Toka Bongo Fleva ianzishwe hakuna mwanamziki wa kike mwenye sauti ya kuvutia, kipaji cha kutunga na kuimba kwa hisia kama Lady Jaydee

Kabisa, JiDe yuko njema mno, anaimba high pitched notes vizuri, haami key . Big up kwake
 
Hapana mkuu.
Kiuno bila mfupa ndo yupo juu.
 
Anaimba lakini sauti nzuri hapana
Huwa akiimba na yule jamaa Rama dee inakuwa bomba sana
 
kuna ngoma ali shirikishwa na mwana fa inaitwa #hawajui_tulipotoka_watajuaje_tunapokwenda, inanikumbushaga mbali aisee mitaa ya mwilavya kasulu kigoma
 
Unamjua Vumilia wewe!!!!!
Chanzo ni umaskini au ni nini??
Niambie nijue..[emoji445]
Kinachofanya wazazi wako wanikatae...
Niambie nijue..

Au mimi sina hadhi ya kuwa na wewe eeh
Kama mimi sikufai oa mwingine eeeh...oh baby.....[emoji444]
 
niliwahi kuwakubali jide, banana, banza stone, papii kocha pamoja na tid. hao walikuwa wanaweza kucheza na sauti zao mpaka ukaufurahia muziki wao.
 
Alikuwa anachukua manyimbo ya kijita anaweka maneno
 
Lady Jay Dee Enzi zake alisumbua Sana kwenye nyimbo zinazoigusa jamii hasa akizingatia zaidi maadili na mashairi mazuri na mpangilio mzuri wa kuimba.

Kuna Ile Ngoma anaanza " Nakupenda, nakutaka nakuhitajiii..." Ngoma kali humo kuna lugha kama nne hivi ni balaa Sana kuna kingereza, Kiswahili, kifaransa na kiganda ni shida Sana aisee... Lakini tukija upande wa sauti hapo ni Big No...

Kwangu mdada aliyenipagawishaga Kwa sauti Tamu ni mwanadada Ray C....

Kuna mdada niliwahi kudate nae one day akanitumia voice note ya ray c uko wapi.... Sijui aliitoa wapi lakini Nilihisi nywele zimesimama [emoji16][emoji28]
 
Komando kibongo bongo hana mpinzani
 
Sauti hapana labda stara Thomas na Ruby..

Ila kuimba yupo vizuri ila sauti hapana ni kawaida sana anashindwa hata na Ally kiba.
 
Utoto unawasumbua nyinyi ..
Hana sauti acha ku-overrate ,labd besi nishwahi kumuona akiongea live hata hizo nyimbo sauti hana ni uongo.

Nyimbo muangalie ile singleboy akiwa studia mishipa inavyomtoka kwa kubana sauti.

Usimfananishe na Ruby kwa sauti utaonekeana kichaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…