Tofauti ya Dini(Imani) ni ushahidi wa uhakika wa uwepo wa Mungu

Tofauti ya Dini(Imani) ni ushahidi wa uhakika wa uwepo wa Mungu

ruby garnet

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2017
Posts
2,869
Reaction score
3,852
Kuna maada mbalimbali zimeanzisha humu kuhusu Ushaidi wa uwepo wa Mungu, Mimi leo natoa ushahidi wa uwepo wa Mungu kwa kujenga hoja kutokana na Tofauti ya dini.

Swali la Musingi ni ‘kwa nini kuna dini ama imani tofautitofauti na zingine zinapingana juu ya namna ya njia sahihi ya kumuelekea MUNGU?

Wapendwa wasomaji wa bandiko hili mimi ni Mkristo Mkatoliki hivyo nitajibu kikatoliki swala la tofauti za dini kama ushahidi wa uwepo wa Mungu kama ifuatavyo.
kumbuka bandiko hili siyo kwa ajili ya dini ipi ni sahihi bali ni uwepo wa Mungu

Kwanza Ushaidi wa kuwepo tofauti za dini toka zama za kale
Kwa maana nyingi katika historia ya binadamu, na hata mpaka leo hii, watu wameonesha shauku kubwa ya kumtafuta Mungu kwa njia Imani na kuishi kidini (Sala, Sadaka, Ibada, Taamuli na kadhalika) hivyo mtu ni kiumbe chenye dini

  • kwa mujibu wa bibilia kuna ushaihindi wa uwepo wa dini mbalimbaili toka kitambo sana soma Kutoka 7:10-11, Yoshua 24:15, Matendo 23:6-8, Matendo17:22-25, Matendo 6:5
  • Ushaidi toka katika mazingira ya tamaduni zetu kwa waafrika hata kabla ya wakoloni au watu weupe kutuletea dini za Kikristo na Kiisilamu bila kusahau Budha, Hindu na kadhalika. Tulikuwa na dini zetu mbalimbali kwa kila jamii na tuliabudu mizimu, miti, milima dini zote hizi ziliongonzwa na hapa tunapata hoja kuu moja tu nayo ni kuwa ‘kuna kitu kilicho kikuu kuliko sisi binadamu kisichoonekana kinaongoza maisha yetu’. Jambo la ajabu dini hizi zilitofautiana kutoka jamii moja kwenda nyingine katika kuabudu ama kumuelekea Mungu
SWALI LILETALO JIBU

Ninani alimufundisha binadamu maswala ya dini?, ni namna gani Binadamu alianzisha dini? Je! Ni lini hasa?.​

JIBU: Binadamu aliumbwa kwa namna ya MWILI NA ROHO, Hii ikiwa na maana Roho ni sehemu ya Mungu ama ni asili ya Mungu. Kutokana na Binadamu kuwa na asili ya Uungu amekuwa na tamaa ya kuitafuta nguvu ya asili yake. Tamaa ya kuwa na Mungu imeandikwa katika moyo wa mtu kwa sababu ameumbwa na Mungu na kwa ajili ya Mungu.

‘Ni katika Mungu tu ndipo ambapo mtu anaweza kupata ukweri na heri ambayo hachoki kuitafuta.

HIVYO TOFAUTI YA DINI NI UDHIBITISHO TOSHA KUONESHA NAMNA TAMAA (UCHU) YA MTU ANAVYOPAMBANA KUISAKA ASILI YAKE AMBAYO NI MUNGU HATA KWA KUPAPASA.
Niwakubushe bandiko hili siyo kwa ajiri ya dini ipi ni sahihi bali ushahidi wa uwepo wa Mungu


SWALI LA NYONGEZA JE MUUNGANIKO WA MTU NA MUNGU UNATENGANISHWA (MWILI+ROHO)

Muunganiko wa Mungu na Mtu ulio haai hauwezi kutenganisha japokuwa unaweza:

