Tofauti ya Dini(Imani) ni ushahidi wa uhakika wa uwepo wa Mungu

Tofauti ya Dini(Imani) ni ushahidi wa uhakika wa uwepo wa Mungu

Nazungumzia mwanzilishi wa hizo himaya ni mmoja/Ndugu/kikundi/Jamii Moja ila katika vipindi tofauti tofauti maana Mesopotamia ndipo miji ya
makazi kwanza ilijengwa na Enki na ENLIL na kush ilikua base ya kuchimba Dhahabu then baadae Murduc/Ra ambaye alikua first son wa ENLIL akaijenga Kemet vile vile Kuna mtirirko wa kiutawala katika vipindi mbali.
So you mean to tell me mesopotania's civilization pre-dates kemet?
 
Nazungumzia mwanzilishi wa hizo himaya ni mmoja/Ndugu/kikundi/Jamii Moja ila katika vipindi tofauti tofauti maana Mesopotamia ndipo miji ya
makazi kwanza ilijengwa na Enki na ENLIL na kush ilikua base ya kuchimba Dhahabu then baadae Murduc/Ra ambaye alikua first son wa ENLIL akaijenga Kemet vile vile Kuna mtirirko wa kiutawala katika vipindi mbali.
Hunefer anasema hivi kwenye papyrus yake:
We came from the beginning of the Nile where God Hapi dwells, at the foothills of The Mountains of the Moon”

Sasa unaponiambia kemet ilijengwa kutokea mesopotania nashindwa kukuelewa.
Na mountains of the moon inasemekana either ni mlima kilimanjaro au ruwenzori.
 
Yaa ni kweli pia milki zote kuanzia Indus Valley,Mesopotamia mpaka Kemet na kush ziliongozwa na Master mmoja na pia walitawala mpaka Mesoamerica,
Hizo zote ni milki zilizoanzishwa na Annunaki na khemet zilijengwa Pyramids tatu za Giza kufuata nyota za Orion kurahisisha spaceships zilizotua Baarbek ground kupata sign,
Aliyebuni Huo ujuzi ni Ningshidza/Thot/Quetzelcott
Na Ndie aliyedesign na kujenga mji wa Teotihuacan kule Mexico!
This is story of Normal human development. I wonder why you connect with Annuanak theory
 
So you mean to tell me mesopotania's civilization pre-dates kemet?
The same Years Abraham called by God to start new kingdom.
Screenshot_20220503-145943.jpg
Screenshot_20220503-144906.jpg
 
Biblia imekaa kisnitch sana yaani ety israel taifa la Mungu wat about us mataifa mengine ni mataifa ya nan ata kama tukisema tunakosea kutafsiri ilo taifa la mungu huoni kama inachonganisha maarifa ya watu na unahitaji nguv kubwa kuichambua na hapo unakuja kujiuliza kwa nini maandiko yake yanafichwa ayawekwi wazi watu waelewe fasta kuliko kuchanganya watu. Ndo maana ukizid kuisoma utaona makosa kibao kwa sababu walioandika walikuwa wanaforce kuficha kitu
 
The papyrus of Ani predates the bible and quran by more than 3000 years.
By the time the first jew(Abraham) comes into existence Kemet was in its third dynasty...
Your right 100%
Mwanzo 12:1
[1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha;
Now the LORD had said unto Abram, Get thee out of thy country, and from thy kindred, and from thy father's house, unto a land that I will shew thee:

Hebrew ( waebrania), walizaliwa katika jamii hiyo. Kulikuwa na kingdom nyingi tu hapo mashariki ya karibu.
Abraham alienda mara kazaa Egypt. Hicho kipindi Engyt ilikuwa imeshaimarika zamani Sana.
Mwanzo 12:14-15
[14]Basi ikawa Abramu alipofika Misri, Wamisri wakamwona huyo mwanamke ya kwamba yeye ni mzuri sana.
[15]Wakuu wa Farao wakamwona, nao wakamsifu kwa Farao; basi yule mwanamke akachukuliwa nyumbani mwa Farao.



Hiii maana yake mipango ya Mungu ilianza katikati ya himaya zilizoimarika. Ambazo zilikuwa na miungu wao.
 
Uwepo wa kila kitu unaonesha kuna nguvu iliotengeneza ila sio mungu wa kwenye vitabu vya dini ety wa kufanya kazi siku sita ya saba akapumzika wat about other planets ziliumbwa na mungu uyouyo au yupi maaan atujaona likitajwa ilo kwenye uumbaji
Hicho kitu kisayansi huitwa Nature lakini kidini wanaita Mungu. It's the same meaning but hutumika katika mazingira tofauti tofauti. Nature=Mungu=Kitu Cha asili=hakikuanza Wala hakitakwisha.

