Tofauti ya Waarabu, Wazungu na Waafrika utaiona hapa

Mleta mada nina vijiswali kidogo; mbona hapo kwa waarabu umeongea mengi na kwa ukali sana huku ukitaja maeneo meengi waliyowahi kuishi na kuwatusi kabisa watu wa huko?
huyu jamaa anaicha kichwa kwenye nyasi anaacha matako nje tulisha mjua kalenga nn
 
Miaka 10 mpaka 20 ijayo mapenzi kinyume na maumbile, ushoga na usagaji yatakua mambo ya kawaida sana kuzidi sasa kwa hizi nchi zetu, ni MUNGU tu atunusuru na hili
papa kama kiongozi wa dunia karuhusu
 
subiri waje nasoma comment zao nami siondoki
 
MKUU HAWATOI POVU SIKU HIZI, WANAKUTUMIA MAJINI KWA NJIA YA MTANDAO.
ukiona mtu akili yake anawaza majini tambua anayo kichwani wake chezea jini wewe kama hayo kichwani mwako ni nadara sana kuyataja waathirika wa hayo mambo wako hivio kila mala lazi wayataje tu
 
huku ya dini ya uisilamu shoga uzinifu hukumu yao ni kupigwa mawe tena hadharani mpaka wafe duniani huku hii inatumika nchi 3 tu saudia afoghani sitani na iran tu nchi zilizo baki zote zinaunga mkono ushoga au zinapiga kwa mdomo sio kwa vitendo mfano hapa jf wanakemea sana ushoga hali yakuwa baadhi yao ni wazinifu wanazini watoto wa watu wake za watu mama za watu hawana tofaoti na mashoga tena wanajiita wenye dini dini gani hiyo inayo kataza ushoga ikaruhusu kuzini wanawake kutombwa kama mbwa baadhi yao
 
ukiona mtu akili yake anawaza majini tambua anayo kichwani wake chezea jini wewe kama hayo kichwani mwako ni nadara sana kuyataja waathirika wa hayo mambo wako hivio kila mala lazi wayataje tu
SASA UMEANDIKA NINI, AU NDIO UMEYAPANDISHA?
MAJINI NI WA WASILO KULA "KITIMOTO'
 
We jamaa unajua mambo kwa kina sana mi ni muslim by religion bt i hate arabs sbb ya unafk wao ni wafi***j xna, wauaji sn na wameacha utamadun huo kila walipofanikiwa kueneza din ya uislam hasa maeneo ya pwan. Kwang mi uislam ni changamoto sn mpaka nataman kujua din yetu waafrica ile ya kabla ukoloni nipo tayar kuifata din hyo.
 
Bin
Binti umekosa kabisa bwana wa kukustiri?
oh mi sio binti kumbe hujaskia navowazagamua? Ila we unawaponda wanao onya ushoga kwa mantiki hyo una element za kishoga km sio shoga kbs
 
huku ya dini ya uisilamu shoga uzinifu hukumu yao ni kupigwa mawe tena hadharani mpaka wafe duniani
Kumbuka aya za kupiga mawe na kunyonyesha mtu mzima zililiwa na mbuzi wewe umetoa wapi ?

Na pia Aya zilizobaki zinasema shoga asutwe na kupigwa kidogo na makobazi

Bisha niweke nukuu
 
Tatizo ni kuiga au kufata mkumbo? Je hayo mambo ni starehe kweli au ni kujiharibu bila sababu?
Sina uthibitisho, ila kwa jinsi watu wanavyoongea inaelekea yote haya ni kweli, ni starehe kwa baadhi au wote (uraibu) kama mihadarati vile, ni uharibifu kwani si njia rasmi na hata hizo sehemu za mwili, hayo si matumizi yake. Na wengine hutumia kama njia ya kudhibiti uzazi, kuepuka mimba. Na sijui kama ni kuiga au kufuata mkumbo, uasili na hulka ya binadamu ya kujaribu mambo, huwaacha wengine kwenye mrengo huo.
Ukifikiria wa kwanza, alimuiga au kufuata mkumbo wa nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…