  1. Kusahaulika
  2. Kutojulikana
  3. Kukataliwa waziwazi na mtu kwa sababu mbalimbali kama
  • Uasi dhidi ya uwepo wa mabaya katika dini
  • Kutokujua, kutojali dini.
  • Mahangaiko ya dunia na mali,
  • Mifano mbaya wa waamini,
  • Maelekeo ya mawazo ya kisasa ya chuki ya dini na
  • Mwisho maelekeo ya mtu mwenye dhambi ambaye kwa hofu anajificha mbele ya Mungu na kukimbia mbali na watu wake.
NIWATAKIE JIONI NJEMA YA JUMATANO TULIVU​
 
Kuna maada mbalimbali zimeanzisha humu kuhusu Ushaidi wa uwepo wa Mungu, Mimi leo natoa ushahidi wa uwepo wa Mungu kwa kujenga hoja kutokana na Tofauti ya dini.

Swali la Musingi ni ‘kwa nini kuna dini ama imani tofautitofauti na zingine zinapingana juu ya namna ya njia sahihi ya kumuelekea MUNGU?

Wapendwa wasomaji wa bandiko hili mimi ni Mkristo Mkatoliki hivyo nitajibu kikatoliki swala la tofauti za dini kama ushahidi wa uwepo wa Mungu kama ifuatavyo.
kumbuka bandiko hili siyo kwa ajili ya dini ipi ni sahihi bali ni uwepo wa Mungu

Kwanza Ushaidi wa kuwepo tofauti za dini toka zama za kale
Kwa maana nyingi katika historia ya binadamu, na hata mpaka leo hii, watu wameonesha shauku kubwa ya kumtafuta Mungu kwa njia Imani na kuishi kidini (Sala, Sadaka, Ibada, Taamuli na kadhalika) hivyo mtu ni kiumbe chenye dini

  • kwa mujibu wa bibilia kuna ushaihindi wa uwepo wa dini mbalimbaili toka kitambo sana soma Kutoka 7:10-11, Yoshua 24:15, Matendo 23:6-8, Matendo17:22-25, Matendo 6:5
  • Ushaidi toka katika mazingira ya tamaduni zetu kwa waafrika hata kabla ya wakoloni au watu weupe kutuletea dini za Kikristo na Kiisilamu bila kusahau Budha, Hindu na kadhalika. Tulikuwa na dini zetu mbalimbali kwa kila jamii na tuliabudu mizimu, miti, milima dini zote hizi ziliongonzwa na hapa tunapata hoja kuu moja tu nayo ni kuwa ‘kuna kitu kilicho kikuu kuliko sisi binadamu kisichoonekana kinaongoza maisha yetu’. Jambo la ajabu dini hizi zilitofautiana kutoka jamii moja kwenda nyingine katika kuabudu ama kumuelekea Mungu
SWALI LILETALO JIBU

Ninani alimufundisha binadamu maswala ya dini?, ni namna gani Binadamu alianzisha dini? Je! Ni lini hasa?.​

JIBU: Binadamu aliumbwa kwa namna ya MWILI NA ROHO, Hii ikiwa na maana Roho ni sehemu ya Mungu ama ni asili ya Mungu. Kutokana na Binadamu kuwa na asili ya Uungu amekuwa na tamaa ya kuitafuta nguvu ya asili yake. Tamaa ya kuwa na Mungu imeandikwa katika moyo wa mtu kwa sababu ameumbwa na Mungu na kwa ajili ya Mungu.

‘Ni katika Mungu tu ndipo ambapo mtu anaweza kupata ukweri na heri ambayo hachoki kuitafuta.

