Tofauti ya Dini(Imani) ni ushahidi wa uhakika wa uwepo wa Mungu

Tofauti ya Dini(Imani) ni ushahidi wa uhakika wa uwepo wa Mungu

Uwepo wa kila kitu unaonesha kuna nguvu iliotengeneza ila sio mungu wa kwenye vitabu vya dini ety wa kufanya kazi siku sita ya saba akapumzika wat about other planets ziliumbwa na mungu uyouyo au yupi maaan atujaona likitajwa ilo kwenye uumbaji
Hata Mimi nimeanza kupata mashaka na Mungu wa hivi vitabu vya kuitwa vitakatifu, ila kichwa changu kinaniaminisha uwepo wa supernatural power
 
Hua sipendi upotishaji na uzushi Nguvu iliyofanya ulimwengu haiwezi kua Mungu kamwe sababu
Asili na mzizi neno
'MUNGU' ni master of high chamber ambapo katika Accient civilization walitajwa wengi mfano ANU, ELOHIM,ENLIL,ENKI NK
Nyie watu wa Dini muache kupotosha ukweli hata Siku Moja Deities hawawezi umba ulimwengu maana hata wao wapo ndani ya Huo Huo ulimwengu Hicho Kitu hakiwezekani,
Mathalani Abrahamic Religion hasa Israelites wanaabudu deities wa Accient Sumerian hasa
Elohim/YWH/Jehovah
Pia jamii za Waasia wakiabudu deites kama Buddha, Brahma,Rama,Vishnu,Krishna na wengine chungu mzima na ndio maana wakaitwa Miungu Katika singular ataiwa MUNGU
Yenye tafsiri "Master of high chamber"

Hakuna MUNGU aliumba huu Ulimwengu nakataa maana hayupo hajawahi kuwepo na hata kuja kuwepo kamwe
Huo ndio ukweli mchungu!
Wafia dini hawatokuelewa maana akili zao zilishaharibiwa na mafundisho ya vitisho kutoka kwenye magenge yao ya ibada.

How come Mungu muumbaji aishi mbinguni na kuja ktk dunia aliyoumba? Je kabla ya uumbaji alikuwa wapi? Hawa wafia dini wakifaulu kujibu haya maswali kiufasaha basi watafunguka akili na kujua kuwa mambo mengi ya dini tulipigwa, ni uongo mkubwa.

Dunia haijaumbwa na Mungu bali imefanywa na Nguvu ambazo si Mungu bali ni zaid ya Umungu na Nguvu hizo hazishahabiani na imani yoyote hapa dunian ivyo basi ilishasahauliwa zaman sana baada ya jamii kuacha kufuata sheria hizo na kukumbatia sheria mpya za uongo wa viumbe wanaojiita Miungu ambao wako limited kwenye kutoa misaada kwa mtu/mwanadamu.

Ndiomaana utaona kila siku makanisa na misikiti inaongezeka lakn mabaya na magonjwa hayakwishi unajuwa kwanini? Kwasababu huyo Allah/Mungu/Yahweh/Yehova/elishadai/Elohim/Yesu/azazel/zeus hawa wako limited kutimiza mahitaji ya wanadamu na kusolve matatizo ya kila mtu,
hivyo ili wakusaidie inakubdi uwatolee sana sadaka za kuwafuraisha ili wakusaidie na wao, we nenda kwa makanisa utasikia et ili ubarikiwe sharti utoe sadaka na upuuzi mwingine, na kwa wanganga na washirikina ni hivyo hivyo utaambiwa utoe kafara kwa mizimu/mashetan yaan unakabwa kila secta kuhakikisha huna pa kutorokea...

