Top 15: Majeshi bora na yenye nguvu barani Afrika

Siri gani wakati tuliambiwa kuna Luteni Kanali Mnyarwanda aliyekuwa kwenye kitengo muhimu cha IT alitoroka na mafaili yote?
TOKA AONDOKE MNYARWANDA NA MAFAILI UNAYOSEMA NINI KIMEKUPATA KIBAYA KAMA HAKUNA KAA KIMYA JESHI SIYO FAMILIA YA MTU AKIFA AU AKIONDOKA BASI TENA TUMEKWISHA WANAFAMILIA KWA JESHI HILO HALIPO
 
thread za kipuuz kama hizi huwa zinanikera. hv nyie wajinga manajua JWTZ??

manina!!
 
Hzo takwimu ni zako na mkeo eti DRC Uganda Ethiopia .JWTZ ni namba tatu Africa kwa ubora angalia kilichofanyka Congo Commoro Dafur Lebanon ndio utajua mzk wa JWTZ
 
Ubora wa jeshi sio jumla ya idadi ya askari na vifaa. Kuna zaidi ya hapo. Ujasiri na uzalendo wa askari ni kigezo muhimu lakini kigumu kupima
Yaliyotokea Somalia ni kielelezo sahihi cha hoja yangu.
AlShabab wamefanya yao kwa kuangalia kigezo hicho bila kujali idadi ya askari na silaha.!
 
 


Achaudwanzi hakuna jeshi linaloweka mambo yake hadharani hata hivo siku hizi siri ni mbinu zalivita tu maana kama silaha mnanunulia nje hamna siri
 
Duu yaani unaamini propaganda za usiri wanazotumia jeshi la Tanzania kuwa kisiongizio cha kuwa imara. Ukweli unajulikana Tanzania jeshi lipo week sana sababu kubwa ni viongozio wetu kuliogoba kuliemarisha kwa kuogopa kupinduliwa. Sasa hivi ndio tunaanza kuona serekali linaanza kuwaangalia wanajeshi na kuinvest kwenye jeshi.
 
teh teh tz vipi tena nchi yangu mbona kila kitu ni zero dah inauma sana, si juzi juzi tu hapa tuliambiwa East Africa Tanzania ndio ina strong army? YOTE YATAPITA
VIVA UKAWA!!
Jeshi letu liko ngangari kupasua vitofali kwa ngumi kwenye sherehe za kitaifa.

cc Komredi Nyani Ngabu, The Boss
 
Nataka kufahamu kitu kimoja wadau....Hivi unaweza kuwa na jeshi imara wakati kiuchumi upo dhaifu???
No haiwezekani kwanza uchumi imara ndio jeshi tulimtowa nduli Amin mpaka sasa hatupo sasa na tuliambiwa miezi 18 tu jeshi imara use na vifaa vya kisiasa sasa. Kama Misri wanandege za kivita zaid ya elfu moja
 
Jeshi letu liko ngangari kupasua vitofali kwa ngumi kwenye sherehe za kitaifa.

cc Komredi Nyani Ngabu, The Boss
Mpumbavu atakula upumbavu wake. Mburura usiyejua hata misingi ya mafunzo ya kijeshi. Dunia nzima wanafanya hayo nyau wewe. Siasa zenu ziishie huko huko mshenzi wewe. Mdharau kwao ni mtumwa, hovyo kabisa
 
Mpumbavu atakula upumbavu wake. Mburura usiyejua hata misingi ya mafunzo ya kijeshi. Dunia nzima wanafanya hayo nyau wewe. Siasa zenu ziishie huko huko mshenzi wewe. Mdharau kwao ni mtumwa, hovyo kabisa
Unaweza kunipa sababu tatu za kunitukana?

Unaweza kunipa faida tatu ulizopata?

Unaweza kunipa hasara mbili nilizo pata??

Kama huna majibu nakuweka kwenye kundi lilelile. Siwezi kulitaja hapa nisije kuwapa mabasha faida.

CC: Nyani Ngabu msome huyu dogo ambaye kashatembea dunia nzima akashuhudia wanajeshi wakipasua vitofali kwa ngumi.
 
.....niulize, elimu shida, maana yake ni nini? Na ni nchi zipi za ulimwengu wa tatu hazina tatizo la elimu shida?
 
Tanganyika sisi vp,maana tumefanya ukombozi sehemu kibao afrika.
Tukiamua kutochanganya jeshi na siasa tutafika huko kwa wenzetu. Inafikia wakati mkuu wa kikosi anawazia kuchaguliwa kuwa mkui wa mkoa.
 
Jeshi letu liko ngangari kupasua vitofali kwa ngumi kwenye sherehe za kitaifa.

cc Komredi Nyani Ngabu, The Boss
Magufuli akiendelea na kujifanya
hasafiri walla hashiriki mambo ya kimataifa
hata kulinda amani nayo tutakosa
tutabaki jeshi la kupiga raia wakipita njia zao tu baasi
 
Jeshi morali bana,,,,,,raia acheni kuongelea jeshi wakati hata mgambo hamjaenda,,,,,nyie bakini huko mtaani na stori zenu za vijiweni na nyimbo za kina alikiba,diamond n.k,,sekta za ulinzi waachieni wenyewe ooovaaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…