HIVYO TOFAUTI YA DINI NI UDHIBITISHO TOSHA KUONESHA NAMNA TAMAA (UCHU) YA MTU ANAVYOPAMBANA KUISAKA ASILI YAKE AMBAYO NI MUNGU HATA KWA KUPAPASA.
Niwakubushe bandiko hili siyo kwa ajiri ya dini ipi ni sahihi bali ushahidi wa uwepo wa Mungu


SWALI LA NYONGEZA JE MUUNGANIKO WA MTU NA MUNGU UNATENGANISHWA (MWILI+ROHO)

Muunganiko wa Mungu na Mtu ulio haai hauwezi kutenganisha japokuwa unaweza:

  1. Kusahaulika
  2. Kutojulikana
  3. Kukataliwa waziwazi na mtu kwa sababu mbalimbali kama
  • Uasi dhidi ya uwepo wa mabaya katika dini
  • Kutokujua, kutojali dini.
  • Mahangaiko ya dunia na mali,
  • Mifano mbaya wa waamini,
  • Maelekeo ya mawazo ya kisasa ya chuki ya dini na
  • Mwisho maelekeo ya mtu mwenye dhambi ambaye kwa hofu anajificha mbele ya Mungu na kukimbia mbali na watu wake.
NIWATAKIE JIONI NJEMA YA JUMATANO TULIVU​
kwa mujibu wa bibilia kuna ushaihindi wa uwepo wa dini mbalimbaili toka kitambo sana soma Kutoka 7:10-11
[10]Basi Musa na Haruni wakaingia kwa Farao, wakafanya vivyo kama BWANA alivyowaambia; Haruni akaibwaga fimbo yake chini mbele ya Farao, mbele ya watumishi wake, ikawa nyoka.
[11]Ndipo Farao naye akawaita wenye akili na wachawi; na hao waganga wa Misri wakafanya vivyo kwa uganga wao.
Yoshua 24:15
[15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.
Matendo ya Mitume 23:6-8
[6]Paulo alipotambua ya kuwa sehemu moja ni Masadukayo, na sehemu ya pili ni Mafarisayo, akapaza sauti yake katika ile baraza, Ndugu zangu, mimi ni Farisayo mwana wa Farisayo; mimi ninahukumiwa kwa ajili ya tumaini la ufufuo wa wafu.
[7]Alipokwisha kunena hayo palikuwa na mashindano baina ya Mafarisayo na Masadukayo, mkutano ukafarakana.
[8]Kwa maana Masadukayo husema ya kwamba hakuna kiyama wala malaika wala roho; bali Mafarisayo hukiri yote.
Matendo ya Mitume 17:22-25
[22]Paulo akasimama katikati ya Areopago, akasema, Enyi watu wa Athene, katika mambo yote naona ya kuwa ninyi ni watu wa kutafakari sana mambo ya dini.
[23]Kwa sababu nilipokuwa nikipita huko na huko na kuyaona mambo ya ibada yenu, naliona madhabahu iliyoandikwa maneno haya, KWA MUNGU ASIYEJULIKANA. Basi mimi nawahubirini habari zake yeye ambaye ninyi mnamwabudu bila kumjua.
[24]Mungu aliyeufanya ulimwengu na vitu vyote vilivyomo, yeye, kwa kuwa ni Bwana wa mbingu na nchi, hakai katika hekalu zilizojengwa kwa mikono;
[25]wala hatumikiwi kwa mikono ya wanadamu kana kwamba anahitaji kitu cho chote; kwa maana ndiye anayewapa wote uzima na pumzi na vitu vyote.
Matendo ya Mitume 6:5
[5]Neno hili likapendeza machoni pa mkutano wote; wakamchagua Stefano, mtu aliyejaa imani na Roho Mtakatifu, na Filipo, na Prokoro, na Nikanori, na Timoni, na Parmena, na Nikolao mwongofu wa Antiokia;
 
Kuna maada mbalimbali zimeanzisha humu kuhusu Ushaidi wa uwepo wa Mungu, Mimi leo natoa ushahidi wa uwepo wa Mungu kwa kujenga hoja kutokana na Tofauti ya dini.

Swali la Musingi ni ‘kwa nini kuna dini ama imani tofautitofauti na zingine zinapingana juu ya namna ya njia sahihi ya kumuelekea MUNGU?