Kwa bahat mbaya yule mnaemkemea makanisan na misikitini ndiye yule yule mnaemuabudu kupitia majina mazuri ya Umungu ambapo kuna makundi ya viumbe wa kiroho wenye nguvu kubwa na ndio hugawana madaraja ya Uungu na Ushetani ili kubalance imani za watu dunian na hata hizi sheria huzi introduce ktk maisha ya kawaida ya wanadamu kupitia mawakala wao ambao ndio huleta hizi sheria na kanuni za kimataifa na mifumo ya siasa, uchumi na kijamii ili maisha yawe balance [emoji23][emoji23].

Ukweli huu hutowai usikia kwa hao wachungaji wako wala mashekhe maana hao wote ni sehemu ya mipango ya huyo shetan kwa ubaya na Uzuri mnamuita Mungu[emoji23][emoji23]
 
Wafia dini hawatokuelewa maana akili zao zilishaharibiwa na mafundisho ya vitisho kutoka kwenye magenge yao ya ibada.

How come Mungu muumbaji aishi mbinguni na kuja ktk dunia aliyoumba? Je kabla ya uumbaji alikuwa wapi? Hawa wafia dini wakifaulu kujibu haya maswali kiufasaha basi watafunguka akili na kujua kuwa mambo mengi ya dini tulipigwa, ni uongo mkubwa.

Dunia haijaumbwa na Mungu bali imefanywa na Nguvu ambazo si Mungu bali ni zaid ya Umungu na Nguvu hizo hazishahabiani na imani yoyote hapa dunian ivyo basi ilishasahauliwa zaman sana baada ya jamii kuacha kufuata sheria hizo na kukumbatia sheria mpya za uongo wa viumbe wanaojiita Miungu ambao wako limited kwenye kutoa misaada kwa mtu/mwanadamu.

Ndiomaana utaona kila siku makanisa na misikiti inaongezeka lakn mabaya na magonjwa hayakwishi unajuwa kwanini? Kwasababu huyo Allah/Mungu/Yahweh/Yehova/elishadai/Elohim/Yesu/azazel/zeus hawa wako limited kutimiza mahitaji ya wanadamu na kusolve matatizo ya kila mtu,
hivyo ili wakusaidie inakubdi uwatolee sana sadaka za kuwafuraisha ili wakusaidie na wao, we nenda kwa makanisa utasikia et ili ubarikiwe sharti utoe sadaka na upuuzi mwingine, na kwa wanganga na washirikina ni hivyo hivyo utaambiwa utoe kafara kwa mizimu/mashetan yaan unakabwa kila secta kuhakikisha huna pa kutorokea...

Kwa bahat mbaya yule mnaemkemea makanisan na misikitini ndiye yule yule mnaemuabudu kupitia majina mazuri ya Umungu ambapo kuna makundi ya viumbe wa kiroho wenye nguvu kubwa na ndio hugawana madaraja ya Uungu na Ushetani ili kubalance imani za watu dunian na hata hizi sheria huzi introduce ktk maisha ya kawaida ya wanadamu kupitia mawakala wao ambao ndio huleta hizi sheria na kanuni za kimataifa na mifumo ya siasa, uchumi na kijamii ili maisha yawe balance [emoji23][emoji23].

Ukweli huu hutowai usikia kwa hao wachungaji wako wala mashekhe maana hao wote ni sehemu ya mipango ya huyo shetan kwa ubaya na Uzuri mnamuita Mungu[emoji23][emoji23]
Wasome na waelewe,hizo Imani wamezibeba kama nira zilizofungwa shingoni mwao na kukokota mawe mazito yasiyofaa Kwa ujenzi wa kasri maana hayachongwa na wafanya Kazi Bure isiyofaa Kitu Katika mustakabari wa Maisha Yao,
Wajitesa Bure Kwa kua na Imani na matumaini hewa waache waendelee kua brain washed hao!
 
Ety
Wafia dini hawatokuelewa maana akili zao zilishaharibiwa na mafundisho ya vitisho kutoka kwenye magenge yao ya ibada.

