Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 826
- 1,622
Kule ni town na Kuna beach inaitwa anex wahun wanapendag kuogelea huko ndy noma linapotokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule ni town na Kuna beach inaitwa anex wahun wanapendag kuogelea huko ndy noma linapotokea
Huko ni karibu na buzuruga .
Sasa igogo ndy balaa
Kuna igogo,nyasaka,nyambiti,igoma ,buswelu,igombe,mabatini hizo sehem duuh
Labd kama wamestaraabika miaka hii
Ndiyomaana huko kuna mashoga wengi. Unam mwagiaje mwanaume mwenzio? Wanawake hakuna?Watakuja wahuni waseme hapo kumwagiana urojo ni tusi
Duuh hatarNdio wanazidi Kua wezi mzee uko Ndio chuo kikuu cha wezi
Kuna mshkaji aliuaga hvohvoKuna siku niliyaingia maji marefu nilichezea ngumi sio za dunia hii tena zile ngumi nzito na yule jamaa alikuwa kuli wabeba mizigo mizito magunia... kila nikiangalia mtu wakuja kutuamulia au difenda la polisi likipita sioni dalili ndio kwanza watu wanafurahi.
Nikijasemea moyoni ukisikia kufa kimasihara ndio uku kukimbia siwezi maana nilikuwa nimechakazwa kweli.
Pona pona yangu niliona kipisi cha nondo pembeni sikujiuliza mara mbili nikamchapa jamaa cha kichwa mwana akapoteza network nikakimbia
😂😂Naona ni kama ushirikina fulani hivi.muku ni hatari sana kuna msambaa mmoja alichanjiwa muku mpaka mwisho amekuwa chizi
Jamaa angekuua [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna siku niliyaingia maji marefu nilichezea ngumi sio za dunia hii tena zile ngumi nzito na yule jamaa alikuwa kuli wabeba mizigo mizito magunia... kila nikiangalia mtu wakuja kutuamulia au difenda la polisi likipita sioni dalili ndio kwanza watu wanafurahi.
Nikijasemea moyoni ukisikia kufa kimasihara ndio uku kukimbia siwezi maana nilikuwa nimechakazwa kweli.
Pona pona yangu niliona kipisi cha nondo pembeni sikujiuliza mara mbili nikamchapa jamaa cha kichwa mwana akapoteza network nikakimbia
Yote tisa nilishuhudia mgomvi wa mtu mweny muku uwanja wa jiwe sehemu inaitwa mwahako Tanga.
Jamaa kama kapandisha mashetani yule mpinzani wake alizima na waliokuwa wanaamulia walichezea kichapo ,jamaa mpaka kupoa akaletewa shekhe kumsomea na alitoka nje baada ya siku kama mbili ,halafu jamaa ni mpole kama hakuja tokea kitu na yeye ndio alichokozwa.
Na yeye na wazazi wake walienda kumuona msela aliyempiga ba kumuomba msaa ,ila msela ndio alikuwa kamchokoza msela .
Usiombe ukutane na mdigo mweny muku utajuta....Hasikii maumivu ila akikupiga ngumu lazima uzime.
Mfano hawa boxers si wanaweza kuchanjwa? maana mtu aliyechanyiwa ni hatari sana.Sitakuja Kupigana aisee maana wengine tumechanjiwa, tukiweka kitasa lazima mtu anye. Sasa siku hizi watu wagonjwa wengi kesi ya Mauaji anytime..
Kuna Masharti, mfano mpaka mtu akuchokoze na umuavoid kwa kias kwamba huna tena option zaidi ya kupeleka Jaruba.Mfano hawa boxers si wanaweza kuchanjwa? maana mtu aliyechanyiwa ni hatari sana.
Ugomvi wa zenji ni kumwagiana urojo yakhe
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Yakhe ujanijua vizuri weye muulize cholo atakupa habari zangu me thie mtu wa mchezo nikibadilika sio mie ivooo oooh we bola ujiondokee zako [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asa uliza alichofanywa cholo [emoji28][emoji28][emoji28]unakuta alimsemea kwa wazazi wake tuh
[emoji1][emoji1][emoji1]Yakhe ujanijua vizuri weye muulize cholo atakupa habari zangu me thie mtu wa mchezo nikibadilika sio mie ivooo oooh we bola ujiondokee zako [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asa uliza alichofanywa cholo [emoji28][emoji28][emoji28]unakuta alimsemea kwa wazazi wake tuh
Watakuja watoto wa zanzibari na daslam na waachuga watasema huo ni uongo chuga ndy baba laooHII SIO HADITHI, NI ONYO!
Ukiwa mkoa wa mara, fanya unavyoweza asee ila usimtukanie mtu mama yake. Utakufa unajiona. Kwa mkoa mara, hilo tusi ni point of no return!
Ukiwa mkoa wa Mara, usimdharau mtu kwa kuupima mwili wake. Hata ukiwa bingwa wa karate, kung fu, jiu jitsu, tai chi, mieleka na mafunzo mengine yasiyoeleweka, usimdharau mtu kisa unaona yuko na afya mgogoro. Utakufa bila kujua kilichokuua!
Ukiwa mkoa wa Mara, ni marufuku kuingilia ugomvi usiokuhusu. Ukiona wanaume wameamua kushikishana adabu, kaa pembeni asee. Ukiingia kuachanisha unakufa wewe!
Ukiwa mkoa wa Mara na ukajikuta uko kwenye mazingira yanayokulazimu kupigana, basi usochague silaha, wala usipigane kiungwana. Hakunaga vita ndogo mkoa wa Mara. VITA NI VITA!
Ukiwa mkoa wa Mara, ukampiga mtu ukamzidia akakimbia, asee toweka hilo eneo haraka iwezekanavyo. Mkurya akikimbia ugomvi haujaisha, ugomvi ndio unaanza na this time harudi kinyonge!
Ukiongelea gangs za mitaani, siku hizi zimepoa mkoa Mara. Lakini miaka kumi iliyopita, Musoma ilikua haina tofauti ni mitaa ya Sinaloa Mexico. Ni Musoma pekee ndio defender ya FFU ilishindwa kutuliza ugomvi wa gangs mbili hasimu, ikabidi warudi kujikusanya, zikaja defender nne na mabomu ya machozi ndio watu wakatawanyika!
NB: Ugomvi sio kitu chema!