maskini tu kwa Zuckerberg lakini katumia kama millioni 100 hv kwenye baby shower huoni ni ulimbukeni wewe jamaa?
atakayebisha baada ya hii comment na apigwe maana hamn namna (in pinda voice)Diamond ni mwanamuziki na pia ni celebrity number 1 hapa nchini ,katika kukuza biashara yake ya Muziki lazima ayakuze na maisha yake ya kawaida ili watu wapende na wazidi kumfuatilia kila siku kwa sababu kwa kufanya hivyo thamani yake inaongezeka mara dufu.
Mark Zuckeberg sio Mwanamuziki wala sio mtu anayetegemea maisha yake ya kawaida kukuza thamani yake au ya biashara yake kwa ujumla, ndio maana Mark anaweza akavaa shati la rangi moja mwaka mzima ila isiwe issue kabisa kwake wala biashara yake haitaathirika hata kidogo lakini Jay z au Kanye West hawawezi kufanya hivyo japokuwa wameachwa mbali sana Mark Zuckeberg kwenye upande wa utajiri.
Next time ukitaka ufananishe watu/vitu tafuta ulinganyo kwanza , maana mwisho wa siku utakuja kuonekana huna uelewa na vitu vidogo vidogo
Mkuu uelewa wako bado..Sasa hebu ona mark Zuckerberg ni billionea mkubwa sana ila baby shower yake hajatumia hata elfu 50, wakati diamond ni kama maskini tu kwa Zuckerberg lakini katumia kama millioni 100 hv kwenye baby shower huoni ni ulimbukeni wewe jamaa?
Huu sasa ushoga.
duh
nyie verified users, muwe makini na kejeli maana unaweza jidhalilisha
Hata Mimi nimehis hivyo😂😂😂Wamedukua hii I'd [emoji23]