How come Mungu muumbaji aishi mbinguni na kuja ktk dunia aliyoumba? Je kabla ya uumbaji alikuwa wapi? Hawa wafia dini wakifaulu kujibu haya maswali kiufasaha basi watafunguka akili na kujua kuwa mambo mengi ya dini tulipigwa, ni uongo mkubwa.

Dunia haijaumbwa na Mungu bali imefanywa na Nguvu ambazo si Mungu bali ni zaid ya Umungu na Nguvu hizo hazishahabiani na imani yoyote hapa dunian ivyo basi ilishasahauliwa zaman sana baada ya jamii kuacha kufuata sheria hizo na kukumbatia sheria mpya za uongo wa viumbe wanaojiita Miungu ambao wako limited kwenye kutoa misaada kwa mtu/mwanadamu.

Ndiomaana utaona kila siku makanisa na misikiti inaongezeka lakn mabaya na magonjwa hayakwishi unajuwa kwanini? Kwasababu huyo Allah/Mungu/Yahweh/Yehova/elishadai/Elohim/Yesu/azazel/zeus hawa wako limited kutimiza mahitaji ya wanadamu na kusolve matatizo ya kila mtu,
hivyo ili wakusaidie inakubdi uwatolee sana sadaka za kuwafuraisha ili wakusaidie na wao, we nenda kwa makanisa utasikia et ili ubarikiwe sharti utoe sadaka na upuuzi mwingine, na kwa wanganga na washirikina ni hivyo hivyo utaambiwa utoe kafara kwa mizimu/mashetan yaan unakabwa kila secta kuhakikisha huna pa kutorokea...

Kwa bahat mbaya yule mnaemkemea makanisan na misikitini ndiye yule yule mnaemuabudu kupitia majina mazuri ya Umungu ambapo kuna makundi ya viumbe wa kiroho wenye nguvu kubwa na ndio hugawana madaraja ya Uungu na Ushetani ili kubalance imani za watu dunian na hata hizi sheria huzi introduce ktk maisha ya kawaida ya wanadamu kupitia mawakala wao ambao ndio huleta hizi sheria na kanuni za kimataifa na mifumo ya siasa, uchumi na kijamii ili maisha yawe balance
emoji23.png
emoji23.png
.

Ukweli huu hutowai usikia kwa hao wachungaji wako wala mashekhe maana hao wote ni sehemu ya mipango ya huyo shetan kwa ubaya na Uzuri mnamuita Mungu
emoji23.png
[emoji2
Wafia dini hawatokuelewa maana akili zao zilishaharibiwa na mafundisho ya vitisho kutoka kwenye magenge yao ya ibada.

How come Mungu muumbaji aishi mbinguni na kuja ktk dunia aliyoumba? Je kabla ya uumbaji alikuwa wapi? Hawa wafia dini wakifaulu kujibu haya maswali kiufasaha basi watafunguka akili na kujua kuwa mambo mengi ya dini tulipigwa, ni uongo mkubwa.

Dunia haijaumbwa na Mungu bali imefanywa na Nguvu ambazo si Mungu bali ni zaid ya Umungu na Nguvu hizo hazishahabiani na imani yoyote hapa dunian ivyo basi ilishasahauliwa zaman sana baada ya jamii kuacha kufuata sheria hizo na kukumbatia sheria mpya za uongo wa viumbe wanaojiita Miungu ambao wako limited kwenye kutoa misaada kwa mtu/mwanadamu.

Ndiomaana utaona kila siku makanisa na misikiti inaongezeka lakn mabaya na magonjwa hayakwishi unajuwa kwanini? Kwasababu huyo Allah/Mungu/Yahweh/Yehova/elishadai/Elohim/Yesu/azazel/zeus hawa wako limited kutimiza mahitaji ya wanadamu na kusolve matatizo ya kila mtu,
hivyo ili wakusaidie inakubdi uwatolee sana sadaka za kuwafuraisha ili wakusaidie na wao, we nenda kwa makanisa utasikia et ili ubarikiwe sharti utoe sadaka na upuuzi mwingine, na kwa wanganga na washirikina ni hivyo hivyo utaambiwa utoe kafara kwa mizimu/mashetan yaan unakabwa kila secta kuhakikisha huna pa kutorokea...