Wapendwa wasomaji wa bandiko hili mimi ni Mkristo Mkatoliki hivyo nitajibu kikatoliki swala la tofauti za dini kama ushahidi wa uwepo wa Mungu kama ifuatavyo.
kumbuka bandiko hili siyo kwa ajili ya dini ipi ni sahihi bali ni uwepo wa Mungu

Kwanza Ushaidi wa kuwepo tofauti za dini toka zama za kale
Kwa maana nyingi katika historia ya binadamu, na hata mpaka leo hii, watu wameonesha shauku kubwa ya kumtafuta Mungu kwa njia Imani na kuishi kidini (Sala, Sadaka, Ibada, Taamuli na kadhalika) hivyo mtu ni kiumbe chenye dini

  • kwa mujibu wa bibilia kuna ushaihindi wa uwepo wa dini mbalimbaili toka kitambo sana soma Kutoka 7:10-11, Yoshua 24:15, Matendo 23:6-8, Matendo17:22-25, Matendo 6:5
  • Ushaidi toka katika mazingira ya tamaduni zetu kwa waafrika hata kabla ya wakoloni au watu weupe kutuletea dini za Kikristo na Kiisilamu bila kusahau Budha, Hindu na kadhalika. Tulikuwa na dini zetu mbalimbali kwa kila jamii na tuliabudu mizimu, miti, milima dini zote hizi ziliongonzwa na hapa tunapata hoja kuu moja tu nayo ni kuwa ‘kuna kitu kilicho kikuu kuliko sisi binadamu kisichoonekana kinaongoza maisha yetu’. Jambo la ajabu dini hizi zilitofautiana kutoka jamii moja kwenda nyingine katika kuabudu ama kumuelekea Mungu
SWALI LILETALO JIBU

Ninani alimufundisha binadamu maswala ya dini?, ni namna gani Binadamu alianzisha dini? Je! Ni lini hasa?.​

JIBU: Binadamu aliumbwa kwa namna ya MWILI NA ROHO, Hii ikiwa na maana Roho ni sehemu ya Mungu ama ni asili ya Mungu. Kutokana na Binadamu kuwa na asili ya Uungu amekuwa na tamaa ya kuitafuta nguvu ya asili yake. Tamaa ya kuwa na Mungu imeandikwa katika moyo wa mtu kwa sababu ameumbwa na Mungu na kwa ajili ya Mungu.

‘Ni katika Mungu tu ndipo ambapo mtu anaweza kupata ukweri na heri ambayo hachoki kuitafuta.

HIVYO TOFAUTI YA DINI NI UDHIBITISHO TOSHA KUONESHA NAMNA TAMAA (UCHU) YA MTU ANAVYOPAMBANA KUISAKA ASILI YAKE AMBAYO NI MUNGU HATA KWA KUPAPASA.
Niwakubushe bandiko hili siyo kwa ajiri ya dini ipi ni sahihi bali ushahidi wa uwepo wa Mungu


SWALI LA NYONGEZA JE MUUNGANIKO WA MTU NA MUNGU UNATENGANISHWA (MWILI+ROHO)

Muunganiko wa Mungu na Mtu ulio haai hauwezi kutenganisha japokuwa unaweza:

  1. Kusahaulika
  2. Kutojulikana
  3. Kukataliwa waziwazi na mtu kwa sababu mbalimbali kama
  • Uasi dhidi ya uwepo wa mabaya katika dini
  • Kutokujua, kutojali dini.
  • Mahangaiko ya dunia na mali,
  • Mifano mbaya wa waamini,
  • Maelekeo ya mawazo ya kisasa ya chuki ya dini na
  • Mwisho maelekeo ya mtu mwenye dhambi ambaye kwa hofu anajificha mbele ya Mungu na kukimbia mbali na watu wake.
NIWATAKIE JIONI NJEMA YA JUMATANO TULIVU​
Shukrani kwa ufafanuzi mzuri..
 