Siku sita zauumbaji ni simulizi linalosimulia Kuwa chanzo Cha vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana vimeumbwa na Mungu pia tunapaswa kumupa heshima ya Nafasi kumutafakari walau mara moja kwa wiki.
But katika wataalamu wa wamandiko wanakuli Kuwa uumbaji took billions of year.
 
Biblia imekaa kisnitch sana yaani ety israel taifa la Mungu wat about us mataifa mengine ni mataifa ya nan ata kama tukisema tunakosea kutafsiri ilo taifa la mungu huoni kama inachonganisha maarifa ya watu na unahitaji nguv kubwa kuichambua na hapo unakuja kujiuliza kwa nini maandiko yake yanafichwa ayawekwi wazi watu waelewe fasta kuliko kuchanganya watu. Ndo maana ukizid kuisoma utaona makosa kibao kwa sababu walioandika walikuwa wanaforce kuficha kitu
Kujifunua na kujipambanua kwa Mungu kulihitaji kujiweka kiharisia. Hivyo alichagua jamii furani na kwa kupitia jamii hiyo alionesha nguvu zake kwa kuilinda na kuiongiza katika Mambo mbalimbali. Aliiweka kwenye matatizo yaliyo inje ya uwezo wao Kisha na kuwatoa. Lengo la hayo ni kujifunua tu ili tuweke kutambua Kuna kitu kisichoonekana kinauwezo na dicho asili yetu. Baada ya kukamilisha mipango ya kujifunua Mungu aliamua kuiharibu hiyo jamiii. Kumbuka Yesu alipokufa msalabani Pazia la hekalu lilichanika na hivyo Mambo ya jamii ya Israel ikaisha. Na Yesu alitabili kuangamiza kwa kila kitu Cha Israel.
Kumbuka mwaka 70 baada ya Yesu Yerusalem yote ilibomorewa na waroma pamoja na hekalu lote ambapo Sasa umejengwa Msikiti.

Hivyo Mungu alikamilisha kujifunua na hivyo kazi kwetu kujua asili yetu na kuifuata tu kijiepusha na uongo na mambo ya giza
 
Your right 100%
Mwanzo 12:1
[1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha;
Now the LORD had said unto Abram, Get thee out of thy country, and from thy kindred, and from thy father's house, unto a land that I will shew thee:

Hebrew ( waebrania), walizaliwa katika jamii hiyo. Kulikuwa na kingdom nyingi tu hapo mashariki ya karibu.
Abraham alienda mara kazaa Egypt. Hicho kipindi Engyt ilikuwa imeshaimarika zamani Sana.
Mwanzo 12:14-15
[14]Basi ikawa Abramu alipofika Misri, Wamisri wakamwona huyo mwanamke ya kwamba yeye ni mzuri sana.
[15]Wakuu wa Farao wakamwona, nao wakamsifu kwa Farao; basi yule mwanamke akachukuliwa nyumbani mwa Farao.



Hiii maana yake mipango ya Mungu ilianza katikati ya himaya zilizoimarika. Ambazo zilikuwa na miungu wao.
According to the bible hata yesu alikimbiziwa Egypt kufichwa na kule alipata mafundisho.Aliporudi akaanza kufundisha injili yake.
Moses alizaliwa Egypr,alifundishwa kila kitu.Hata zile anazoita eti amri kumi za mungu ni copy and paste ya amri 40 zilizokuwa zinatajwa kama wimbo wa taifa na kila mtu kila siku kule Egypt.Alichofanya yeye ni kuiba 10 na kuacha 30.
Mwisho watu wanatakiwa kutambua ancient Egypt tunayoongelea hapa ni watu weusi.
Hawa waarabu akina Mo Salah ni wavamizi tu kutoka Uturuki katika mwaka 32 AD.
 
According to the bible hata yesu alikimbiziwa Egypt kufichwa na kule alipata mafundisho.Aliporudi akaanza kufundisha injili yake.
Moses alizaliwa Egypr,alifundishwa kila kitu.Hata zile anazoita eti amri kumi za mungu ni copy and paste ya amri 40 zilizokuwa zinatajwa kama wimbo wa taifa na kila mtu kila siku kule Egypt.Alichofanya yeye ni kuiba 10 na kuacha 30.
Mwisho watu wanatakiwa kutambua ancient Egypt tunayoongelea hapa ni watu weusi.
Hawa waarabu akina Mo Salah ni wavamizi tu kutoka Uturuki katika mwaka 32 AD.
Your right. Mapharao ni pure black people. Engyt is the first civilization place in the world.
 