Kwa bahat mbaya yule mnaemkemea makanisan na misikitini ndiye yule yule mnaemuabudu kupitia majina mazuri ya Umungu ambapo kuna makundi ya viumbe wa kiroho wenye nguvu kubwa na ndio hugawana madaraja ya Uungu na Ushetani ili kubalance imani za watu dunian na hata hizi sheria huzi introduce ktk maisha ya kawaida ya wanadamu kupitia mawakala wao ambao ndio huleta hizi sheria na kanuni za kimataifa na mifumo ya siasa, uchumi na kijamii ili maisha yawe balance [emoji23][emoji23].

Ukweli huu hutowai usikia kwa hao wachungaji wako wala mashekhe maana hao wote ni sehemu ya mipango ya huyo shetan kwa ubaya na Uzuri mnamuita Mungu[emoji23][emoji23]
Mungu muweza wa kila kitu mjuzi wa kila jambo ata kabla ya kutendeka yaani aumbe mwanadamu ili aje amchome moto tena kwa kumpambanisha na uyo shetani aiseee inachekesha yaani waafrica wameshikilia haswa hizi dini na kuzifia na waliletewa aiseee smh😤
 
Wafia dini hawatokuelewa maana akili zao zilishaharibiwa na mafundisho ya vitisho kutoka kwenye magenge yao ya ibada.

How come Mungu muumbaji aishi mbinguni na kuja ktk dunia aliyoumba? Je kabla ya uumbaji alikuwa wapi? Hawa wafia dini wakifaulu kujibu haya maswali kiufasaha basi watafunguka akili na kujua kuwa mambo mengi ya dini tulipigwa, ni uongo mkubwa.

Dunia haijaumbwa na Mungu bali imefanywa na Nguvu ambazo si Mungu bali ni zaid ya Umungu na Nguvu hizo hazishahabiani na imani yoyote hapa dunian ivyo basi ilishasahauliwa zaman sana baada ya jamii kuacha kufuata sheria hizo na kukumbatia sheria mpya za uongo wa viumbe wanaojiita Miungu ambao wako limited kwenye kutoa misaada kwa mtu/mwanadamu.

Ndiomaana utaona kila siku makanisa na misikiti inaongezeka lakn mabaya na magonjwa hayakwishi unajuwa kwanini? Kwasababu huyo Allah/Mungu/Yahweh/Yehova/elishadai/Elohim/Yesu/azazel/zeus hawa wako limited kutimiza mahitaji ya wanadamu na kusolve matatizo ya kila mtu,
hivyo ili wakusaidie inakubdi uwatolee sana sadaka za kuwafuraisha ili wakusaidie na wao, we nenda kwa makanisa utasikia et ili ubarikiwe sharti utoe sadaka na upuuzi mwingine, na kwa wanganga na washirikina ni hivyo hivyo utaambiwa utoe kafara kwa mizimu/mashetan yaan unakabwa kila secta kuhakikisha huna pa kutorokea...

Kwa bahat mbaya yule mnaemkemea makanisan na misikitini ndiye yule yule mnaemuabudu kupitia majina mazuri ya Umungu ambapo kuna makundi ya viumbe wa kiroho wenye nguvu kubwa na ndio hugawana madaraja ya Uungu na Ushetani ili kubalance imani za watu dunian na hata hizi sheria huzi introduce ktk maisha ya kawaida ya wanadamu kupitia mawakala wao ambao ndio huleta hizi sheria na kanuni za kimataifa na mifumo ya siasa, uchumi na kijamii ili maisha yawe balance [emoji23][emoji23].