Huu uzi auone Dumas the terrible .

Kila watu ndani mwao wanawiwa kumtafuta Mungu siku zote, ndio maana akija mgeni [ANUNAKI] akaonekana kuwa na elimu kuhusu hicho kitu basi watu wanamchangamkia na kuboresha imani zao
 
Huu uzi auone Dumas the terrible .

Kila watu ndani mwao wanawiwa kumtafuta Mungu siku zote, ndio maana akija mgeni [ANUNAKI] akaonekana kuwa na elimu kuhusu hicho kitu basi watu wanamchangamkia na kuboresha imani zao
Oya wake up dude Siamini Katika nadharia za Mungu/Miungu Wala Dini yoyote
Kaa ukielewa katika mabandiko yangu Sijawahi sema Wala kukiri kuamini Annunaki kama Mungu katika tafsiri yenu ila katika tafsiri ya Sumeria nilitumia Mungu/Miungu nikionesha cheo tu na sio jina la kiumbe yeyote,hivyo uwe unasoma kuelewa sio kukariri tu!
 
Oya wake up dude Siamini Katika nadharia za Mungu/Miungu Wala Dini yoyote
Kaa ukielewa katika mabandiko yangu Sijawahi sema Wala kukiri kuamini Annunaki kama Mungu katika tafsiri yenu ila katika tafsiri ya Sumeria nilitumia Mungu/Miungu nikionesha cheo tu na sio jina la kiumbe yeyote,hivyo uwe unasoma kuelewa sio kukariri tu!
Niambie kwako wewe unaamini asili ya binadamu ni ipi?, Je viumbe vingine na na dunia vilitoka wapi?
 
Niambie kwako wewe unaamini asili ya binadamu ni ipi?, Je viumbe vingine na na dunia vilitoka wapi?
Inafahamika genre ya Homo sapiens Kwa mara ya kwanza Duniani ilitokea miaka 360,000 BCE na Ushahidi wa DNA unaonesha hivyo hiyo ikienda sambamba na mazao na wanyama wafugwao Leo hii na aliyemodify hiyo Project ni Annunak pale Mesopotamia kati ya mito Euphrates na Tigris katika Bustani ya Aden/Eden katika mji wa ERIDU
Ila kabla ya hapo haieleweki nani na Haijaandikwa popote juu ya asili ya vitu vingine maana historia inarudi miaka zaidi ya Billion baada ya formation ya Solar system yetu!
 
Inafahamika genre ya Homo sapiens Kwa mara ya kwanza Duniani ilitokea miaka 360,000 BCE na Ushahidi wa DNA unaonesha hivyo hiyo ikienda sambamba na mazao na wanyama wafugwao Leo hii na aliyemodify hiyo Project ni Annunak pale Mesopotamia kati ya mito Euphrates na Tigris katika Bustani ya Aden/Eden katika mji wa ERIDU
Ila kabla ya hapo haieleweki nani na Haijaandikwa popote juu ya asili ya vitu vingine maana historia inarudi miaka zaidi ya Billion baada ya formation ya Solar system yetu!
Kunaushahidi wowote wa kisayansi Kuwa annuanak walihusika na hiyo modification ya genes. Je story za annuanak zinatofauti gani na story za Bibilia?. Maana history ya mesopotamia pia zipo kwenye Bibilia.
 
Kunaushahidi wowote wa kisayansi Kuwa annuanak walihusika na hiyo modification ya genes. Je story za annuanak zinatofauti gani na story za Bibilia?. Maana history ya mesopotamia pia zipo kwenye Bibilia.
Story za biblia wamecopy Kwenye Maandiko ya kale ya Sumerian hivyo Habari za Annunaki ni kongwe na zimehifadhiwa Kwenye clay tablets katika makumbusho ya Dunia nenda huko ukajionee usitake Ushahidi kwangu!
Pia nenda Katafute documentary mbali mbali kuhusu genre ya Homo sapiens na mwanzo wake hapo ndipo utawakuta Anunnaki na Habari zinazothibitisha hizo Nadharia Kwa kutumia science ya Human manipulation na cloning ambayo watafiti wa Karne ya Leo waliofanyia majaribio na kupata matokeo ya wanyama na binadamu wa kisasa kutoka Maabara
Hayo yote yapo na yanaeleweka endapo ukiamua kutafuta maarifa!
 