Hicho kitu kisayansi huitwa Nature lakini kidini wanaita Mungu. It's the same meaning but hutumika katika mazingira tofauti tofauti. Nature=Mungu=Kitu Cha asili=hakikuanza Wala hakitakwisha.

Siku sita zauumbaji ni simulizi linalosimulia Kuwa chanzo Cha vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana vimeumbwa na Mungu pia tunapaswa kumupa heshima ya Nafasi kumutafakari walau mara moja kwa wiki.
But katika wataalamu wa wamandiko wanakuli Kuwa uumbaji took billions of year.
Hua sipendi upotishaji na uzushi Nguvu iliyofanya ulimwengu haiwezi kua Mungu kamwe sababu
Asili na mzizi neno
'MUNGU' ni master of high chamber ambapo katika Accient civilization walitajwa wengi mfano ANU, ELOHIM,ENLIL,ENKI NK
Nyie watu wa Dini muache kupotosha ukweli hata Siku Moja Deities hawawezi umba ulimwengu maana hata wao wapo ndani ya Huo Huo ulimwengu Hicho Kitu hakiwezekani,
Mathalani Abrahamic Religion hasa Israelites wanaabudu deities wa Accient Sumerian hasa
Elohim/YWH/Jehovah
Pia jamii za Waasia wakiabudu deites kama Buddha, Brahma,Rama,Vishnu,Krishna na wengine chungu mzima na ndio maana wakaitwa Miungu Katika singular ataiwa MUNGU
Yenye tafsiri "Master of high chamber"

Hakuna MUNGU aliumba huu Ulimwengu nakataa maana hayupo hajawahi kuwepo na hata kuja kuwepo kamwe
Huo ndio ukweli mchungu!
 
Ushahidi na uthibitisho ni vitu viwili tofauti

Ushahidi mara nyingi una base kwenye personal experience

Unaweza ukaona jua linachomoza mashariki na kuzama magharibi halafu hiyo ukaamua kuitumia kuwa ni ushahidi kuonesha jua linatembea.

Mtu yeyote atayehitaji ushahidi wa jambo hilo bask ukimuonesha tukio hilo atakubali, ila uthibitisho ni zaidi ya hapo.

Uthibitisho unapenya kwenye angle ya ndani kabisa ambapo huko ushahidi haufiki.

Sasa kwa ulichokiandika wewe ni sahihi kusema umetoa ushahidi kwasababu ulichokiandika umekishuhudia kupitia scripture za bible.

Unaweza ukaenda zaidi ya hapo hadi ukathibitisha Mungu yupo?
 
Hua sipendi upotishaji na uzushi Nguvu iliyofanya ulimwengu haiwezi kua Mungu kamwe sababu
Asili na mzizi neno
'MUNGU' ni master of high chamber ambapo katika Accient civilization walitajwa wengi mfano ANU, ELOHIM,ENLIL,ENKI NK
Nyie watu wa Dini muache kupotosha ukweli hata Siku Moja Deities hawawezi umba ulimwengu maana hata wao wapo ndani ya Huo Huo ulimwengu Hicho Kitu hakiwezekani,
Mathalani Abrahamic Religion hasa Israelites wanaabudu deities wa Accient Sumerian hasa
Elohim/YWH/Jehovah
Pia jamii za Waasia wakiabudu deites kama Buddha, Brahma,Rama,Vishnu,Krishna na wengine chungu mzima na ndio maana wakaitwa Miungu Katika singular ataiwa MUNGU
Yenye tafsiri "Master of high chamber"

Hakuna MUNGU aliumba huu Ulimwengu nakataa maana hayupo hajawahi kuwepo na hata kuja kuwepo kamwe
Huo ndio ukweli mchungu!
Wala usiumize kichwa kuelezea hawa fraud gods of the bible and quran
Wewe tafuta nyuzi zangu humu za zamani kwenye hili jukwaa nilidadavua vizuri and nobody rebutted.
 
According to the bible hata yesu alikimbiziwa Egypt kufichwa na kule alipata mafundisho.Aliporudi akaanza kufundisha injili yake.
Moses alizaliwa Egypr,alifundishwa kila kitu.Hata zile anazoita eti amri kumi za mungu ni copy and paste ya amri 40 zilizokuwa zinatajwa kama wimbo wa taifa na kila mtu kila siku kule Egypt.Alichofanya yeye ni kuiba 10 na kuacha 30.
Mwisho watu wanatakiwa kutambua ancient Egypt tunayoongelea hapa ni watu weusi.
Hawa waarabu akina Mo Salah ni wavamizi tu kutoka Uturuki katika mwaka 32 AD.
Kwaio unachomaanisha ni kuwa Musa alikua mzungu na alikomboa wazungu kutoka misri si ndo maana ake au?
 
Back
Top Bottom