Toka tupate uhuru zonge la kijinai linaloitesa mamlaka ni kushambuliwa kwa lisu. Dola ijisafishe kabla ya upinzani kushika nchi.

Toka tupate uhuru zonge la kijinai linaloitesa mamlaka ni kushambuliwa kwa lisu. Dola ijisafishe kabla ya upinzani kushika nchi.

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Mods huu uzi msiufute plz wala ku u merge. Shambulio la lisu ni teso kwa kwa dola. Wenye hekima litanzueni kwa akili kumbukeni muda hautasamehe hili jambo mpaka majibu yapatikane.
 
Hata kupotea kwa ben rabiu saanane tusijisahaulishe sisi kama taifa.
 
Huu uzi ni wa haki jinai dola ina wajibu wa kutafuta haki ya lisu awe hai kama ilivyokuwa au awe mfu kama ilivyopangwa !! Ubaya wa kutomtendea lisu haki unaweka alama kesho akishambuliwa mbunge kwenye mazingira ya lisu yaleyale je itakuwaje? Mfano anashambuliwa mbunge akiwa kwenye premises za makazi ya wabunge leo je upelelezi wa kesi yake utamuhitaji dereva awepo ? Amueni mambo ambayo vizazi vijavyo vitapima maamuzi yenu na kuwapa nishani.
 
Back
Top Bottom