Story za biblia wamecopy Kwenye Maandiko ya kale ya Sumerian hivyo Habari za Annunaki ni kongwe na zimehifadhiwa Kwenye clay tablets katika makumbusho ya Dunia nenda huko ukajionee usitake Ushahidi kwangu!
Hata Bibilia mwazo iliandikwa katika Clay tablet. Kumbuka bablion iliendelea na kuivamia Israel. Israel ilikuwepo miongoni mwa mataifa hayo. Kazi ya uandishi ilifanya na binadamu wa kawaida katika mashariki ya Kati. Lakini pia Clay tablet zinaeleza early documentation ya human history but not Annuanak theory.
 
Story za biblia wamecopy Kwenye Maandiko ya kale ya Sumerian hivyo Habari za Annunaki ni kongwe na zimehifadhiwa Kwenye clay tablets katika makumbusho ya Dunia nenda huko ukajionee usitake Ushahidi kwangu!
Pia nenda Katafute documentary mbali mbali kuhusu genre ya Homo sapiens na mwanzo wake hapo ndipo utawakuta Anunnaki na Habari zinazothibitisha hizo Nadharia Kwa kutumia science ya Human manipulation na cloning ambayo watafiti wa Karne ya Leo waliofanyia majaribio na kupata matokeo ya wanyama na binadamu wa kisasa kutoka Maabara
Hayo yote yapo na yanaeleweka endapo ukiamua kutafuta maarifa!
Unawezaje kuzungumuzia Mesopotania ama sumarian history bila kuigusa Israel. History ya miungu Mesopotania pamoja sumarian is the core center for revelation of God power. If you trust Mesopotania and sumarian Annuanak theory it means you accept also the story of God revelation
4d19a1d6c1ec5205149f4020f39cff91.jpg
39c601d1719dc5bc6e336ef108cc0a9c.jpg
 
Unawezaje kuzungumuzia Mesopotania ama sumarian history bila kuigusa Israel. History ya miungu Mesopotania pamoja sumarian is the core center for revelation of God power. If you trust Mesopotania and sumarian Annuanak theory it means you accept also the story of God revelation View attachment 2209108View attachment 2209109
Yaa ni kweli hapo ndipo son of GOD ANU
(Master of high chamber)

Waliposhuka Kwa mara ya kwanza na kuanzisha makazi na Migodi ya Dhahabu Ili zipelekwe Mbinguni,
Na Pana historia kubwa Sana hapo na Jerusalem ilikua makao ya MUNGU Elohim alipokua anashuka duniani kuangalia project zake za kukusanya dhahabu,
Umeshawahi kumsikia Merchizedec mtawala wa Salem aliyemuunganisha Abraham na Mungu Elohim Ili awe ajent wake?

Usipate tabu hao wote ni ANUNNAK na ndio maana historia zao zimeanzia hapo kama hujaelewa nitakuja kukupa ufafanuzi juu ya historia ya Israelites na Jerusalem Pamoja na agano lao na Mungu wao Elojim
Karibu!
 
Yaa ni kweli hapo ndipo son of GOD ANU
(Master of high chamber)

Waliposhuka Kwa mara ya kwanza na kuanzisha makazi na Migodi ya Dhahabu Ili zipelekwe Mbinguni,
Na Pana historia kubwa Sana hapo na Jerusalem ilikua makao ya MUNGU Elohim alipokua anashuka duniani kuangalia project zake za kukusanya dhahabu,
Umeshawahi kumsikia Merchizedec mtawala wa Salem aliyemuunganisha Abraham na Mungu Elohim Ili awe ajent wake?

