Cooking inaenda mbali sana zaidi ya hapo
Uliajiriwa hapo kwa kutumia kigezo cha elimu ya sociology?Nimegraduate SAUT mwaka 2022 nilikuwa nachukua B.A IN SOCIOLOGY, 2023 nikapata kazi TAA kitengo cha usalama as Asst. Security officer.. nipo songwe airport hapa nakula maisha.
Ajira zipo sema ni vile vijana wenye GPA kubwa hamjui kuchangamkia fulsa[emoji2]
Kiswahili gani hiki 🤔🤔🤔Hao ni assistants, sana sana certificate, kazi zao zinashosha .
. Social workNimegraduate SAUT mwaka 2022 nilikuwa nachukua B.A IN SOCIOLOGY, 2023 nikapata kazi TAA kitengo cha usalama as Asst. Security officer.. nipo songwe airport hapa nakula maisha.
Ajira zipo sema ni vile vijana wenye GPA kubwa hamjui kuchangamkia fulsa😃
Ndio, miongoni Mwa watu 40 kati ya watu elfu 11 waliopo JKT na mm nilikuwepo tena GPA ya 3.0 😁😁.Uliajiriwa hapo kwa kutumia kigezo cha elimu ya sociology?
Good for you.Nimegraduate SAUT mwaka 2022 nilikuwa nachukua B.A IN SOCIOLOGY, 2023 nikapata kazi TAA kitengo cha usalama as Asst. Security officer.. nipo songwe airport hapa nakula maisha.
Ajira zipo sema ni vile vijana wenye GPA kubwa hamjui kuchangamkia fulsa😃
Ukiwaita medical attendants sawa au medical assistant/clinical assistant ni sawa bado hujakosea mkuuHuyu ni mkunwa cO
Mleta mada anaongelea wahudumu wa afya wenye vyeti vya mwaka mmoja mara nyingi wanaajiri kama medical attendant kakosea tu ku name
Ajira zao zipo nyingi nadhani yeye kaongelea kuchosha kwa kzi nilivomuelewa
Kwann??Nimesikitika sana kuona Coz ya marketing kwenye hii list
😆 😆 😆 😆Kiswahili gani hiki 🤔🤔🤔
Sawa mkuu 😁😁😆 😆 😆 😆
Mkuu nimechapia tuu kidogo
Bachelor of medical and clinical assistants???Hii ranking imetokana na survey iliyofanyika kutoka kwa wahitimu wa vyuo vikuu wanaotafuta kazi, factors kama ugumu wa kupata kazi, competition na kiasi cha mishahara ndo vimechangia ranking ya hizi kozi.
10. English Language and Literature Degree (hii sio Bachelor of Education)
9. Biology Degree (BSc not BED)
8. Political Science
7. Medical and clinical assistants
6. Marketing
5. Bachelors of Education
4. Communications Degree
3. Liberal Arts
2. Sociology
1. Journalism
Kuna una mpango wa kusoma Degree yoyote kati ya hizi uliza swali kweny comments na kama umeisoma please tusaidie kujibu.
Asante! Ndio na nipo na license kabisaSio fulsa ni fursa.....kwahiyo ww ni security guard?
Wivu😂Msanii tu huyo achana nae
Kwenye crew yng tulikuwa watu 7.Good for you.
Wengine uliomaliza nao hali zao zikoje??
Mwalimu au?ajira bahati tu mm namjua mtu kamaliza io bsc biology 2022 n 2023 kaajiriwa tena serikalin na hawakuw na connection
Amn mzee ao ndo wanakula maisha.Kozi zote za SUA,
Bongo mfumo wa ajira ni mbovu kwaiyo hakuna shahada yenye afadhari waasibu, madokta, mainjinia ambao ni majobless wapo kibao mtaani. Bongo kama hauna connection basi uwe competence sana kwenye field yako yaani wewe tangu upo olevel ulikua unapiga A tu darasani tena kwa akili yako sio kwa chabo vinginevyo shahada yoyote utakayosomea utajuta tu uko mbeleni.Hii ranking imetokana na survey iliyofanyika kutoka kwa wahitimu wa vyuo vikuu wanaotafuta kazi, factors kama ugumu wa kupata kazi, competition na kiasi cha mishahara ndo vimechangia ranking ya hizi kozi.
10. English Language and Literature Degree (hii sio Bachelor of Education)
9. Biology Degree (BSc not BED)
8. Political Science
7. Medical and clinical assistants
6. Marketing
5. Bachelors of Education
4. Communications Degree
3. Liberal Arts
2. Sociology
1. Journalism
Kuna una mpango wa kusoma Degree yoyote kati ya hizi uliza swali kweny comments na kama umeisoma please tusaidie kujibu.
Kigezo cha "BABA KASEMA" Sisi ni Wale hao usijilinganishe naoUliajiriwa hapo kwa kutumia kigezo cha elimu ya sociology?