Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Asumisye Pakibanja, Iyunga Tech Mbeya 1992.
Mboka Mwanitu Kagubila.
 
NGURUGUDUNGU MAKOFI - mtuhumiwa wa mauaji Uyui prison Tabora, 2007
 
1. Ndugu TAMPERA NGUNAMABWOKO-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari ya wavulana Tabora mwaka 1992.

2. Ndugu GOGOMOKA MISALABA-Mhitimu wa kidato cha sita shule ya sekondari Minaki mwaka 1998.

3. Ndugu ABDALLAH NYUNDO KICHECHE-Mwanafunzi wa kidato cha kwanza shule ya sekondari Minaki mwaka 2002.

4. Ndugu MASANINGA SUMAKU POMBOJOLOWE a.k.a PUMBU-Dereva wa mabasi ya Hood.

5. Koplo RUBYENEKO MUGANYIZI BYOMBARIRWA-Mpishi mkuu wa kikosi cha 34 cha Jeshi (34 KJ), Mbeya.

6. Ndugu TAKOTAKO WA PUMBUJE a.k.a AKANANA-Muuza miwa na maji baridi maarufu pale magomeni makutano ya barabara za Rashid Kawawa na Morogoro.

7. Mheshimiwa NJENGAFIBILI MWAIKUNGILE-Jaji wa mahakama kuu ya Tanzania.

8. Mheshimiwa JOHN POMBE MAGUFULI-Waziri wa Ujenzi Tanzania.

9.Ndugu TUNTUFYE MWAIKIMBA a.k.a KIMBA-Fundi majiko maarufu Railway Gerezani Dar es Salaam.

10. Ndugu BENADETTA TYETYETYE-Mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam, mwaka 2001 fani ya sayansi ya jamii (BA)


Ukiwaona Ditopile Mzuzuri, Kingunge Ngombale Mwiru je, mimi nilisoma na Masero Masiku Uyui Secondary School Tabora. tusimsahau Joji Maratu wa Aiiiiiiiiiiiiiii Tiiiiiiiiiiiii Viiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!! bwa hahahahahahahaa.
 
sina mbavu jamani, nimekumbuka akina Kazakuku Firafisi, Jacquiline Natombeka, Rozia Kamkundu nk hao wote ni watu wenye nyazfa kubwa duniani lol!
 
Nchi zote zilizoendelea zina idara maalum ya kudhibiti majina ya watoto.
Pale unapoenda kuregister mtoto kama jina limeonekana na 'maana' mbaya au kutopendeza kwenye jamii hukataliwa.

Ni rahisi kufanya regulation hii kwenye nchi ya watu wa Kabila moja ambao wote wanazungumza lugha moja tu.

Kwa Tanzania Zanzibar labda wangeweza kufanya hivyo lakini kwa sahemu nyengine isingewezekana


Nadhani hapa kwetu sheria hiyo haipo, ama sivyo lile jina la MBORO lisingekuwepo
 
Mkatakona Peleka.. alisoma na bro wangu kibaha boys 2001...
 
Mkatakona Peleka; alisoma na bro wangu kibaha boys o'level 2001...
 
Mahaba kitumbua.bolingo mnyamisi,makrosi isomakwaru samangwangwa. Sendisha semboshi,akili mtindi,mwalimu barua,kinanasi kidagaa,salehe nyoro,kaundime haji hao zingibar se tanga 2005.
 
Back
Top Bottom