Usipate tabu hao wote ni ANUNNAK na ndio maana historia zao zimeanzia hapo kama hujaelewa nitakuja kukupa ufafanuzi juu ya historia ya Israelites na Jerusalem Pamoja na agano lao na Mungu wao Elojim
Karibu!
Mwanzo 14:18-21
[18]Na Melkizedeki mfalme wa Salemu akaleta mkate na divai, naye alikuwa kuhani wa Mungu Aliye juu sana.
[19]Akambariki, akasema, Abramu na abarikiwe na Mungu Aliye juu sana, Muumba mbingu na nchi.
[20]Ahimidiwe Mungu Aliye juu sana, aliyewatia adui zako mikononi mwako. Abramu akampa fungu la kumi la vitu vyote.
[21]Mfalme wa Sodoma akamwambia Abramu, Nipe mimi hao watu, na hizo mali uchukue wewe.

Nakukumbusha Kuwa Kuhani Mkuu na mfalme Melikisedeki hakuwa mfalme pekeee, kumbuka Abraham alipigana vita na mfalme mwingine pia kulikuwa na mfalme wa Sodoma. Hapo tiyari ona hizo falme.

Waebrania 5:6
[6]kama asemavyo mahali pengine,
Ndiwe kuhani milele
Kwa mfano wa Melkizedeki.

Melkizedeki alikuwa Kuhani wa mfano tu. Ndiyo maana hakujulikana alikotoka hata Ukoo wake na hatima yake.

Naomba nikumbushe Kuwa Elimu ya kuwepo viumbe wengine wenye nguvu ilikuwepo toka kipindi Cha Mwanzo wa ukiristo. Paul aliweza kujibu swala Hilo kwa kusema ni kweri wapo viumbe wengine wenye nguvu lakini siyo zaidi ya Yesu
Vitu vya enzi au usultani au enzi au mamlaka ni makundi ya Malaika hayo
Soma hapo chini
Wakolosai 1:16
[16]Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake.
For by him were all things created, that are in heaven, and that are in earth, visible and invisible, whether they be thrones, or dominions, or principalities, or powers: all things were created by him, and for him:

Napenda nikukumshe Kuwa Abraham aliitwa ili kuanzisha revelation ya God power katika jamii ya Mesopotania ili kuonesha hiyo miungu ilikuwa ni uongo tu. Nashangaa miaka 2000 imepita wewe hujapambanua tu Kati ya hivyo vitu.

Yoshua 24:2-3,15
[2]Yoshua akawaambia watu wote, BWANA, Mungu wa Israeli, asema hivi, Baba zenu hapo zamani walikaa ng’ambo ya Mto, maana Tera, baba yake Ibrahimu, naye ni baba yake Nahori; wakaitumikia miungu mingine.
[3]Nami nikamtwaa Ibrahimu baba yenu toka ng’ambo ya Mto, nikamwongoza katika nchi yote ya Kanaani; nikaongeza uzao wake, nikampa Isaka.
[15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.

Karibu katika kweri nayo itakuweka huru
 
Story za biblia wamecopy Kwenye Maandiko ya kale ya Sumerian hivyo Habari za Annunaki ni kongwe na zimehifadhiwa Kwenye clay tablets katika makumbusho ya Dunia nenda huko ukajionee usitake Ushahidi kwangu!
Pia nenda Katafute documentary mbali mbali kuhusu genre ya Homo sapiens na mwanzo wake hapo ndipo utawakuta Anunnaki na Habari zinazothibitisha hizo Nadharia Kwa kutumia science ya Human manipulation na cloning ambayo watafiti wa Karne ya Leo waliofanyia majaribio na kupata matokeo ya wanyama na binadamu wa kisasa kutoka Maabara
Hayo yote yapo na yanaeleweka endapo ukiamua kutafuta maarifa!
Story za biblia na quran zimekopiwa kutoka kemetian texts,'papyrus of Ani" au the book of the dead
Kwa kukusaidia tu Kemet ndio inayojulikana leo kama Egypt..
Again this all happened more than 5000 years before the invasion of whites and arabs into kemet
 