Ukweli huu hutowai usikia kwa hao wachungaji wako wala mashekhe maana hao wote ni sehemu ya mipango ya huyo shetan kwa ubaya na Uzuri mnamuita Mungu[emoji23][emoji23]
Unachonishangaza ni kimoja tu. Unakili kuwepo kwa shetani, viumbe wa kiroho. Why usikubali Kuwa Kati ya viumbe hao wa kiroho yupo Mkuu wao?
 
Wasome na waelewe,hizo Imani wamezibeba kama nira zilizofungwa shingoni mwao na kukokota mawe mazito yasiyofaa Kwa ujenzi wa kasri maana hayachongwa na wafanya Kazi Bure isiyofaa Kitu Katika mustakabari wa Maisha Yao,
Wajitesa Bure Kwa kua na Imani na matumaini hewa waache waendelee kua brain washed hao!
Je unakubali kunamaisha baada ya kifo?
 
Ety


Mungu muweza wa kila kitu mjuzi wa kila jambo ata kabla ya kutendeka yaani aumbe mwanadamu ili aje amchome moto tena kwa kumpambanisha na uyo shetani aiseee inachekesha yaani waafrica wameshikilia haswa hizi dini na kuzifia na waliletewa aiseee smh[emoji36]
Ulipoharibu ni pale uliposema Waafrica. Ulaya, America ,Asia, etc hakuna dini??. Je kabla ya kuletewa dini na wazungu Africa hatukuwa na dini (Imani)?
 
Ushaidi toka katika mazingira ya tamaduni zetu kwa waafrika hata kabla ya wakoloni au watu weupe kutuletea dini za Kikristo na Kiisilamu bila kusahau Budha, Hindu na kadhalika. Tulikuwa na dini zetu mbalimbali kwa kila jamii na tuliabudu mizimu, miti, milima dini zote hizi ziliongonzwa na hapa tunapata hoja kuu moja tu nayo ni kuwa ‘kuna kitu kilicho kikuu kuliko sisi binadamu kisichoonekana kinaongoza maisha yetu’. Jambo la ajabu dini hizi zilitofautiana kutoka jamii moja kwenda nyingine katika kuabudu ama kumuelekea Mungu
Ushaidi toka katika mazingira ya tamaduni zetu kwa waafrika hata kabla ya wakoloni au watu weupe kutuletea dini za Kikristo na Kiisilamu bila kusahau Budha, Hindu na kadhalika. Tulikuwa na dini zetu mbalimbali kwa kila jamii na tuliabudu mizimu, miti, milima....

Wakatoliki mnaabudu mizimu ya St.Peter. Mbao ambazo zinatokana na miti....N.k


Niambie sababu kuu za hayo juu katika kutuelewesha. Ushahidi upi huo?
Na kwa mlolongo huo hii hapa chini itakuwa na maana gani?

Muunganiko wa Mungu na Mtu ulio haai hauwezi kutenganisha japokuwa unaweza:
  1. Kusahaulika
  2. Kutojulikana
  3. Kukataliwa waziwazi na mtu kwa sababu mbalimbali kama
  • Uasi dhidi ya uwepo wa mabaya katika dini
  • Kutokujua, kutojali dini.
  • Mahangaiko ya dunia na mali,
  • Mifano mbaya wa waamini,
  • Maelekeo ya mawazo ya kisasa ya chuki ya dini na
  • Mwisho maelekeo ya mtu mwenye dhambi ambaye kwa hofu anajificha mbele ya Mungu na kukimbia mbali na watu wake.
Unajificha chaka gani?
Binadamu uliyemzungumzia na Mtu uliyemzungumzia ni nani hao hasa?

Nielimishe Mtu siyo Binadamu?
Una Dhambi?
 
Ushaidi toka katika mazingira ya tamaduni zetu kwa waafrika hata kabla ya wakoloni au watu weupe kutuletea dini za Kikristo na Kiisilamu bila kusahau Budha, Hindu na kadhalika. Tulikuwa na dini zetu mbalimbali kwa kila jamii na tuliabudu mizimu, miti, milima....

