Anayebisha abishe Kwa ushabiki tu kwa wasanii wa kike rubby ana sauti nzurii.....narudia hata huyo komandoo amekiri mara nyingi kwenye mahojiano kuwa rubby Kwa sauti ni wamoto.....
Anayebisha abishe Kwa ushabiki tu kwa wasanii wa kike rubby ana sauti nzurii.....narudia hata huyo komandoo amekiri mara nyingi kwenye mahojiano kuwa rubby Kwa sauti ni wamoto.....
Naungana na vijana hapo juu, nyimbo za jide toka miaka hiyo zipo na zinasikika, binafsi nishasikiliza sana nyimbo za wote wawili na kuwaona wote wawili wakiimba live hivyo nakiri wazi kabisa Jide kwenye swala la sauti hafikii hata robo kwa ruby.
Japo sauti pekee haimfanyi msanii kuwa bora kuliko mwingine