Story za biblia na quran zimekopiwa kutoka kemetian texts,'papyrus of Ani" au the book of the dead
Kwa kukusaidia tu Kemet ndio inayojulikana leo kama Egypt..
Again this all happened more than 5000 years before the invasion of whites and arabs into kemet
Kemet (now Egypt).
Ok.
But Mkuu History of the Bible huwezi kuzungumuzia bila kukusa Engyt (kemet) na pia huwezi kuzungumuzia Bibilia bila kuigusa Mesopotania ( sumarian). History of the Bibilia imehusishwa na jamii ya waebrania (Abraham origin) ambao ilikuwa katikati ya njia kuu ya biashara Kati ya Engyt na Mesopotania.
Mwanzo 37:28
[28]Wakapita wafanya biashara Wamidiani; basi wakamtoa Yusufu, wakampandisha kumtoa katika birika, wakamwuza Yusufu kwa Waishmaeli kwa vipande vya fedha ishirini; nao wakamchukua Yusufu mpaka Misri.
Hata hivyo Nguvu za Mungu zinazosimuliwa katika Bibilia ni struggle Kati ya waebrania na jamii ya Egypt na Mesopotania.
 
Story za biblia na quran zimekopiwa kutoka kemetian texts,'papyrus of Ani" au the book of the dead
Kwa kukusaidia tu Kemet ndio inayojulikana leo kama Egypt..
Again this all happened more than 5000 years before the invasion of whites and arabs into kemet
Yaa ni kweli pia milki zote kuanzia Indus Valley,Mesopotamia mpaka Kemet na kush ziliongozwa na Master mmoja na pia walitawala mpaka Mesoamerica,
Hizo zote ni milki zilizoanzishwa na Annunaki na khemet zilijengwa Pyramids tatu za Giza kufuata nyota za Orion kurahisisha spaceships zilizotua Baarbek ground kupata sign,
Aliyebuni Huo ujuzi ni Ningshidza/Thot/Quetzelcott
Na Ndie aliyedesign na kujenga mji wa Teotihuacan kule Mexico!
 
Yaa ni kweli pia milki zote kuanzia Indus Valley,Mesopotamia mpaka Kemet na kush ziliongozwa na Master mmoja na pia walitawala mpaka Mesoamerica,
Hizo zote ni milki zilizoanzishwa na Annunaki na khemet zilijengwa Pyramids tatu za Giza kufuata nyota za Orion kurahisisha spaceships zilizotua Baarbek ground kupata sign,
Aliyebuni Huo ujuzi ni Ningshidza/Thot/Quetzelcott
Na Ndie aliyedesign na kujenga mji wa Teotihuacan kule Mexico!
Unasemaje hizo himaya tatu ziliongozwa na master mmoja wakati kemet iliongozwa na pharaohs tofauti tokea first dynasty?
Au unamaanisha kitu kingine unaposema "master"?
 
Unasemaje hizo himaya tatu ziliongozwa na master mmoja wakati kemet iliongozwa na pharaohs tofauti tokea first dynasty?
Au unamaanisha kitu kingine unaposema "master"?
Nazungumzia mwanzilishi wa hizo himaya ni mmoja/Ndugu/kikundi/Jamii Moja ila katika vipindi tofauti tofauti maana Mesopotamia ndipo miji ya
makazi kwanza ilijengwa na Enki na ENLIL na kush ilikua base ya kuchimba Dhahabu then baadae Murduc/Ra ambaye alikua first son wa ENLIL akaijenga Kemet vile vile Kuna mtirirko wa kiutawala katika vipindi mbali.
 
Back
Top Bottom