Wakatoliki mnaabudu mizimu ya St.Peter. Mbao ambazo zinatokana na miti....N.k


Niambie sababu kuu za hayo juu katika kutuelewesha. Ushahidi upi huo?
Na kwa mlolongo huo hii hapa chini itakuwa na maana gani?

Muunganiko wa Mungu na Mtu ulio haai hauwezi kutenganisha japokuwa unaweza:
  1. Kusahaulika
  2. Kutojulikana
  3. Kukataliwa waziwazi na mtu kwa sababu mbalimbali kama
  • Uasi dhidi ya uwepo wa mabaya katika dini
  • Kutokujua, kutojali dini.
  • Mahangaiko ya dunia na mali,
  • Mifano mbaya wa waamini,
  • Maelekeo ya mawazo ya kisasa ya chuki ya dini na
  • Mwisho maelekeo ya mtu mwenye dhambi ambaye kwa hofu anajificha mbele ya Mungu na kukimbia mbali na watu wake.
Unajificha chaka gani?
Binadamu uliyemzungumzia na Mtu uliyemzungumzia ni nani hao hasa?

Nielimishe Mtu siyo Binadamu?
Una Dhambi?
Watu wote ni binadamu. Lakini siyo binadamu wote wana Utu.
Kuna haki za binadamu lakini hakuna haki za watu. Binadamu wote ni sawa lakini watu wote si sawa. Nadhani umenielewa.

St Peter ni Nani? Je anaabudiwa kutoka wapi? Na lini kaanza kuabudiwa?
 
Asili ya Kila kitu.
Mungu wa kwenye vitabu namuona kama sio asili ya kila kitu. Angekuwa ndo yeye dini ingekuwa Moja Dunia nzima
Yoshua 24:15
[15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.
And if it seem evil unto you to serve the LORD, choose you this day whom ye will serve; whether the gods which your fathers served that were on the other side of the flood, or the gods of the Amorites, in whose land ye dwell: but as for me and my house, we will serve the LORD.

Mkuu, Mungu aliamua kujipambanua ili kuleta kweri. Watu walitapatapa kutafuta kweri kwa kupapasa lakini yeye akaamua kujifunua kwetu. Miungu ilikuwepo na ndiyo maana naye ajifunua. Siyo watu wote watapona maana hata viumbe wa kiroho hawakumutii wote. Jambo la msingi ni kutafuta kweri nayo itakuweka huru
 
Hakuna maisha baada ya kifo kamanda,viumbe hai wote wakifa wanatoweka na kua decayed
infinity!
Kwanza sishangai msimamo wako huo maana huu msimamo ni wa masadukayo kwani hawakuamini maisha baada ya kifo.

Matendo ya Mitume 23:8
[8]Kwa maana Masadukayo husema ya kwamba hakuna kiyama wala malaika wala roho; bali Mafarisayo hukiri yote.
For the Sadducees say that there is no resurrection, neither angel, nor spirit: but the Pharisees confess both.

Je unakiri kuwa binadamu ana Roho???
 
Watu wote ni binadamu. Lakini siyo binadamu wote wana Utu.
Kuna haki za binadamu lakini hakuna haki za watu. Binadamu wote ni sawa lakini watu wote si sawa. Nadhani umenielewa.
Kwa hivyo wazungu hawana utu.
St Peter ni Nani? Je anaabudiwa kutoka wapi? Na lini kaanza kuabudiwa?
Msukule! Lakini swali zuri
Wazungu walikuwa wanaabudu nini? Budha waliabudu nini?
 
Wazungu wana haki lakini watu hawana haki???

Wacha nijisalishe, sina peteroli leo, kasumba tupu, nasali bei ipungue, ikipungua, naenda pugu, nikirudi kutoka kununua bando tutaendelea
 
Back
Top Bottom